Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Nini kinawafanya mlalamike kuwa hakupewa ulinzi baada ya kusema (majukwaani) kuwa maisha yake yako hatarini. Mnataka polisi wa toe ulinzi kwa mtu anayebwabwaja tu kwenye press conference?
Hukumpa ulinzi kisa unasema kwa ujinga wako anabwabwaja, sasa njia ya kuzuia kubwabwaja ni kuuwa? Mbona huko CCM mnabwabwaja ni wengi sana je? na nyie mpigwe Risasi?
 
Walete tu Scotland Yard. Ndiye msema kweli.
Wakifika hao na FBI ujue Siku ya kwanza lazima Bashite Maliyamungu atakamatwa akifuatiwa na Lipumba kwani walikuwepo ndani ya Nissan nyeupe wakitoa Amri ya kupiga Risasi.
 
Hebu tusaidie, watu hao wana uhusiano gani na wale wanaozuia maombi kwa ajili ya Lissu?! Ni nani anayeidhinisha bajeti finyu ya polishi itumike kuwinda t-shirts za 'pray for Lissu?!
Waliochachawa waliposikia al badr inasomwa waliogopa nini na wana uhusiano upi na wauaji?!
Bashite Maliyamungu ametoa Rushwa kwa kila aliyetaka kusoma Albadri, kazuia Albadri zote nchini kwa njia ya Rushwa kaamua kuwatumia polisiccm kuzuia maombi dhidi ya Lisu akiogopa Maombi ya wazi Mungu huyapokea haraka sana na anahofia kuadhibiwa na mungu.
 
Hapo namba 3 sijaona hata siku moja serikali ya awamu ya 5 akajibu hoja za Lissu kwa data ni vitisho na kuwekwa ndani mahakamani anaishinda serikali kwa hoja tena dakika ya kwanza tu ya mchezo sasa hapo panahitaji mpaka uwe na digrii?
 
Kuna kila sababu ya kujitafakari upya ni wapi tumekosea;siasa za mauaji tanzania zinakuja kwa kas sana toka uchaguz wa 2015.Nazani hili tukikaa kimya tutaangamia..hii sio tanzania yetu..tunaachwa mbali sana na kenya ktk utawala wa katiba na demokrasia wakat tanzania tunakwenda kwa kasi kule rwanda na burundi walipo, kuana kwa risasi..huko hawana siasa za hoja ni siasa za bunduki...Sasa kama kuna mtu anashangilia na kudhani yuko salama pengine ajiulize yuko salama kiasi gan?

alaaniwe yeyote aliyeagiza na wale waliotekeleza shambulio la Tundu lisu. ukoo wao ufutike ktk dunia kwa njia ya aibu kabisa...Mungu tunakushukuru ukuu wako umeonekana dhahiri pale ambapo umeulinda uhai wa mtu(Tundu lisu) asiyekuwa na hatia kutaka kupotezwa na mashetani wasiopenda kuambiwa ukweli na wasiopenda haki tanzania.
 
Kuna kila sababu ya kujitafakari upya ni wapi tumekosea;siasa za mauaji tanzania zinakuja kwa kas sana toka uchaguz wa 2015.Nazani hili tukikaa kimya tutaangamia..hii sio tanzania yetu..tunaachwa mbali sana na kenya ktk utawala wa katiba na demokrasia wakat tanzania tunakwenda kwa kasi kule rwanda na burundi walipo, kuana kwa risasi..huko hawana siasa za hoja ni siasa za bunduki...Sasa kama kuna mtu anashangilia na kudhani yuko salama pengine ajiulize yuko salama kiasi gan?

alaaniwe yeyote aliyeagiza na wale waliotekeleza shambulio la Tundu lisu. ukoo wao ufutike ktk dunia kwa njia ya aibu kabisa...Mungu tunakushukuru ukuu wako umeonekana dhahiri pale ambapo umeulinda uhai wa mtu(Tundu lisu) asiyekuwa na hatia kutaka kupotezwa na mashetani wasiopenda kuambiwa ukweli na wasiopenda haki tanzania.
Wasio Takiwa Kujulikana
 
Baadhi ya mambo yanayoendelea yananifanya nisiamini kwamba lissu alishambuliwa na watu wa mbali naye, unaweza kuwa mpango tu endelevu wa kukusanya hela au ya kutafuta huruma kisiasa, maana wanaweza wakamdhuru lissu kwa nia ya kupata sifa zaid na wakafanya hivyo kwa kumficha lissu ukweli,

Hivi jiulize ukimya wa mtu anayeonekana kutetea kwa nguvu nafasi yake ndani ya chama mpaka waanze kuhoji?
Yule mzee Edward Ana hela kwanini hakutaka kuchangia ndege mpaka wadhaminiwe usafiri wa ndege ,? Ina maana marafiki wa lowassa ni kwa ajiri ya ikulu tu?

NANI mpaka sasa ameenda Nairobi kumuona akiruhusiwa kama si nyalandu na mpango wao wa kutafta huruma ya wananchi kugombea arusha mjini?

Tutajua mengi hebu tuendelee

Hii inapelekea mimi kujiuliza maswali haya.
  1. Kama wahusika wa Tukio la shambulio la Tundu Lissu, ni wale "jamaa zetu", kwa vile wale ni ma pro, and they have never missed the target, kama ni kweli ni wao, how could they missed the target?. Hawa watakuwa sio wale!, na kama ni wale, saa hizi tungekuwa tunazungumza mengine!. Unless wamejifanya to miss the target makusudically ili kupiga maboya kwa kupoteza lengo ionekane ni amateurs.
  2. Kama they have 100 ways to do elimination in a good way, on natural death, look like, accidents, or any clean job that nobody would've suspected anything, why do such a dirty job?.
  3. Was Tundu Lissu such a threat to status quo ya yule boss wao?, kama kuna defectors very high rankings wame cross na wamejizolea kura nyingi kuliko zilizomuingiza Kikwete madarakani ile 2010, hawa ndio the real threat!, kwa nini hawa wasiwe targeted?. Why Lissu?
Paskali

Nyingine ukipitia uzi huu waweza pata picha halisi ya nini chafanyika

Wanachokitengeneza CHADEMA ni siasa za "Appeal to Fear"
Pili kwanini mpaka sasa familia haiwekwi karibu na tukio zima, yaan ni Jambo la kushangaza, ni dili imepangwa kahusishwa mke tu??

Mbali na mke, kuna mwanafamilia mwingine aliyemtembelea Lissu Nairobi?

Muda mwingine najiuliza hivi hawa watu vipi mbona michango imekithiri isije kuwa lengo lao

HAYA NDIYO MANENO YALIYOTOKA KINYWANI MWA Mbunge, Mwanasheria na Raisi wa TLS Mhe TUNDU LISSU AKIWA KITANDANI LEO

"Kwa wengine wanaopenda kuchangia wanaweza kufanya hivyo kwa kufuata njia zifuatazo;

Benki: CRDB
Jina la Akaunti: CHADEMA M4C
Namba: 01J1080100600
Tawi: MBEZI BEACH

Huhitaji kwenda Benki:
Unaweza kuchangia kwenda kwenye akaunti hiyo ya benki kupitia huduma za M-PESA au Tigo Pesa na au Airtel Money kama ifuatavyo:

1. Kuchangia kupitia M-PESA:
Piga: *150*00# chagua 6, Huduma za Kifedha, kisha chagua 2,.M-PESA kwenda Benki; kisha chagua 1, CRDB; na kisha 1, weka namba ya akaunti ambayo ni 01J1080100600. Baadaye malizia kwa kufuata maelekezo.

2. Kuchangia kupitia Tigo Pesa
Piga: *150*01# chagua 6, Huduma za Kifedha, kisha chagua 1, Tigo pesa kwenda Benki; kisha chagua 1, CRDB; na kisha 1, kuingiza namba ya kumbukumbu ambayo ni 01J1080100600. Baadaye malizia kwa kufuata maelekezo.

3. Kuchangia kupitia Airtel Money
Piga: *150*60# chagua 1, Tuma Pesa, kisha chagua 1, Tuma kwenda Benki; kisha chagua 2, CRDB Bank; na kisha 1, ingiza namba ya akaunti ambayo ni 01J1080100600. Baadaye malizia kwa kufuata maelekezo.

Hakuna mchango mdogo. Tuungane kusaidia matibabu ya Mhe. Tundu Lissu. Sala zetu ziambatane na michango yetu.!
[HASHTAG]#PRAYFORTUNDULISSU[/HASHTAG]

OK tuendelee au yaweza kuwa kwa ajili ya kujisafisha na accacia??
Kutokana na tuhuma nyingi dhidi ya kupokea rushwa yaweza kuwa njia ya kuwaaminisha watu kuwa hakupokea maana hata hela ya ndege iliwakosa si angetumia hizo?
Kuko wapi Kuhongwa kwa Lissu na Acacia?

Na kama kashambuliwa kweli basi ni ndani ya chama chake wanaosaka nafasi za juu
Swali:Je inawezekana mlemavu ama ukilema wa kufanyiwa au wa kuzaliwa nao,Tanzania akagombea nafasi ya juu akashinda?

Kupitia hayo tu naona sintofahamu Nyingi tu, ngoja tusubiri,
 
Tanzania ina watu wajinga sana mtu anataka kuuliwa hadi gari polisi wako wamelitaja unakuja na mambo ya kupuuzi kiasi hiki hii nchi inatia kinyaa uwezo wa akili na kufikir ni sifuri ndio mana wakina chenge wanatunyoosha.
 
Kwahyo akina Spika aliyetangaza tukio hilo kwamba nae alikuwa Hospital , Naibu Spika aliyetoa gari la kumpeleka Hosp na Ummy wote wamehongwa?
 
Baadhi ya mambo yanayoendelea yananifanya nisiamini kwamba lissu alishambuliwa unaweza kuwa mpango tu endelevu wa kukusanya hela au ya kutafuta huruma kisiasa?

Hivi jiulize Nani akiruhusiwa kumuona hospitalini nje ya wabunge wa upinzani na ndugai kufika na kumchungulia kwenye vioo tu uko theater?

NANI mpaka sasa ameenda Nairobi kumuona akiruhusiwa kama si nyalandu na mpango wao wa kutafta huruma ya wananchi kugombea arusha mjini?

Tutajua mengi hebu tuendelee



Nyingine ukipitia uzi huu waweza pata picha halisi ya nini chafanyika

Wanachokitengeneza CHADEMA ni siasa za "Appeal to Fear"
Pili kwanini mpaka sasa familia haiwekwi karibu na tukio zima, yaan ni Jambo la kushangaza, ni dili imepangwa kahusishwa mke tu??

Mbali na mke, kuna mwanafamilia mwingine aliyemtembelea Lissu Nairobi?

Muda mwingine najiuliza hivi hawa watu vipi mbona michango imekithiri isije kuwa lengo lao



OK tuendelee au yaweza kuwa kwa ajili ya kujisafisha na accacia??
Kutokana na tuhuma nyingi dhidi ya kupokea rushwa yaweza kuwa njia ya kuwaaminisha watu kuwa hakupokea maana hata hela ya ndege iliwakosa si angetumia hizo?
Kuko wapi Kuhongwa kwa Lissu na Acacia?

Na kama kashambuliwa kweli basi ni ndani ya chama chake wanaosaka nafasi za juu
Swali:Je inawezekana mlemavu ama ukilema wa kufanyiwa au wa kuzaliwa nao,Tanzania akagombea nafasi ya juu akashinda?

Kupitia hayo tu naona sintofahamu Nyingi tu, ngoja tusubiri,
Sawa sawa kabisa
 
Uwezo wa kuandika kiswahili fasaha huna tutegemee nini kichwani mwako? Takataka kabisa wewe bora hata takataka unaweza kuzichoma ukaota moto au kuzifanya mbolea wewe ni mjinga.
Sawa shaban Robert mwalimu wa Kiswahili
 
Na nani anayezuia watu wasimuombee Lissu ..................!!?

Na ni nani anayezuia watu wasichangie damu .........................!!?
 
Back
Top Bottom