Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Le mutuz anahusika ni vema watu wamfate Mzee Chigwemisye na kumface kumwambia huu uzao wako ni laana kwako mtu uliyeitumika nchi kwa weledi kwenye ujana wako.Lipumba wakati wa kampeni alipopewa zile Dola milion 1.5 na CCM akatorokea Rwanda alienda akaunda kikundi cha kigaidi ndicho kaanza kukitumia sasa kuwaangamiza chadema kwa kushirikiana na Le mutuz na wenzake wasiojulikana.
Anhaa,Msake Le mutuz huko kwenye Disco na bar mtandike vibao viwili vikali Usoni atasema nani aliwatuma kwenda kufanya unyama huo, mtafute kwa bidii ungawa week yote hii anashinda mda mwingi kwa waganga wa kienyeji.
zzzzzzzzUsiku Mwema
ShuwaAna Power kweli hata ya kumimina mashasi 32 we acha tu power to chama tawala siyo to the people.
Kama wenzetu walipitia miaka nenda rudi sisi tukashindwa? Wakati wa Mchonga kilikuwa chama kimoja tulijua ndo maisha yetu tuliishi kikomunist sasa mchonga akatoka wakaanza vyama kumbe viini macho. Mimi naona turudi kule kwa zamani tujue tuna chama kimoja halafu wa kusema ndiyo waseme na akina kaboboye wa Biharamulo waliokuwa watetezi wa wanyonge na wengine waseme siyo. Hii nchi ni china na N. korea ila tofauti ni majina tu.Shuwa