Ni nani aliyemtuma Prof. Mruma (Geologist) kuiwakilisha Tanzania kwenye Mahakama ya ICSID?

Duh
Tanganyika inavunwa sana aisee!
 
Hii habari IPO bias,haijakamilika hata video inaoneka imeunganishwa vipisi pisi.lete taarifa zote za habari hii
Hapa kuna mawili, either wewe ni mnufaika na mfumo huu wa kubebwabebwa au utakuwa na mtindio wa ubongo. Ok, tuseme kuwa video imeunganishwa, je majibu ya huyo Prof wako yana mashiko? Ana confidence ya kutosha ukilinganisha na opponent wake? Kwa kutumia akili yako hiyo ya kuvukia barabara, unahisi ni nani ataibuka kidedea kwenye huo mjadala/negotiation/kesi
 
MKUU UNA ULIZA MAJIBU ? SIKU DP WORLD WATAKAPOTUTAPELI USISHANGAE KINA MAULIDI KITENGE NA ZEMBWELA WAKATUWAKILISHA
 
Prof Mruma hakuwa mtaalam wa tume, alikuwa Mtendaji Mkuu wa GST na GST haihusiki na uamuzi wa kufuta leseni ambao ndio kiini cha kesi. Alikwenda ICSID kutetea Nchi yake, amefanya alichoweza, apongezwe, asibezwe. Hakuna mtu angefanikiwa kutetea makosa ya wazi ya serikali ya JPM kwenye madini
 
Umemaliza kila kitu.
 
DPW kesi iko concluded hata kabla ya mradi kuanza .kesi ikitokea hakuna hata ya kukimbiza hayo ma vichwa boga
 
Maskini jamaa anateseka kwa kujipatia sifa za kijinga wakati wa MAGU. Lissu aliwaambia mtanyolewa bila maji mkampiga risasi kumuua. Sasa Mungu amemuweka kuwashuhudia mkinyolewa (professorial rubbishes)
 
Aliyeingia hii mikataba mibovu ni JK na anayelipa fidia ni Saa100.

Saa100 na JK ni Uji na mgonjwa.

Hatuoni Tanganyika tunapigwa!!!
Shida ni aliyeivunja na ukifuatilia vizuri clips unaona kabisa kuna matatizo ya kisera
 
Duuh mzee wa watu ametia huruma hadi sio vizuri .Wangekua mtiti wa huko Wangemtuma Mzee wa jalalani .Mzee amekinywe kikombe
 
Naomba maji ninywe
 
Mruma aliwahi kuwa waziri?

Unatukana wajinga Kumbe wewe mwenyewe ni zero kabisa
 
Huu ndo ukweli,Sema Magufuli ndo akaifuta.Hapo ndo kosa sasa .Maana hata kama ni mikataba ya Hovyo ndo ilikuwa ishapitishwa.Magufuli alitakiwa kufumba macho na kuacha mengine yapite.Ni kama wa vyeti feki tu.
Lissu alipotoa ushauri akaamuru atandikwe risasi
 
Kabsaaaa.
 
Aisee ukiitazama case ile hakika nchi yetu inatia aibu sana, mpaka unaweza jiuliza ivi hawa TISS kazi yao ni kupiga risasi tuuu? Kwanini wasianze na watu gani wawe kwenye sehemu nyeti

Wanasheria walikuwa wapi mpaka mzee wawatu anaenda kuaibika?

Pia tutambueni jamani kuwa GPA kubwa sio uwezo , tupigeni hatua na kutazama uwezo wa mtu,

Haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…