Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kwa aina ya Elimu zetu, japo ni suala la sheria ila katumwa mtu wa miamba,
Usishangane, hata hiyo miamba , HAJUI CHOCHOTE, SANASANA ANAJUA KUPITIA SLIDES, NA KWENDA KUFUNDISHA UPUPU WANAFUNZI[emoji1787][emoji1787][emoji1787] .
Embu Fikiria,
Tuna Kiongozi Mjinga, hata yeye anasema alisoma akafeli ,akafeli feli weeeee ila amekua kiongozi "hata Mimi wanangu sikufanya vizuri kidato Cha Nne [emoji1787][emoji1787].
Huyo huyo kiongozi, anashauriwa na vichwa vya
Nape [emoji1787] , aliyeamua kwenda kuchukua degree India, Degree uchwara ya kubebwa......... ( Mwanangu Kasome chochote tu upate Degree uwe na sifa tukupe Uwaziri )
Makamba [emoji1787] huyu kajizi ka mitiani. ( Mwanangu soma chochote tuu, upate Degree, tukupe Uwaziri)
JK Msoga, huyu Hadi kufeli Kwa mwanawe akaamua badilisha Mfumo wa matokeo Kwa majina,
!!.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]