Unajua sikuwahi kufikiria kuna Watu ambao ni finyu ktk kuwaza kama huyu jamaa Ila inawezekana ukawa hujalelewa ktk Familia bora kabisaaa
 
Ukiweza kuimudu lugha yako naimani hata akili yako itawaza vitu vyenye manufaa na vyenye tija lugha huiwezi vipi vitu ambavyo vinahitaji fikra pana?
Sawa Dada maana walimu wengi wa Kiswahili ni madada ma nguin
 
Hivi kana huruma umeikosa hata aibu huna? Upuuzi kabisa huu.
 
Humuamini hata katibu mkuu wako wa wizara ya afya ambae waziri wako Ummy alitutangazia kuwa ni miongoni mwa madaktari waliomuhudumia Dodoma?

Ujinga ukizidi ubinadamu unapungua sana.
Ninao ushahidi kutoka kwa wafanyakazi wenzake mbeya kuwa dr mpoki ni kada kindaki ndaki wa CHADEMA...... Nilipo ambiwa hili nikawaza sana kama tukio hili limetokea ama ni lakutengenezwa kisayansi
 
Ni Ujuha kuingiza siasa kwa makusudi ya kupotosha ukweli.Lissu alishambuliwa kihuni.Kama jamii moja ilitakiwa kulaani ushetani huu kwa sauti moja.lakini kunafanyika upotoshaji kwa lengo maalumu kuficha ukweli
 

ina maana lowassa siku hizi ana miliki ndege? ile ni ndege ya Flying doctors(AMREF) so ina kila accessory ya kumhudumoia mgonjwa kule ndani... kuliko kupandishwa kwenye ndege ya kwaida ambayo haijawa installed na vitu vya medical care
 
Mods sitaki kuwafundisha kazi, lakini kuna thread nyingi sana za watu wa CCM kukejeli shambulizi la kinyama alilofanyiwa Tundu Lissu kana kwamba yule ni mnyama na si binadamu. Kuendelea kuziacha nyuzi hizo ni kukaribisha lugha za kuudhi na matusi hivyo kushusha hadhi ya jukwaa letu.
 
Kikombe mlichokiandaa mtakinywea Tu hata Kama mpapalike Kama kuku aliyekatwa shingo Hilo ni lenu haliepukiki kwa mbinu yoyote hata kwa kupigwa kwa SMG ya risasi 38 Hilo ni lenu.
 
Ninao ushahidi kutoka kwa wafanyakazi wenzake mbeya kuwa dr mpoki ni kada kindaki ndaki wa CHADEMA...... Nilipo ambiwa hili nikawaza sana kama tukio hili limetokea ama ni lakutengenezwa kisayansi
La kutengeneza
 
Acha mapovu kijana
 
ina maana lowassa siku hizi ana miliki ndege? ile ni ndege ya Flying doctors(AMREF) so ina kila accessory ya kumhudumoia mgonjwa kule ndani... kuliko kupandishwa kwenye ndege ya kwaida ambayo haijawa installed na vitu vya medical care
Anacho maanisha angetafta hawa wa kuwadhamini hiyo hela
 

NAsikia yule wa Lugalo mmeshamsafirisha kwenda SA kutibiwa ina maana Muhimbili imekuwaje tena??Au Madaktari hakuna tena??
 
Mtasemana sana tu..mnashangaa na kuumia kuona risasi 38 zote zomekosa ...mkaiahia kumuumiza tu..sasa mnafanya kila niia kufuta nyayo zenu...itafaamika tu..
 
Hukumpa ulinzi kisa unasema kwa ujinga wako anabwabwaja, sasa njia ya kuzuia kubwabwaja ni kuuwa? Mbona huko CCM mnabwabwaja ni wengi sana je? na nyie mpigwe Risasi?
Mungu ameekupa akili uzitumie, siyo kusema kama mtu mpumbavu. Ukiona maisha yako yanatishiwa unaenda kuripoti polisi, unatoa maelezo, wanatafuta jinsi ya kukusaidi. Kuitisha press conference siyo kuripoti polisi. Changanya na zako.
 
Mawazo yanayotokana na ubongo wa matope, Mahakama peke yake ndiyo yenye kuhitimisha kuwa walompiga risasi Lisu walikusudia kumuua. Siyo wewe mjinga mjinga usiyejua hata chembe ya sheria. Nenda shule kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…