Hata Shetani anakushangaa sana!JF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.
Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.
2 Mguu ulioumia ni wa kulia..
3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?
4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?
5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.
Karibuni wataalamu tudadavue.
Queen Esther
Kumbe yale matundu yanayoonekana kwenye gari ndiyo koo, strange world. Wakati naiona picha ya lile gari huku nikijaribu kuhesabu yale matundu sikuwa na ufahamu kuwa kile ni kioo, na hata ya kuwa Lissu si statue na hana uwezo wa kugeuka au kujigeuza ua kujilaza kifudifudi sikuwa nikifahamu.JF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.
Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.
2 Mguu ulioumia ni wa kulia..
3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?
4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?
5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.
Karibuni wataalamu tudadavue.
Queen Esther
Kama zilivyopiga kona za tomahawk missiles na kumkuta Aquilina Aquiline vile.Kwani risasi zilizotumwa na wabaya
wake haziwezi kupiga kona hewani kama tomahawk missile?
RubbishJF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.
Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.
2 Mguu ulioumia ni wa kulia..
3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?
4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?
5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.
Karibuni wataalamu tudadavue.
Queen Esther
JF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.
Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.
2 Mguu ulioumia ni wa kulia..
3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?
4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?
5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.
Karibuni wataalamu tudadavue.
Queen Esther
Nafsi zinawasuta tu nyie!
Una uhakika risasi zilipiga kwenye kiio tu?
Huoni risasi nyingi zilipungu nguvu kwa kupiga mlango kwanza?
Ukilaza kiti na ukakilalia kifudifudi, mguu upi uatakuwa mlangoni we kilaza?
Mkatubu nyie watu!!
Kwanza hata kukujibu tunakosea,tunatakiwa tukuache na unafiki wako maana ukweli unaujua ili nafsi ndio inakutesa unaleta propaganda za kijinga na kipuuzi!!
Mkuu, msamehe bure! Ingekuwa ni baba yake kapata tukio lile, angeuliza hivyo?Nafsi zinawasuta tu nyie!
Una uhakika risasi zilipiga kwenye kiio tu?
Huoni risasi nyingi zilipungu nguvu kwa kupiga mlango kwanza?
Ukilaza kiti na ukakilalia kifudifudi, mguu upi uatakuwa mlangoni we kilaza?
Mkatubu nyie watu!!
Kwanza hata kukujibu tunakosea,tunatakiwa tukuache na unafiki wako maana ukweli unaujua ili nafsi ndio inakutesa unaleta propaganda za kijinga na kipuuzi!!
Mkuu ata mimi nashangaa yaani gari inagongana uso kwa uso alafu dereva afi ila abiria siti ya nyumba anakufaKama kweli ameumia mguu wa kulia kweli inafikirisha kwani kwa magari yanayotumika Tanzania dereva hukaa upande wa kulia na anayemuendesha kushoto. Labda kama alikaa nyuma ya dereva, kama alikaaa mbele mhh
Mkuu anasema kama kuna mtu anaongea sana na anawasaliti dawa ni kumpiga risasi!Dreva wa Tundu Lisu alipohijiwa alisema walikaa karibu dakika tano walipofika nyumbani kabla hawajaanza kushambuliwa. Dreva aliporonyoka na kukimbia upande wa pili baada ya risasi kuanza kurindima bila kuwa na jeraha lolote. Tundu Lisu alilala kufudifudi kujiandaa na hizo risasi yeye, hakuweza kutoroka. Dreva wa Lisu alisema waliona wanafuatiliwa kuanzia jengo la Bunge.
Tundu Lisu akirudi na dreva wake washirikiane na Polisi uchunguzi umalizike, waache kulialia wakiwa nje bila kutoa ushirikiano.
BTW Ben Saanane alilipotiwa kwamba alikimbia India alikokuwa anasoma baada ya kufanya mauaji. Je, Chadema kama chama wanaweza kuthibitisha hili?
Usihangaike sana Tundu Lissu hamkumpiga risasi yuko mzima Ubelgiji anatanua na mke wake.JF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.
Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.
2 Mguu ulioumia ni wa kulia..
3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?
4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?
5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.
Karibuni wataalamu tudadavue.
Queen Esther