Ni nani aliyemtuma Prof. Mruma (Geologist) kuiwakilisha Tanzania kwenye Mahakama ya ICSID?

Ni nani aliyemtuma Prof. Mruma (Geologist) kuiwakilisha Tanzania kwenye Mahakama ya ICSID?

Tanganyika kila kukicha tunaamka na aibu za kimataifa.

Bado tunaulizana ni nani aliuandika mkataba wa bandari na kusainiwa usiku bila kusomwa linaibuka lingine la kupigwa faini za mabilioni na kumtumwa Geologist kwenda kuwa wakili wa kuiwakilisha serikali.

Mfumo wa uongozi uliopo ni dhaifu kuanzia kuwaza, kufikiri, kiutendaji, kufuatilia na hauna Aibu.

Duh
Tanganyika inavunwa sana aisee!
 
Hii habari IPO bias,haijakamilika hata video inaoneka imeunganishwa vipisi pisi.lete taarifa zote za habari hii
Hapa kuna mawili, either wewe ni mnufaika na mfumo huu wa kubebwabebwa au utakuwa na mtindio wa ubongo. Ok, tuseme kuwa video imeunganishwa, je majibu ya huyo Prof wako yana mashiko? Ana confidence ya kutosha ukilinganisha na opponent wake? Kwa kutumia akili yako hiyo ya kuvukia barabara, unahisi ni nani ataibuka kidedea kwenye huo mjadala/negotiation/kesi
 
Tanganyika kila kukicha tunaamka na aibu za kimataifa.

Bado tunaulizana ni nani aliuandika mkataba wa bandari na kusainiwa usiku bila kusomwa linaibuka lingine la kupigwa faini za mabilioni na kumtumwa Geologist kwenda kuwa wakili wa kuiwakilisha serikali.

Mfumo wa uongozi uliopo ni dhaifu kuanzia kuwaza, kufikiri, kiutendaji, kufuatilia na hauna Aibu.

MKUU UNA ULIZA MAJIBU ? SIKU DP WORLD WATAKAPOTUTAPELI USISHANGAE KINA MAULIDI KITENGE NA ZEMBWELA WAKATUWAKILISHA
 
Tanganyika kila kukicha tunaamka na aibu za kimataifa.

Bado tunaulizana ni nani aliuandika mkataba wa bandari na kusainiwa usiku bila kusomwa linaibuka lingine la kupigwa faini za mabilioni na kumtumwa Geologist kwenda kuwa wakili wa kuiwakilisha serikali.

Mfumo wa uongozi uliopo ni dhaifu kuanzia kuwaza, kufikiri, kiutendaji, kufuatilia na hauna Aibu.

Prof Mruma hakuwa mtaalam wa tume, alikuwa Mtendaji Mkuu wa GST na GST haihusiki na uamuzi wa kufuta leseni ambao ndio kiini cha kesi. Alikwenda ICSID kutetea Nchi yake, amefanya alichoweza, apongezwe, asibezwe. Hakuna mtu angefanikiwa kutetea makosa ya wazi ya serikali ya JPM kwenye madini
 
Kwa aina ya Elimu zetu, japo ni suala la sheria ila katumwa mtu wa miamba,

Usishangane, hata hiyo miamba , HAJUI CHOCHOTE, SANASANA ANAJUA KUPITIA SLIDES, NA KWENDA KUFUNDISHA UPUPU WANAFUNZI[emoji1787][emoji1787][emoji1787] .

Embu Fikiria,

Tuna Kiongozi Mjinga, hata yeye anasema alisoma akafeli ,akafeli feli weeeee ila amekua kiongozi "hata Mimi wanangu sikufanya vizuri kidato Cha Nne [emoji1787][emoji1787].


Huyo huyo kiongozi, anashauriwa na vichwa vya

Nape [emoji1787] , aliyeamua kwenda kuchukua degree India, Degree uchwara ya kubebwa......... ( Mwanangu Kasome chochote tu upate Degree uwe na sifa tukupe Uwaziri )

Makamba [emoji1787] huyu kajizi ka mitiani. ( Mwanangu soma chochote tuu, upate Degree, tukupe Uwaziri)

JK Msoga, huyu Hadi kufeli Kwa mwanawe akaamua badilisha Mfumo wa matokeo Kwa majina, yeye mwenyewe pale UDSM alipata ka GPA kaduchuuuuuuu ,kalikomfanya ashindwe Kusoma Masters yoyote ....... HUYU ALIUPATA URAIS ,KWA SABABU WANAWAKE WA CCM, WALIMPENDEA WEUPE WA RANGI, NA HUU NDIO UKWELI )!!.


mtaongezea wengine !!!!!!!!


Huyu wa Sasa ,ALIUPATA URAIS KWA SABABU NI MWANAMKE, WALA SIO UWEZO, NI KWA SABABU YA UANAMKE NA UZANZIBAR .



sasa Ndugu zangu, Hawa watu watatupeleka wapi???? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Tunaongozwa na wajinga sana, vilazaa, mbumbumbuuuuuuuuuuu wakutupwa !!.
Umemaliza kila kitu.
 
Mkuu uyu Professor Mruma ndiye alikuwa Waziri na ndiye alisaini mkataba huo kama leo unavyoshuhudia Waziri Makame Mbarawa anavyotetea mkataba aliousaini kijinga hivyo Professor Mruma ndiye mwenye dhamana ya kujibu sio mwingine maana alisaini kwa niaba ya Rais na Rais ameishkufa ulitaka abanwe nanai? Ata mawakili watagoma kwenda kutetea Mawaziri vilaza kama awa. Niambie ni wakili yupi atakubali kwenda kutetea mkataba TATA wa DPW na Tanzania miaka michache ijayo?

Tunaposema tunaongozwa na wajinga mtuelewe awa wanastahili kupigwa risasi hadhalani.
DPW kesi iko concluded hata kabla ya mradi kuanza .kesi ikitokea hakuna hata ya kukimbiza hayo ma vichwa boga
 
Tanganyika kila kukicha tunaamka na aibu za kimataifa.

Bado tunaulizana ni nani aliuandika mkataba wa bandari na kusainiwa usiku bila kusomwa linaibuka lingine la kupigwa faini za mabilioni na kumtumwa Geologist kwenda kuwa wakili wa kuiwakilisha serikali.

Mfumo wa uongozi uliopo ni dhaifu kuanzia kuwaza, kufikiri, kiutendaji, kufuatilia na hauna Aibu.

Maskini jamaa anateseka kwa kujipatia sifa za kijinga wakati wa MAGU. Lissu aliwaambia mtanyolewa bila maji mkampiga risasi kumuua. Sasa Mungu amemuweka kuwashuhudia mkinyolewa (professorial rubbishes)
 
Aliyeingia hii mikataba mibovu ni JK na anayelipa fidia ni Saa100.

Saa100 na JK ni Uji na mgonjwa.

Hatuoni Tanganyika tunapigwa!!!
Shida ni aliyeivunja na ukifuatilia vizuri clips unaona kabisa kuna matatizo ya kisera
 
Prof Mruma hakuwa mtaalam wa tume, alikuwa Mtendaji Mkuu wa GST na GST haihusiki na uamuzi wa kufuta leseni ambao ndio kiini cha kesi. Alikwenda ICSID kutetea Nchi yake, amefanya alichoweza, apongezwe, asibezwe. Hakuna mtu angefanikiwa kutetea makosa ya wazi ya serikali ya JPM kwenye madini
Duuh mzee wa watu ametia huruma hadi sio vizuri .Wangekua mtiti wa huko Wangemtuma Mzee wa jalalani .Mzee amekinywe kikombe
 
Kwa aina ya Elimu zetu, japo ni suala la sheria ila katumwa mtu wa miamba,

Usishangane, hata hiyo miamba , HAJUI CHOCHOTE, SANASANA ANAJUA KUPITIA SLIDES, NA KWENDA KUFUNDISHA UPUPU WANAFUNZI[emoji1787][emoji1787][emoji1787] .

Embu Fikiria,

Tuna Kiongozi Mjinga, hata yeye anasema alisoma akafeli ,akafeli feli weeeee ila amekua kiongozi "hata Mimi wanangu sikufanya vizuri kidato Cha Nne [emoji1787][emoji1787].


Huyo huyo kiongozi, anashauriwa na vichwa vya

Nape [emoji1787] , aliyeamua kwenda kuchukua degree India, Degree uchwara ya kubebwa......... ( Mwanangu Kasome chochote tu upate Degree uwe na sifa tukupe Uwaziri )

Makamba [emoji1787] huyu kajizi ka mitiani. ( Mwanangu soma chochote tuu, upate Degree, tukupe Uwaziri)

JK Msoga, huyu Hadi kufeli Kwa mwanawe akaamua badilisha Mfumo wa matokeo Kwa majina, yeye mwenyewe pale UDSM alipata ka GPA kaduchuuuuuuu ,kalikomfanya ashindwe Kusoma Masters yoyote ....... HUYU ALIUPATA URAIS ,KWA SABABU WANAWAKE WA CCM, WALIMPENDEA WEUPE WA RANGI, NA HUU NDIO UKWELI )!!.


mtaongezea wengine !!!!!!!!


Huyu wa Sasa ,ALIUPATA URAIS KWA SABABU NI MWANAMKE, WALA SIO UWEZO, NI KWA SABABU YA UANAMKE NA UZANZIBAR .



sasa Ndugu zangu, Hawa watu watatupeleka wapi???? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Tunaongozwa na wajinga sana, vilazaa, mbumbumbuuuuuuuuuuu wakutupwa !!.
Naomba maji ninywe
 
Mkuu huyu Professor Mruma ndiye alikuwa Waziri na ndiye alisaini mkataba huo kama leo unavyoshuhudia Waziri Makame Mbarawa anavyotetea mkataba aliousaini kijinga hivyo Professor Mruma ndiye mwenye dhamana ya kujibu sio mwingine maana alisaini kwa niaba ya Rais na Rais ameishkufa ulitaka abanwe nanai? Ata mawakili watagoma kwenda kutetea Mawaziri vilaza kama awa. Niambie ni wakili yupi atakubali kwenda kutetea mkataba TATA wa DPW na Tanzania miaka michache ijayo?

Tunaposema tunaongozwa na wajinga mtuelewe awa wanastahili kupigwa risasi hadhalani.
Mruma aliwahi kuwa waziri?

Unatukana wajinga Kumbe wewe mwenyewe ni zero kabisa
 
Huu ndo ukweli,Sema Magufuli ndo akaifuta.Hapo ndo kosa sasa .Maana hata kama ni mikataba ya Hovyo ndo ilikuwa ishapitishwa.Magufuli alitakiwa kufumba macho na kuacha mengine yapite.Ni kama wa vyeti feki tu.
Lissu alipotoa ushauri akaamuru atandikwe risasi
 
Kwa aina ya Elimu zetu, japo ni suala la sheria ila katumwa mtu wa miamba,

Usishangane, hata hiyo miamba , HAJUI CHOCHOTE, SANASANA ANAJUA KUPITIA SLIDES, NA KWENDA KUFUNDISHA UPUPU WANAFUNZI🤣🤣🤣 .

Embu Fikiria,

Tuna Kiongozi Mjinga, hata yeye anasema alisoma akafeli ,akafeli feli weeeee ila amekua kiongozi "hata Mimi wanangu sikufanya vizuri kidato Cha Nne 🤣🤣.


Huyo huyo kiongozi, anashauriwa na vichwa vya

Nape 🤣 , aliyeamua kwenda kuchukua degree India, Degree uchwara ya kubebwa......... ( Mwanangu Kasome chochote tu upate Degree uwe na sifa tukupe Uwaziri )

Makamba 🤣 huyu kajizi ka mitiani. ( Mwanangu soma chochote tuu, upate Degree, tukupe Uwaziri)

JK Msoga, huyu Hadi kufeli Kwa mwanawe akaamua badilisha Mfumo wa matokeo Kwa majina, yeye mwenyewe pale UDSM alipata ka GPA kaduchuuuuuuu ,kalikomfanya ashindwe Kusoma Masters yoyote ....... HUYU ALIUPATA URAIS ,KWA SABABU WANAWAKE WA CCM, WALIMPENDEA WEUPE WA RANGI, NA HUU NDIO UKWELI )!!.


mtaongezea wengine !!!!!!!!


Huyu wa Sasa ,ALIUPATA URAIS KWA SABABU NI MWANAMKE, WALA SIO UWEZO, NI KWA SABABU YA UANAMKE NA UZANZIBAR .



sasa Ndugu zangu, Hawa watu watatupeleka wapi???? 🤣🤣🤣


Tunaongozwa na wajinga sana, vilazaa, mbumbumbuuuuuuuuuuu wakutupwa !!.
Kabsaaaa.
 
Aisee ukiitazama case ile hakika nchi yetu inatia aibu sana, mpaka unaweza jiuliza ivi hawa TISS kazi yao ni kupiga risasi tuuu? Kwanini wasianze na watu gani wawe kwenye sehemu nyeti

Wanasheria walikuwa wapi mpaka mzee wawatu anaenda kuaibika?

Pia tutambueni jamani kuwa GPA kubwa sio uwezo , tupigeni hatua na kutazama uwezo wa mtu,

Haya
 
Back
Top Bottom