Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Taarifa za madeni ya nchi sio siri. Wabunge na hata raia wanaweza kuzipata hizi taarifa kirahisi tu. Lakini Serikali inapokuwa kwenye majadiliano nyeti sio vema kutoa taarifa hadharani kabla hayajakamilika.Yaap, mke na mume wakigombana ni siri yao huko ndani, lkn serikali ikidaiwa lazima tujue coz kodi zetu ndo zinazoenda kulipa hilo deni
Sent using Jamii Forums mobile app
Awamu ya tano mnataka kuipeleka Tanzania wapi?Wana JF na Watz,
Ni akili dhaifu na ya kijinga kutaka na au kutaka kupoteza lengo ndiyo inawweza kudhania kuwa waliiotaka kumwua Lissu wako ndani ya CHADEMA..?!!!??Huo utalkuwwa ni uwendawaziimu!!
Swali la kujiulliiza hapani WHY NOW?????Maana Lissu hajaiingia CHADEMA leo he's CHADEMA member for years now...!TL hajaanza kukosea Serikali leo alisha mwita JK rais dhaifu na ameendelea kuwa KUB cheap whip for years na hakuna aliyetaka kumwuaa!!!!!!
Only kwene Utawala huu wa A5.........Why???
Mimi binafsi sijapenda alichofanyiwa mbunge na mwanasheria machachari mheshimiwa Tundu lisu ,lakini kitu ambacho watu hawajui ni kwamba kuna uwezekano Mheshimiwa rais hajui au anajua kuna wanasiasa wanataka kumfurahisha wakijua watapewa vyeo kwa kuwafanyia vitendo vya ukatili viongozi na wafuasi wa vyama vya upinzani,(hapa wenye ufahamu mmenielewa) .Upande wa pili ni ndani ya CHADEMA huenda mbowe hajui au anajua kuna wanasiasa ndani ya chama chake hawampendi lisu na wanamwona kama mwiba kwenye uchaguzi ndani ya chama,na wamechukua advantage ya ugomvi wa lisu na serikali kufanya yao ili mtuhumiwa aonekane ni yule alikua anagombana naye,mimi sijui bado giza kwangu sijui wadau mnasemaje na nyie
Usipende kulazimisha hoja. Kuwa msikivu.Mtarimbo kila siku tunasema usitutoe kwenye reli hilo la Lisu lina sura moja tu.mkubwa anapenda sifa sana bila kukosolewa anapenda aonekane malaika mbele ya watanzania sasa makombora yanayorushwa na lisu ambayo yana ukweli mtupu yameendelea kumuudhi mkumbwa ndo maana hata mahita alipohojiwa majuzi alisema waziwazi kuwa wamezungumza na kutoa ushauri juu ya kuwakabili wanasiasa.nani asiyemjua mahita ?roho yake ?wenye akili tumeishajua mbili +mbili ni nne.(hesabu ndogo tu inakushinda?)Mwenyezi Mungu amependa kuwaumbua na story itasimuliwa na watanzania watajulishwa mchezo wote ameisha tweet baada ya kuzinduka labda mtume tena wauaji
Siyo kwamba Mbowe hajui, ila anaweza kuww sehemu ya mastermind au architects.Mimi binafsi sijapenda alichofanyiwa mbunge na mwanasheria machachari mheshimiwa Tundu lisu ,lakini kitu ambacho watu hawajui ni kwamba kuna uwezekano Mheshimiwa rais hajui au anajua kuna wanasiasa wanataka kumfurahisha wakijua watapewa vyeo kwa kuwafanyia vitendo vya ukatili viongozi na wafuasi wa vyama vya upinzani,(hapa wenye ufahamu mmenielewa) .Upande wa pili ni ndani ya CHADEMA huenda mbowe hajui au anajua kuna wanasiasa ndani ya chama chake hawampendi lisu na wanamwona kama mwiba kwenye uchaguzi ndani ya chama,na wamechukua advantage ya ugomvi wa lisu na serikali kufanya yao ili mtuhumiwa aonekane ni yule alikua anagombana naye,mimi sijui bado giza kwangu sijui wadau mnasemaje na nyie
wewe ujasikia kwamba tumeambiwa wameongeza watu?Taarifa za madeni ya nchi sio siri. Wabunge na hata raia wanaweza kuzipata hizi taarifa kirahisi tu. Lakini Serikali inapokuwa kwenye majadiliano nyeti sio vema kutoa taarifa hadharani kabla hayajakamilika.
Angalia majadiliano kati ya Barrick na Serikali yanayoendelea sasa hivi. Kama mjumbe mmoja mle ndani angekuwa wa CDM unafikiri usiri ungekuwepo? Hiki ndicho ninachokizungumzia.
Kama upinzani ungekuwa unaaminika Lissu angekuwa mwanasheria mzuri sana kuwa kwenye timu yetu. Lakini kwa wanavyojiendesha hawatakaribishwa kwa lolote lile la maana na linalohitaji usiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja zako hazijaenda shule usitutoe kwenye reliU
Usipende kulazimisha hoja. Kuwa msikivu.
Mungu anawaona ...mlaaniwe mara 1000,,siasa za mauaji tulizoea kuzisikia rwanda na burundi..siasa za kubaka na kuua demokrasia si tanzania hii;;;siasa za kiki siku kiki zikifeli damu inamwagika ...siasa za kishetani hizo!!!Mimi binafsi sijapenda alichofanyiwa mbunge na mwanasheria machachari mheshimiwa Tundu lisu ,lakini kitu ambacho watu hawajui ni kwamba kuna uwezekano Mheshimiwa rais hajui au anajua kuna wanasiasa wanataka kumfurahisha wakijua watapewa vyeo kwa kuwafanyia vitendo vya ukatili viongozi na wafuasi wa vyama vya upinzani,(hapa wenye ufahamu mmenielewa) .Upande wa pili ni ndani ya CHADEMA huenda mbowe hajui au anajua kuna wanasiasa ndani ya chama chake hawampendi lisu na wanamwona kama mwiba kwenye uchaguzi ndani ya chama,na wamechukua advantage ya ugomvi wa lisu na serikali kufanya yao ili mtuhumiwa aonekane ni yule alikua anagombana naye,mimi sijui bado giza kwangu sijui wadau mnasemaje na nyie
Fikra mufrisi unazo ww punguani kwani umekariri zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM mpaka unatia kinyaa, huyo Mtukufu unayemtetea unadhani anasaka nini zaidi ya kutafuta fursa ya kutembelea migodi ili apewe Zawadi kimya kimya kama mkapa? Jana kataifisha Alumasi nani atajua pesa ya Alumasi imeingizwa serikalini? Amelisababishia Taifa hasara nyingi ikiwemo kulipa meli ya samaki mabilioni na kituo cha mafuta kule mwanza, zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kulipa makandarasi hewa, kununua kivuko feki kwa bilion 8 wakati bei halisi ilikuwa milion chache tu, njaa zitakuua limbukeni wewe, Acha kujitoa fahamu hili jukwaa ndipo wajinga kama wewe hupewa Ukweli kwani bado mnakaa na kusadiki Mtukufu ana uchungu na wananchi wakati na yy ni wale wale ana ajenda zake kaja na mbinu zake za kupiga kwa kuwatisha Wapinzani kubaka demokrasia kuwabambikia kesi ili uoga utawale apige vyake kiulaini kama alivyofanya kwenye ununuzi wa ndege na ujenzi wa reli na chato Airport.Hii ndiyo inayodhihirisha kuwa CDM mmekuwa muflisi kifikra. Ni kweli hapo nyuma serikali za CCM ziliweka sheria mbovu na kusaini mikataba mibovu ya madini wakati Magufuli akiwa waziri. Hakuna utata hapa.
Sasa hivi Magufuli ni Rais na ameamua kwa dhati kurekebisha hii kasoro na wewe mwenyewe unaona matokeo yake. Shutuma hapa ipo wapi kwa serikali hii?
Hapa ndipo mnaponikasirisha. Tumepata mtu anaetatua matatizo ya nyuma yaliyopigiwa kelele nyingi na upinzani lakini bado hamridhiki. Mnataka Magufuli afanye nini ili mridhike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa matusi yakianza kuporomoka najua nimeshindwa mjadala. Sijui namna ya kuyajibu matusi.Wewe ni.zuzu ni mjinga mjinga nilikuambia mapema hutaweza kujibu chochote umekalia kutoa mifano ya kipuuzi na ujinga ujinga mara kamati mara nini huo ujinga wenu upo miaka yote na hauhasaudia kitu na ww mjinga mjinga badala ya kujibu hoja umekuja na long story za kishamba ni vigumu kukuelimisha kojoa ukalale.
Huna mjadala wewe ulianza wewe na neno Upuuzi sasa nimekujibu unaanza kuchachawa nilikuambia mapema huwezi kujibu hoja kwani umekula vicent vya CCM unajikanyaga kanyaga tu huna loloteHuwa matusi yakianza kuporomoka najua nimeshindwa mjadala. Sijui namna ya kuyajibu matusi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ametueleza Rais juzi. Watu walikwishasema Barrick wameondoka, tumeshindwa mjadala lakini serikali haitaki kusema.wewe ujasikia kwamba tumeambiwa wameongeza watu?
Unajua watu kama wewe mnaotumwa kuja kutukana watu hapa wanawaonea sana. Mko wepesi sana katika hoja na mkikwamishwa mnaendea kutukana.Fikra mufrisi unazo ww punguani kwani umekariri zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM mpaka unatia kinyaa, huyo Mtukufu unayemtetea unadhani anasaka nini zaidi ya kutafuta fursa ya kutembelea migodi ili apewe Zawadi kimya kimya kama mkapa? Jana kataifisha Alumasi nani atajua pesa ya Alumasi imeingizwa serikalini? Amelisababishia Taifa hasara nyingi ikiwemo kulipa meli ya samaki mabilioni na kituo cha mafuta kule mwanza, zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kulipa makandarasi hewa, kununua kivuko feki kwa bilion 8 wakati bei halisi ilikuwa milion chache tu, njaa zitakuua limbukeni wewe, Acha kujitoa fahamu hili jukwaa ndipo wajinga kama wewe hupewa Ukweli kwani bado mnakaa na kusadiki Mtukufu ana uchungu na wananchi wakati na yy ni wale wale ana ajenda zake kaja na mbinu zake za kupiga kwa kuwatisha Wapinzani kubaka demokrasia kuwabambikia kesi ili uoga utawale apige vyake kiulaini kama alivyofanya kwenye ununuzi wa ndege na ujenzi wa reli na chato Airport.
Nakusikitikia sana. Kama umeishiwa na hoja ni vema unyamaze kuliko kijidhalilisha hivi kwa kutupa mitusi.Hicho kijamaa kinachojiita " Kifyatu " ni kijinga jinga fulani hivi Akili zake kama za kubwa jinga Le mutuz ni vigumu kujibizana na kijitu cha hivyo kwani mkiwa live unaweza ukajikuta umepewa kesi ya jinai baada ya kumpiga vibao.
Umeshinda.Huna mjadala wewe ulianza wewe na neno Upuuzi sasa nimekujibu unaanza kuchachawa nilikuambia mapema huwezi kujibu hoja kwani umekula vicent vya CCM unajikanyaga kanyaga tu huna lolote Akili zako ni ndogo kama za Kubwa jinga Le mutuz.