Wewe sio serikali
Acha serikali ijitetee yenyewe..

Why walizuia wabunge kumtembelea hospitali?

Why matibabu pia walileta zengwe?
Kumfukuza ubunge je??

Hata polisi hutazama trends za matukio baada ya tukio kupata wahusika wa wa uhalifu..
Why camera ziling'olewa?
 
Pia kuna swala LA Yeye wakurugezi wa acacia na vyama vya upinzani

Ule mgao aliolipwa alidanganya ni kwa ajili ya kugawia viongozi wa upinzani na wa serikalii wabunge wa CCM ili kuwafanya wakubali hakupeleka hata shilingi mia watoaji wakawa wanaulizia vipi pesa Lisu aliwapa wakasema hamna hata Mbowe hakuambulia kitu MTU pekee aliyepewa hiyo pesa ni Fatuma karume ambaye naye aliila yote bila kuifikisha kwenye kampuni ya uwakili ya IMMA advocates kama gharama za kisheria za ACACIA

Pia wakurugenzi wa ACACIA walikubaliana na Lisu kuwa pesa ikiingia awashukuru kwa kuwakatia yeye hakurudi zote akazitumbukiza tumboni

Hiyo hela ilimjengea maadui wengi waliokuwa wamepanua midomo kuisubiri kuanzia bungeni baadhi ya wabunge ,serikalini kwa baadhi ya wafanyakazi na viongozi wa vyama vya siasa baadhi ikiwemo Chadema yenyewe

Ndio maana Lisu aligoma kabisa kutoa ushirikiano na polisi aliowadhurumu anawajua vizuri sana

Lisu mzigo uliopewa kwa nininhukufikisha?
 
Amekaa kushoto kwenye gari risasi zinampiga mguu wa kulia ajabu sana. Akili za kuambiwa changanya na zako.
 
UMEANDIKA HABARI REFUU LKN MM MASWALI YANGU NI MACHACHE TU KAMA SEREKALI HAIHUSIKI JEE
(1) NINANI MWENYEUWEZO KTK NCHI HII MPAKA AKAWAONDOA WALINZI WA GETINI NYUMBA ZA WABUNGE NA MAWAZIRI ZINAZO LINDWA MASAA 24
(2) NANINANI ALIONDOA CCTV CAMERA KTK MAENEO YA NYUMBA ZA WABUNGE
(3) NANINANI ALIYEZUIYA WATU WASIMUOMBEE DUA TUNDULISU
(4) NAKWANINI AKAVULIWA UBUNGE NA KUTOTOA HATA SENT TANO SEREKALI KUMCHANGIA LISU
(5) NA JEE NINANI ALIYE WAZUIYA WABUNGE NA VIONGOZI WA CHAMA CHAKE WASIENDE NAIROBI KUMUONA LISU ........NAOMBA UNIJIBU MASWALI YANGU

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna serikali inayotaka kuchafuliwa kijinga duniani...nashangaa sana serikali ya JPM kukalia kimya hizi tuhuma za kumuuwa Lissu jambo ambalo linazidi kuwaaminisha wananchi kuwa serikali inahusika kwa 100%.
Kwani wewe humjui nani alipanga na kutekeleza unyama ule kwa Mh Lissu. Tusipomtetea Mh Lissu Ardhi itanena juu yake.

Tuwekeni ushabiki na unafiki pembeni sote kwa pamoja tuwakemee wahusika wa jaribio lile. Na Mhusika Mkuu sote tunamjua.
 
Aliyekuajiri na tahira kama wewe
 
Ikiwa ndio uchunguzi wa polisi huo na ushahidi wanao kwa nini mbowe asishtakiwe na polisi?
 
Huo ujinga peleka kwa wajinga wenzio kijijini kwenu
 
Hakuna serikali inayotaka kuchafuliwa kijinga duniani...nashangaa sana serikali ya JPM kukalia kimya hizi tuhuma za kumuuwa Lissu jambo ambalo linazidi kuwaaminisha wananchi kuwa serikali inahusika kwa 100%.
Wananchi wote mjini na vijijini ukiwauliza nani alitaka kumua lissu, majibu yao yako wazi, ni serikali
 
Kwa upande was serikali haukutimiza wajibu wake ipasavyo
 
Gazeti la udaku refuuu sasa ndio umeandika nini, kubwa jinga kwendeni na njaa zenu uko, mbona ujaanzisha uzi wa wezi wa ardhi.
 
Wewe ni bure kabisa hebu leo hii mkate hata mtoto wako na panga halafu asiende kushitaki sababu ni baba uone kama utaendelea kubaki uraiani.
Sasa iweje yeye akafungue jalada la kushambuliwa?? Au siku hizi mtu hata akijeruhiwa sababu hajashitaki mtuhumiwa hakamwatwi??
Ficha ujinga wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…