Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Lipumba wakati wa kampeni alipopewa zile Dola milion 1.5 na CCM akatorokea Rwanda alienda akaunda kikundi cha kigaidi ndicho kaanza kukitumia sasa kuwaangamiza chadema kwa kushirikiana na Le mutuz na wenzake wasiojulikana.
Kama Le mutuz anahusika ni vema watu wamfate Mzee Chigwemisye na kumface kumwambia huu uzao wako ni laana kwako mtu uliyeitumika nchi kwa weledi kwenye ujana wako.
Na pengine atatuambia kuwa Le Mutuz sio mwanae ndio maana hata mama yake alimtosa hadi maisha yake ulimwenguni yakaishia kwenye umasikini wa ajabu. Ila Le Mutuz hata kama hakuhusika, kwa mtu ambaye baba yake (kama anavyo mtambulisha yeye) anaishi kwa pension ya Watanzania hakupaswa kuwa anaandika yale aliyoandika kuhusu mkasa wa Lissu.
Nadhani hata hao anaoita dada zake yaani yule Dokta na aliyekuwa Jaji wanajisikia aibu kuwa na ndugu wa aina hiyo
 
Msake Le mutuz huko kwenye Disco na bar mtandike vibao viwili vikali Usoni atasema nani aliwatuma kwenda kufanya unyama huo, mtafute kwa bidii ungawa week yote hii anashinda mda mwingi kwa waganga wa kienyeji.
Anhaa,
Basi ukimuona mwambie albadr haizuiliki kwa Waganga wa Kienyeji
 
Huyu mtu amesema wazi kabisa kuwa ukiwa msaliti huwezi ku-survive. Maana halisi ni kuwa atakuua. Lakini ni nani anayeamua kuwa fulani ni msaliti na mwingine ni mzalendo? Msaliti ni mtu gani? Ni yule anayehoji maamuzi mabaya? Ni yule anayekataa maamuzi ya kijinga? Au ni yule ambaye anaimba nyimbo za kusifu hata pale ambapo kuna uwongo na hadaa za kisiasa zilizo mbali na ukweli? Ni yule anayesema hewala kwa kila analotamka mkubwa hata kama siyo sahihi?

Leo hii, mimi kama raia nikikwaruzana na jirani yangu halafu nikimwambia kuwa nitakumaliza, kesho yake ikatokea jirani yangu amevamiwa, kwa uhakika kabisa, mimi nitakuwa mtuhumiwa wa kwanza. Kwenye hili, hivi tuna shaka lolote la mtuhumiwa mkuu kwa tukio la TL?
 
Mi nina uhakika wananchi watakuja kuonyesha hasira zao kwa vitendo siku moja,watawala wasidhani wananchi wataendelea kua waoga kila siku kwamaana wameshajua kua uoga hausaidii wao kua salama bora wajaribu na ukatili.Time will tell.
 
Ushauri wangu ni kwamba from now onn wabunge wakifwatiliwa hasa majimboni mwao wapige yowe la mwizi ili wafwatiliaji wafe kifo cha majambaji maana hata serikali inawakana, lakini tulipofikia kumiliki siraha ni mhimu
 
Lipumba anajua picha yote juu ya unyama wanaotendewa chadema
 
Hata shetani hutenda kazi zake kama wewe ufanyavyo, shetani hujua namna ya kulaghai, uongo, uzandiki, kukosanisha, majungu na kikubwa KUPOTOSHA UKWELI.
Unayofanya wewe huna tofauti na 'yule mwovu'
 
Hapa mtaani kwetu kuna kichaa anafahamu hlo sasa ww waleta nadharia
 
Kama wenzetu walipitia miaka nenda rudi sisi tukashindwa? Wakati wa Mchonga kilikuwa chama kimoja tulijua ndo maisha yetu tuliishi kikomunist sasa mchonga akatoka wakaanza vyama kumbe viini macho. Mimi naona turudi kule kwa zamani tujue tuna chama kimoja halafu wa kusema ndiyo waseme na akina kaboboye wa Biharamulo waliokuwa watetezi wa wanyonge na wengine waseme siyo. Hii nchi ni china na N. korea ila tofauti ni majina tu.
 
Back
Top Bottom