Hata Lissu mwenyewe alisema ni Serikali ya Tanzania kama unabisha au umetumwa sema tukuwekee clip ya Lissu hapa, na Serikali ikajibu kuwa hawawezi kumjibu kwa sababu ni mgonjwa
 
umeuliza kwa hiyari yako sasa subiri upewe majibu , kama ulikuwa unabeep sasa ndio utajua maana ya tigo rusha

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ila ww week hili.unanifirahisha mno..asbh bimekumbuka uzi wako wa lissu ati oh mlidhani Lisu.hataweza nunua hata chumvi ya NEALπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kisa mmestopisha mshahara wake hahahahhajaa had sasa nacheka balaa jamanπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
umeuliza kwa hiyari yako sasa subiri upewe majibu , kama ulikuwa unabeep sasa ndio utajua maana ya tigo rusha

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ila ww week hili.unanifirahisha mno..asbh bimekumbuka uzi wako wa lissu ati oh mlidhani Lisu.hataweza nunua hata chumvi ya NEALπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kisa mmestopisha mshahara wake hahahahhajaa had sasa nacheka balaa jamanπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mtoa mada anatuenjoy tu huyu😏
 
lisu alidhamilia kutengeneza movi ya kiki za kisiasa
Wewe ni mmoja wa shetani ambao hamuwezi kutoa shetani wezenu. Mtumwa wa DHAMBI na mtetea DHAMBI. Ila eleweni mtake msitake DHAMBI YA KUTAKA KUMUUA LISU MTAIBEBA TU. maana mnajitahidi kuisukumia kwa wengine. MUNGU ANAJUA NI YENU TU. hahahaaaa kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…