Una hoja nzuri ambazo inawezekana ukawa sahihi lakini ikiwa unahisi kuna watu wasioitakia mema serikali ndio wasababishi wa shambulio na si serikali mbona wapinzani walipo hitaji uchunguzi huru ikibidi kutoka vyombo huru mbona serikali haikukubali ikiwa uchunguzi huo ulikuwa unakuja kuwaangamiza hao wabaya wa serikali walioratibu shambulio hilo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
waliochukua cctv camera na kuondoa walinzi getini na kuzuia Polisi kuwahoji majirani kuzuia watu kuvaa T-shirt za Tundu Lisu na kuzuia maombi sala dua mbalimbali ndiyo hao walitaka kumuua Tundu Lisu, kwa lugha rahisi ni wewe na wenzako huko CCM
 
CCM yote ni mbulula hakuna anayeweza kujibu hayo maswali
 
Vyombo vya uchunguzi vya Marekani vilifanya upelelezi kwa Siri vikawapata wahusika wote na kumpatia list yote Tundu Lisu pindi akiona inafaa atawaanika kwani wengi ni wakazi wa Dsm walienda kufanya shambulio wakarejea Dsm ingawa wengine wamezawadiwa vyeo wapo mikoani sasa
 
Tatizo watu wanaotumwa kuja Mitandaoni kuitetea serikali ya wasukuma wawili makatili huwa hawatafakari kabla ya kuandika hujiandikia tu hovyo hovyo kisha kuchukua posho na kuondoka lakini baadae wakisoma majibu ya watanzania wenye weledi na upeo hukaa na kujutia umbulula wao na tayari wamegundua Tanzania ya sasa si ile ya zamani ya kutengeneza mazingira ya kuwabambikia kesi wau kirahisi
 
wanaficha camera huku kila kitu kiko wazi !
 
Wasalaam, naomba kuuliza kwa upole kabisa ni wakinanani walishiriki katika jaribio kuua mbunge ambaye ni muwakilishi wa wanasingida na watanzania kwa ujumla? Ni nani watu wasiojulikana? Maana bado wapo na hawajajulikana. Je lissu akirudi nyumbani Tanzania Leo si atakutananao tena watu wasiojulikana maana hawajakamatwa kwasababu hawajulikani. ( watu wasiojulikana)
 
Mkuu walisema ni watu wasiojulikana na bado hawajajulikana hadi Leo hii
Wacha kujitoa ufahamu ndugu haihitaji akili ya darasani kuwajua, we angalia wanaotokwa povu kwa kupona kwake kisha tafuta boss wao na wapambe wake usipowajua na wewe utakua hamnazo. ila ukiwajua urudi hapa nikupe like.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…