Ni mwanamke wa aina gani unatamani kuwa nae lakini hujawahi kumpata?

Ukimuona yule ajuza anatajwa na mtu mwingine hapa, ebu usiache kuni beep....🀨
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,,, naona kuna mtu tu alisema aliyeko kwenye menopause nahisi alimzungumzia yeyeπŸ˜ŠπŸ€¦β€β™€πŸ™ˆ
 
Kuna dada mmoja alikuwa anaigiza filamu na marehemu Kanumba,nadhani alikuwa anitwa Sadry Shaz.

Aisee huyo dada nilimwelewaga sana sijui kapotelea wapi nimemtafuta kwenye social platforms zote nimemkosa kbsa.

Mwenye connection yake anisaidie tafadhali.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚,,, naona kuna mtu tu alisema aliyeko kwenye menopause nahisi alimzungumzia yeyeπŸ˜ŠπŸ€¦β€β™€πŸ™ˆ
Nioneshe ebu nikapigane, maana siwezi kubali mtu anitukanie kigori alienifanya nisilimu...🀨hapa nasubiri ndoano ya mkeka tu...😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…