Hakuna serikali inayotaka kuchafuliwa kijinga duniani...nashangaa sana serikali ya JPM kukalia kimya hizi tuhuma za kumuuwa Lissu jambo ambalo linazidi kuwaaminisha wananchi kuwa serikali inahusika kwa 100%.
 
Jipige kifuani kisha useme mimi Athuman Bagura ni TAHIRAAAAAA



Pumbavu zako kabisa... Weee kwa tope lako ulojaza kichwan, unahii wasingempiga wao Risasi, Jiwe na serikali yake wangekaa kimya hivi???


Apigwe na wazungu alafu hao hao wamtibu wamuokoe???

Alipigiwa Eneo gan??????


Weee ni Lijingaa, Tahiraa, Pumbavu kabisaaa
 
Nijukumu la serikali kulinda wananchi wake bila kujali itikadi zao
Ni jukumu la DPP na DCI kufungua kesi ya jinai na kuifuatilia mahakaman.

Ni nani nchi hii anauwezo wa kushambulia kwenye makazi ya wabunge na mawaziri bila kujulikana?

Nani aliondoa Cctv
 

Nimesoma comments zilizopo hadi ninaandika hii.

Haipo hata moja inayokuunga mkono wala kuwa na shaka na nani alidhamiria kumwua kipenzi huyu cha wengi.

Habari hiyo tu bado haikutoshi kulipitia tena bandiko lako kama ilikuwa ni kukengeuka au ni kisebu sebu cha buku 7 tu?
 
Nani alimnyima mgonjwa stahiki zake? Na kwanini?

Sent from my OPPO R11s using JamiiForums mobile app
 
Upumbavu ukizidi ni mzigo kwa jamii..kama familia yako ina msomi wa namnayako basi hiyo familia nayo inawalakini.
 
Alafu nahili Jina lako

Manyoko wewe ,umekuja kwa spidiii humu kuna watu makini.


Nikilitafuta hili jina lako FB au IG... Nitakukuta wee ni kajamaaaa hakana kazi, kamechoka, kajinga kajinga hakaeleweki. Hakana kichwa wala mbeleee



Wazazi wako wamekusomesha bureeee
 
Askari wa serikali risasi tatu tu akikulenga huombi maji hao hawakuwa askari
 
Mkuu hata huko Geita kilomita 2 kutoka chato wamemkataa Muongo huyu ,angalia video hapo chini jinsi walivyompokea ni YEYE.
Ulizaliwa kwenye mkesha wa mwenge wapi, Chato? Bila shaka wewe utakuwa ni mjukuu wa shangazi. Ukoo wote hasara tupu!
Your browser is not able to display this video.
 
Daktari achana nae huyo mpuuzi mmoja wamezoea kuishi kwa uongo.
 
Umetumwa kudunga uwongo hapa,sasa mbona leo ,maji yapo shingoni,yaani kwa hapa tulipofika hatutaki kusikia longolongo zozote kutoka kwa CCM na wajumbe wake,aina zote za wajumbe wa CCM na taarifa zao kusema ukweli hakuna mwananchi hata mmoja anaezisikiliza kwa weledi,yaani mtu anasoma maelezo yenu ,hitimisho anaona mumeandika uwongo.
Ndio mnaambiwa CCM haina tena wasikilizaji inawasomaji tu,mtu anajisomea aafu uyoo anenda kumupa kura ya Ndio Lissu,CCM mmepauka vibaya sana hata nguo za mtumba zina afazali.
 
Wewe una toa haya maelezo kama nani?
Kama serikali haitaki kusema kitu miaka mittu sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…