Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Ni kweli,na Mruma alishiriki pia .Alikuwa GST kipindi hicho.Sema ndo Rais yeye ndo kila kitu.Hata kitaaluma unaona haipo sawa ila inabidi ufuate maamuzi ya Rais.Hii mikataba ya kijinga iliingiwa kipindi cha JK yote