PENTAKINYE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 817
- 827
UNAUSHAHIDI GANI KAMA NDIYE ALIYETOA AMRI YA KUMPIGA LISU ACHA UCHONGANISHI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo Stone akaamua kumdedisha. Mungu hatoki chattle.
Anachokifanya kama kumpigia mbuzi gitaa,kama kweli nguli wa sheria na ana concrete evidence kwanini asiende mahakamani kuliko kupiga kelele?Alifanya kosa sana kutaka kumfunga kinywa Lisu kwa kudhamiria kumuua.
Jiwe miezi yake inahesabika ataondolewa kwenye ulingo wa siasa.
sindano inazidi kuingia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]upuuzi ati work.huuujinga utaliharibu taifa
ha haaaaa! ndiyo ndoto ya Lisu hata kabla ya kupigwa. alishasema mara kadhaa! kama ndo kiki hiyo Aendelee kupiga gotiAlifanya kosa sana kutaka kumfunga kinywa Lisu kwa kudhamiria kumuua.
Jiwe miezi yake inahesabika ataondolewa kwenye ulingo wa siasa.
Hapo sisi hatumo kabisa, ila ungepeleka ushahidi polisi ungesaidia kuweka wazi uropokaji wa Lissu. Maana hata mi nasimama kwa Magu yupo Bold lakin asingewez kumfanyia hiyo na bado akaishia kupigwa mguu! ana watu wa kiulinzi halafu aishie kwa mtu asiyejua shabaha na mipango kama mimi!Alieendesha shambulio ni Ndugai narudia Ndugai narudia Ndugai.
2. Raia wenye chuki na Lissu kwa kuikalia kooni serikali.
Hii inawezekana kabisa. Wengi walimshutumu Lissu kwa kupinga sera zote za serikali (mimi nikiwa mmojawao). Kuna watu walikwenda mbali zaidi na kusema wanataka serikali iwaruhusu wamuue. Ndio maana kuna umuhimu wa kuwakamata na kuwafikisha mahakamani watu hawa.
Katika demokrasia watu tunashambuliana vikali kwa hoja na sio kwa kuumizana au kuuana. Kama hii itathibitika, basi kuna umuhimu wa kuwapatia ulinzi wanasiasa machachari wanaoibua hisia kali.
Kuna uwezekano mkubwa dhana hii ni sahihi.
Mungu aliwaagiza waisrael kuua hadi watoto waliozaliwa siku hiyohiyo...! Tanzania is big than Lissu.Kwa hiyo Stone akaamua kumdedisha. Mungu hatoki chattle.
Tumekusikia Kifyatu. Kuna maswali 3 ambayo Tundu Lissu amekuwa akiuliza lakini hakuna aliyejitokeza kujibu. Wanaotakiwa kujibu wananyamaza. Hata wewe umekwepa kuyajibu. Si kwamba hujayasikia Bali no kwa kuwa ukijaribu kujibu tu utajikuta unamsonda yule ambaye usingependa aonekane kuwa ndo aliyehusika na jaribio LA mauaji ya Tundu Lissu. Maswali haya no:Nasema "alietaka kumuua" kwa sababu ukiangalia yale matundu ya risasi upande wake wa gari utajua kuwa hawa watu hawakutaka kumtishia tu. Walidhamiria kumuua.
Niungane na Watanzania wenzangu kumuombea Tundu Lissu dua/sala ili apone kikamilifu, Amin.
Nimejiuliza maswali mengi kuhusu shambulio hili la kipekee kwa mbunge (sijui kama kulikwishatokea shambulio jingine kama hili), hapa Tanzania.
Yafuatayo ni malumbano ya kifikra ndani ya nafsi yangu kuwa ni nani hawa waliotaka Tundu Lissu afe. Maoni yako yanahusika, tafadhal.
Nimefikiria wahusika katika dhana 4. Nitazichambua hizi dhana moja moja.
Dhana zenyewe ni hizi. Washambuliaji ni:
1. Vichaa fulani tu. (Random act)
2. Raia wenye chuki na Lissu kwa kuikalia kooni serikali.
3. Serikali yenyewe
4. Watu wenye chuki na serikali (false-flag attack) ili waisingizie serikali uovu huu.
1. Vichaa fulani tu. (Random act)
Hii inawezekana lakini inakinzana na taarifa za kuwa Lissu alikuwa anafuatiliwa na magari kwa kipindi kirefu. Huu mpango ulisukwa na pia walijua wanaemtaka hadi kumfuata mpaka nyumbani kwake. Sidhani hii ilikuwa ni Random Act. Dhana hii ni potofu.
2. Raia wenye chuki na Lissu kwa kuikalia kooni serikali.
Hii inawezekana kabisa. Wengi walimshutumu Lissu kwa kupinga sera zote za serikali (mimi nikiwa mmojawao). Kuna watu walikwenda mbali zaidi na kusema wanataka serikali iwaruhusu wamuue. Ndio maana kuna umuhimu wa kuwakamata na kuwafikisha mahakamani watu hawa.
Katika demokrasia watu tunashambuliana vikali kwa hoja na sio kwa kuumizana au kuuana. Kama hii itathibitika, basi kuna umuhimu wa kuwapatia ulinzi wanasiasa machachari wanaoibua hisia kali.
Kuna uwezekano mkubwa dhana hii ni sahihi.
3. Serikali yenyewe
Kuna watu mitandaoni wanadhani ni serikali yenyewe ndio imeunda hii mbinu ya kumuua Lissu ili awaondolee kelele. Wengi wanasema Lissu amefichua siri nyingi za serikali kufikia kuwa tishio kwa hii serikali.
Kwa maoni yangu huu ni upuuzi. Serikali hii inakubaliwa na watanzania wengi. Hoja karibuni zote alizotoa Lissu dhidi ya serikali zinaweza kujibiwa kirahisi sana. In fact, baadhi ya shutuma za Lissu zinaipaisha serikali kwa Watanzania. Kelele za Lissu zinaweza kuwa baraka (blessing) kwa CCM ifikapo 2020. Kumuua Lissu kutajenga hisia za uonevu na kuwaonea huruma CDM ifikapo uchaguzi mkuu. Serikali haiwezi kufanya kosa hilo.
Kwa hiyo dhana hii ni potofu
4. Watu wenye chuki na serikali (false-flag attack) ili waisingizie serikali uovu huu.
Hii dhana inahusisha watu wanaoichukia serikali (sio lazima wapinzani, inaweza kuwa watu wa nje) wanaotaka kumuondoa Rais Magufuli madarakani ifikapo 2020 kwa kuihusisha serikali yake na mauaji ya Lissu.
Serikali ya Magufuli imeathiri maslahi ya watu wengi sana wa ndani na wa nje. Akiendelea hivi hivi ana uhakika kabisa wa kupita ifikapo 2020. Sasa utaitoaje hii serikali madarakani ifikapo 2020. Jenga chuki kwayo.
Kama nilivyoeleza kwenye dhana namba 3, watu wakiamini kuwa serikali imemuua Lissu kinyama basi watawaonea huruma CDM na kuichukia CCM. CDM watachukua dola ifikapo 2020.
Je ni nani hawa wanaotaka kufanya unyama kama huu na kuisingizia serikali ya CCM (false-flag attack)?
Nina dhana nyingine 2 au 3 hivi (mfano, internal politics within CDM) lakini ni za pembeni sana na uwezekano wake ni karibu na sifuri. Kwa sasa hayo ndio malumbano yanayoendelea kichwani mwangu.
Please tell me I am not crazy.
==============================
Baada ya michango mingi iliyowekwa hapa kuna dhana niliyoigusia tu (Internal politics within CHADEMA) na wengi kuuliza kwa nini sikuifafanua. Hapa chini naiongeza ingawaje mwanzoni sikuipa kipaumbele.
Dhana ya 5.
Maadui wa ndani wa CHADEMA walitaka kumuua Lissu ili watimize malengo 3 yafuatayo.
1. Lissu aondoe ushindani katika uchaguzi ujao wa Uenyekiti.
2. Lissu aondoe ushindani katika uteuzi ujao wa mgombea urais ifikapo 2020.
3. Lissu atumiwe kama kafara ili kuipa CHADEMA mvuto na kuonewa huruma na kuichukia serikali katika uchaguzi wa 2020.
Huko chattle yuko ibilisi tu. Labda ndiye aliyeagiza pyu pyu pyu.Mungu aliwaagiza waisrael kuua hadi watoto waliozaliwa siku hiyohiyo...! Tanzania is big than Lissu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili swali ni zuri sana.Tumekusikia Kifyatu. Kuna maswali 3 ambayo Tundu Lissu amekuwa akiuliza lakini hakuna aliyejitokeza kujibu. Wanaotakiwa kujibu wananyamaza. Hata wewe umekwepa kuyajibu. Si kwamba hujayasikia Bali no kwa kuwa ukijaribu kujibu tu utajikuta unamsonda yule ambaye usingependa aonekane kuwa ndo aliyehusika na jaribio LA mauaji ya Tundu Lissu. Maswali haya no:
1. Kwa nini walinzi wanaolinda kila siku kwenye mango LA kuingilia hawakuwepo wakati was tukio? Je ni nani Kati ya vichaa Fulani, watu wenye chuki na Tundu Lissu, watu wenye chuki na serikali (false-flag attack), CHADEMA au serikali yenyewe ana mamlaka ya kuondoa walinzi katika eneo LA lindo?
Hapa nadhani bila shaka POLISI (wapelelezi) ndio walioziondoa kamera na kuchukua mikanda/media zinazorekodi tukio. Walifanya hivyo siku ya pili baada ya tukio.2. Ni nani kati makundi yaliyotajwa hapo juu ana mamlaka ya kuamuru CCTV ambazo zili-record tukio ziondolewe?
Hii sidhani kuwa ni kweli.3. Kwa nini hata MTU mmoja hajahojiwa wala failing LA uchunguzi halijafunguliwa?
no maswali TAL anauliza kila siku lakini hajajibiwa. Labda wewe unaweza kujaribu.
Lissu alisema atanyamaza akiwa kaburiniwale waliotaka kumuua Dk. Ulimboka walijulikana? Ingawa siamini kama walitaka kumuua bali kumyamazisha na wamefanikawa.
Huenda hata kwa Lisu ni kwa kusudi la kumnyamazisha tu, je watafanikiwa? Will Lisu bow?
Vv
Kwa ukumbusho tu...wakati wa mauaji ya Mwandishi Daud Mwangosi, msemaji wa Jeshi la Polisi alishawatuhumu Chadema kuhusika! Bahati mbaya kwao picha ikamuonesha polisi akimlipua huyo mwandishi na hivyo Chadema wakapona...isingekuwepo picha, hadi leo viongozi wa Chadema wangekuwa ama wanatumikia kifungo au wamepotezwa.
Sasa tuchukulie ni polisi ndio walioziondoa kamera. Kwa nini?
Kabla ya kuendelea zingatia hili:
Kamera na footage viliondolewa BAADA ya Lissu kushambuliwa na sio KABLA
Kama Serikali ingekuwa nyuma ya tukio hili, zile kamera zingeondolewa kabla ya lile shambulizi