Ni nani aliyemtuma Prof. Mruma (Geologist) kuiwakilisha Tanzania kwenye Mahakama ya ICSID?

Jamaa walikua wanawaza perdiems mpya za serikali za nje ya nchi hahahahha
Unajijua wewe lugha ya malkia huiwezi ila sababu ya perdiem unang'ang'ania kwenda mwishowe nchi inashindwa kesi na kulipa hela kibao tu sababu ya tamaa zako za perdiem.

Kwa hizi clips hawa jamaa wafilisiwe tu
 
Mfumo wa uongozi uliopo ni dhaifu kuanzia kuwaza, kufikiri, kiutendaji, kufuatilia na hauna Aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajijua wewe lugha ya malkia huiwezi ila sababu ya perdiem unang'ang'ania kwenda mwishowe nchi inashindwa kesi na kulipa hela kibao tu sababu ya tamaa zako za perdiem.

Kwa hizi clips hawa jamaa wafilisiwe tu
HAPANA, hawa wanyongwe Hadi kufa
 
Tulia basi mbona akina George Bush walikuwa tu wa kawaida na amekuwa raisi wa taifa kubwa nazungumzia Bush mtoto sio baba maana baba alikuwa genius .
 
Mamaaaaaaah Sasa apa tumepigawa chenga kidogo Chali je nchi itakua ktk Hali gani ufikirifu ni mgumu kuliko utendaji
 
Basi utateseka sana.
Mana bado unaamini kwenye makaratasi.
Hao uliowataja wote tayari washatoboa kimaisha, wewe uko busy kukandia elimu zao. Haya we msomi usomi wako umekusaidia nn ikiwa mpk sasa unaongozwa na vilaza!
Yaan hapa sizungumzii makaratasi, makaratasi hata hao Vilaza wanayo.

Mimi nazungumzia Uwezo wa akili ,uwezo ambao huyaongoza Maisha ya mwanadam, Uwezo ambao humfanya mwanadam kutumia Taaluma yake ipasavyo na kuleta matokeo chanya Kwa Kila jambo linalohusiana na taaluma yake.


Kutoboa??? Hata Watoa ndagu wanatoboa, ila hakuwafanyi wasionekane ni Mabwegeee, bwege ni bwegeeee na unazeeka na Ubwege wako.

Nmeeleza hapo juuu, hao wajinga wamepata Uongozi na nyadhifa kubwa, Kwa sababu ya Wazazi wao, na Kwa sababu za kijinga jinga kama hizo kua Mwanamke, kua Mzanzibar n.k.
 
Tulia basi mbona akina George Bush walikuwa tu wa kawaida na amekuwa raisi wa taifa kubwa nazungumzia Bush mtoto sio baba maana baba alikuwa genius .
Bush mtoto licha ya ukilaza wake, alikua Rais Kwa sababu wao Wana Mfumo ambao unasimamiwa na Mabunge,na wabunge wao ndio hao wazungu unaowaona wanamchachafyaaa Prof Mruma 🀣🀣🀣
 
Hii habari IPO bias,haijakamilika hata video inaoneka imeunganishwa vipisi pisi.lete taarifa zote za habari hii
Jombaa unahitaji bando na kujua lugha ya malikia. iyo ishu ilikua live unachokiona hapo ni technolojia. Kwenye hicho kikao walikua wamekaa viti na angle tofauti so kamera na tech zikawaweka pamoja
 
Mkuu samaki mkunje angali mbichi, kule tusipeleke wanasheria waliosomea Kayumba waka graduate UDSM labda, tutafute ambao wana background ya nje.
Unafikiri tatizo ni Kayumba au background za nje???

Tatizo letu kubwa ni kufanya vitu kwa mazoea na kujuana.

Watu wanapewa wadhifa sababu ya kumjua fulani na sio sababu ya uwezo wao kiufanisi/utendaji.

Tatizo linakuja profesa anabebwa toka chini mpaka juu. Wale wanaokuja mbeleni akiwa yupo kileleni tayari huwa hawajui chimbuko lake na kuchukulia uwepo wake katika wadhifa wajuu na ile mi title ya Uprofessor kuwa tayari ni mbobezi wa field yake kutokujua yupo alipo sababu alijuana na Mkapa ambae akamuchia maagizo Kikwete kuwa asimtupe ambae nae akampasia mwingine.

Wapo wasomi wengi sana ambao wana uelewa na ufanisi wa mambo ila hawamjui Mkapa au Kikwete hivyo kuishia kuajiriwa na makampuni binafsi au kwenda kufanya kazi kampuni za nje.

Usistaajabu consulting expert wa hao wazungu waliomburuza Mruma ni Mtanzania aliesomea UDSM na sasa kaajiriwa nje.

Urasimu ndio unatumaliza.
 
Acha uongo.Mruma hajawahi kuwa waziri.Waziri kipindi hicho alikuwa Prof Muhongo.Na Mruma alikuwa Director wa GST.Sema Prof Mruma alikuwemo pia kwenye jopo la maamuzi ya kutoa Leseni ila hakuwa waziri.Hivi kwa nini mtu unadiriki kusema uongo namna hii?
 
Kana hakuwahi kuwa Waziri kaenda kama nani?
Yupo kwenye bodi za maamuzi pia ni mtaalamu wa miamba.Alikwenda kama mtaalam wa miamba yeye ndo anajua estimation ya madini yaliyomo kwenye eneo.Kumbuka hawa waliwahi kupewa leseni kipindi cha JK,na wakafutiwa kipindi cha Magufuli. Inshort Mruma alikuwepo pote kwenye jopo la kuruhusu Leseni na kwenye jopo la kufuta leseni.
 
Hii mikataba ya kijinga iliingiwa kipindi cha JK yote
 
Kweli tupu
 
Huu ndo ukweli,Sema Magufuli ndo akaifuta.Hapo ndo kosa sasa .Maana hata kama ni mikataba ya Hovyo ndo ilikuwa ishapitishwa.Magufuli alitakiwa kufumba macho na kuacha mengine yapite.Ni kama wa vyeti feki tu.
Mbona kipindi cha Magu hizi kesi hazikuwepo? JK na genge lake wananufaika na hizi kesi haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…