Hakuna lingine la maana zaidi ya huyu jamaa, olewa nae, tumechoka na thread zake
La maana kama tungemsifia mungu wa ccm na mtakatifu wa uvccm wala usinge panic kaka yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna lingine la maana zaidi ya huyu jamaa, olewa nae, tumechoka na thread zake
Man, daily issue hiyohiyo tu?Daaa!! hii ndio Tanzania ya leo!!!
Hata aliyemiminia mvua ya risasi ameshaomuogopa Lissu. Aliyemuepusha na kifo kile pale "msalabani" atamlipia kisasi.
Hakuna lingine la maana zaidi ya huyu jamaa, olewa nae, tumechoka na thread zake
Kama unaona inapendeza poa, Lakini mnaboa kwa kulazimisha thread za Lissu zi _trend Kila siku?La maana kama tungemsifia mungu wa ccm na mtakatifu wa uvccm wala usinge panic kaka yangu
Man, daily issue hiyohiyo tu?
Thread za kulazimisha hizo!
Lazima tufahamu nchi Lazima isonge mbele, Lissu kaumia, mungu atamponya mungu kwa rehema zake atampa nguvu ya akili na mwili aje kulitumikia taifa kama alivyokua mwanzo.
Tuwaze na nje ya box kama vijana, sio kulazimisha tukio la Lissu daily
Kama unaona inapendeza poa, Lakini mnaboa kwa kulazimisha thread za Lissu zi _trend Kila siku?
Albadir inatinga tu kwa msomaji kutokua na makandokando na aliedhuriwa pia asiwe na makandokando, vinginevyo mtasubiri Sana, uliza mashekh wakupe darasa paganism weweKwani umeitwa??hakika Albadir siyo mchezo
Nyumbu bana!, hata uwafanyaje!Ni vyema ukiuona UZI wa Lissu usiufungue Mkuu utaishi kwa amani na raha.Ukiona za JPM fungu tu maana ndizo zikufurahishazo
for what kumiminiwa risasi no wander mnaambiwa mmefanya kutafuta kiki he he he pathetic. mnakaa na kuwaza tuseme nini losersHahahaaaaa kufa ukitaka, the man will still catch the media headlines for so long!
Nafikiri ungefurahia watu wakitoa salamu za rambirambi.Hakuna lingine la maana zaidi ya huyu jamaa, olewa nae, tumechoka na thread zake
Wa kuogopwa sio Lissu bali YEYE aliyemwezesha kuyaweza yote katika YEYE.Hata aliyemiminia mvua ya risasi ameshaomuogopa Lissu. Aliyemuepusha na kifo kile pale "msalabani" atamlipia kisasi.
Albadir inatinga tu kwa msomaji kutokua na makandokando na aliedhuriwa pia asiwe na makandokando, vinginevyo mtasubiri Sana, uliza mashekh wakupe darasa paganism wewe
Wa kuogopwa sio Lisu bali YEYE aliyemwezesha kuyaweza yote katika YEYE
P
Nyumbu bana!, hata uwafanyaje!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13]Shemeji Bwana unaniacha hoi kabisa,haya kesho nimeamua ninatinga viunga vya Posta na T-shirt Pray4Lissu nadhani askari wote wa Central Police waweza kuwa halali yangu,hivyo tayarisha vijisent kama huna weka rehani kale kanyumba ketu ka hapo Jangwani.😕😕😕😕😕