Serikali haiwezi kukosa kujua liye fanya haya Mashambulizi, POLICE, Mgambo, jeshi, TISS hao woote washindwe? na wasijue? km mjeda anavamiwa tu mtaani lkn anaamua kumsaka mbaya wake na wenzake tena kirahisi kabisa, sembuse kwa nchi?
 
wew ndiye unahusika?
 
Umetumia mbinu tunayoiita Analysis for Competitive Hypothesis ACH, Ila umekosa matrices zinazochuja validity ya dhana zako hizo.
 
U mean dia mengi lakini hukujiuliza kwa nini?

1. Cctv camera ziliondolewa baada ya tukio.
2. Walinzi siku ya tukio katika eneo lenye ulinzi muda wote hawakuwepo?
3. Kila lilikuwa linataka kufanywa kwa ajili ya lissu kama kuombewa dua,kumchangia damu, t-shirt zenye jina "pray for Lissu" serikal ili zilipiga marufuku?
 
Ni yule yule aliyetaka kumuua Nape Nnauye
 
Ziko taarifa kuwa walinzi na waangalizi wa CCTV camera walinunuliwa kabla ya tukio.
 
Waliomshambulia Lissu Kwa maelekezo toka juu ni:
1. Paul Makonda
2. Mwigulu Nchemba
3. Job Ndugai
 
Waliomshambulia Lissu Kwa maelekezo toka juu ni:
1. Paul Makonda
2. Mwigulu Nchemba
3. Job Ndugai
Libashite na baba yake
 
Waliomshambulia Lissu Kwa maelekezo toka juu ni:
1. Paul Makonda
2. Mwigulu Nchemba
3. Job Ndugai
Huyo Job Ndugai hakushirikishwa kabisa kuhusu tukio, hata CCM hawakujua.

Ndio maana aliunda mpaka tume ya kibunge kwaajili ya uchunguzi.

Ila alivyojua Jiwe ndio mastermind akanywea na hivyo kuanza kutumia nguvu kuuubwa kujipendekeza kwa Jiwe.

Hata Mwigulu hakushirikishwa
 
Kumbe ni Makonda na babake !
 
ndammu,

..msikilize Mwigulu Nchemba mpaka mwisho.

..sikiliza hapo alipoulizwa kuhusu walinzi wa area D.


 
Habari wana JF,

Hivi kati ya hawa watano tukiachana na story za kufikirika na za vijiweni ni nani hasa alihusika na shambulio la Tundu Lissu?

Binafsi nimemuelewa Tundu Lissu hataki kurudi nchini inawezekana kabisa hajui adui yake halisi ni nani.

sasa kati ya hawa mwenye maelezo ya kutosha amtoe wasiwasi Tundu Lissu ili arudi Tanzania:-

1. Vibaka au Majambazi kwa ajili ya kutaka Mali

2. Serikali ya Awamu ya tano ikiongozwa na Hayati JPM kwa ajili ya faida za kisiasa au Maendeleo ya Nchi kwamba alikuwa kikwazo

3. CHADEMA ili kuchafua Serikali kwa faida ya kisiasa au migogoro Chamani

4. WanaCCM wasiokuwa wanapenda kinachoendelea Awamu ya Tano na Uongozi wa JPM

5. Wengineyo ,kama kwa ajili ya wivu wa kimapenzi na n.k

Ni nani hasa? Ujue kwenye Siasa kuna mambo mengi unaweza aminishwa kitu kumbe ni Propaganda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…