Ni muendelezo wa utapeli wa soka bongo pamba jiji na yanga matokeo yamekwisha pangwa..hakuna mpira...

Ni muendelezo wa utapeli wa soka bongo pamba jiji na yanga matokeo yamekwisha pangwa..hakuna mpira...

😀😀😀mkuu kwahiyo zile 5 alifunvwa Simba nazo matokeo yalipangwa?? Yanga pia amewahi kufungwa 3 na Simba kwahiyo matokeo pia yalipangwa?? Acheni unazi usio na maana over Simba & Yanga mbona hamsemi kwa timu zingine
 
Haya yote kayaleta kijana sereri kutoka Azam ule mshuti umeacha makasiriko Kwa makolo.
 
Chasambi unamuingiza alifanya kosa gani mechi ya yanga...mechi ile walishindwa kununua wachezaji wa simba walinunua refa ramadhani kayoko yuko wapi mpaka leo hii...
Kayoko ni refa wa NBC premier league
 
Sema uto wana akili ndogo sana, ni rahisi kuwashtukia tangu enzi za akina Toto Africa.Kwa vile tu ni timu la kisiasa la sivyo lingekamatika na kushushwa daraja.
 
Kama ulivyokuwa utapeli wa singida,kmc,mashujaa na leo tunakwenda shuhudia muendelezo ule ule wa mfadhili mkuu wa yanga kwenda kuweka fedha yake kwa klabu anayoidhamini eti bonasi ni upuuzi na matusi makubwa kwa mpira wa bongo na muuendelezo wa kuwaona watanzania hawana uwelewa..ujinga tu ndio uliotawala...mkuu wa mkoa yule yule aliyevaa jezi ya yanga kwenda kuifanyia fujo Simba mazoezini na kumsweka ndani matola na ni mdau wa yanga leo anasimama mbele ya kamera kutoa mabaki ya sangara na ugali kuwa wametoa bonasi..ni mjinga tu na asiye na akili au mwendawazimu atakaye amini kutakuwa na mechi ya ushindani pamba atashinda na kutoa upinzani matokeo ya mechi yamekwisha pangwa yanga kuchukua point tatu!
Milio ni mingi.

Bado tarehe 8.
 
Na ndiomaana misimu sita timu inaishia robo
Umegundua wewe una akili sana..timu inapigwa nyumbani na Al hilali inashindwa kuvuka kundi rahisi lenye timu mbovu umeona madhara ya match fixing!
 
Haya yote kayaleta kijana sereri kutoka Azam ule mshuti umeacha makasiriko Kwa makolo.
Silah aliupiga kama ule kufungua njia baada ya hapo tabora..Al hilali wakafanya kama alivyofanya silah
 
😀😀😀mkuu kwahiyo zile 5 alifunvwa Simba nazo matokeo yalipangwa?? Yanga pia amewahi kufungwa 3 na Simba kwahiyo matokeo pia yalipangwa?? Acheni unazi usio na maana over Simba & Yanga mbona hamsemi kwa timu zingine
Inonga sijui yuko wapi..chama mpo nae...baleke mlimdhulumu...manula hata benchi haonekani hicho ndicho kikosi kilichofungwa!
 
Back
Top Bottom