kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Yaondolewe yasihesabike...pili mimi ni shabiki na mwanachama wa coastal union mangushi sio simba ila nataka mpira wa haki tuburudike kama ulaya wa mwisho ana mfunga wa kwanza sio kama hivi wote tunajua yanga anashinda!Kaka kumbe unajipa moyo na Liverkuku . Hahaha haya bana, at least huko ukapate ahueni sio hawa Simba mkuu, timu inategemea penalties ishinde😃😃