Ni nani aliyewahi kuuelewa muziki wa Michael Jackson?

Ni nani aliyewahi kuuelewa muziki wa Michael Jackson?

Earth Song from the album Bad released in 1987 was shot at the Tarangire National Park in Tanzania.

Source: East Africa News.
Unasema nini?earth song ya 1987?that's why unabishana nimeelewa IQ yako sasa earth song ni ya 1995
 
Unasema nini?earth song ya 1987?that's why unabishana nimeelewa IQ yako sasa earth song ni ya 1995
Sasa IQ, kubishana na ujinga ujinga wote vimetokea wapi wewe ngumbaru? Nimeichukua hiyo huko huko mtandaoni katika kujibu kua Earth Song video kuna scene ili shutiwa Tz, Tarangire National Park,
Na ungekua una akili ungeona hapo chini nimeweka chanzo cha hiyo taarifa,

Hasira zako zirudishe kwa aliyekupatia
 
Yaani sasa hivi nashindwa kuchangia mada nyingi kwa sababu ya huu utoto uliopo humu JF....
 
Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

We mtoto nakushauri hii post uifute haraka sana kabla ya wana na moderator hawajaiona
 
Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

Kasikilize liberian girl,huenda ukaupenda,ila ungekuwepo 1990 ukasikia miziki ilikuaje ungejua kwa mini michael
 
Ndomaana nikasema kuwa kwa hili la kucheza kwa kuteleza sakafuni zamani tulikuwa tunaita "mabreka" yuko vizuri ila kwa tungo ni taaban ukilinganisha na hao niliowataja.
Unadhihirisha ulivyo mweupe, ile staili ya kuteleza inaitwa "moonwalk" na aliibuni mwenyewe. Break dancing au kama ulivyosema "mabreka" ni staili tofauti kabisa ya kucheza muziki.

Kuhusu talent ya Michael nakushauri uwe unafanya research kwanza, sio unaposti kitu ambacho hukijui.
 
Unadhihirisha ulivyo mweupe, ile staili ya kuteleza inaitwa "moonwalk" na aliibuni mwenyewe. Break dancing au kama ulivyosema "mabreka" ni staili tofauti kabisa ya kucheza muziki.
dogo ni mweupe eti mabreaka dah fedheha hizi.....
 
G.O.A.T
KIng of pop hutak kaa pale
1. We are the world
2. Human nature
3.you are not alone
4. Will be there
5. Billie jean

Ngoma kal kama hizo na bado unasema mtu hajui🖕
 

Attachments

  • c752d028e2eaf1965713e7f7ea0ab7e2.mp4
    2.1 MB
1. Jamaa ana sauti ambayo kwa kizazi cha sasa ni ngumu kuipata.

2. Anamiliki jukwaa hasa, kama kuna mtu umewahi kumuona anamiliki jukwaa vizuri ktk show, basi elewa hajafika nusu ya michael jackson.

3. Alianza kutoa video dongo zenye kuvutia toka miaka 80 na 90 na mwanzoni mwa 2000. Katafute video zake uone.

Mwisho kabisa, alikuwa na spiritual power nyuma yake, alitengenezwa kuzimuni awe vile alivyokuwa, so sio rahisi mtu kushindana nae. Alianza kutumikia masonic toka akiwa kijana mdogo, alisambaza ishu za kubadili rangi ulimwengu mzima, akaja watoto wa kupandikiza, akaja ishu ya kubadili jinsia.

Mambo yote mazito ya kipepo walianza kumtumia yeye kuwa kama mjumbe wake. Achana na zile ngonjera sijui alibadili dini, zote zile bado alikuwa ktk mission ya masonic.

Apumzike huko anakostahili kupumzishwa.
hizi habari wamekupa masonic?
 
1. Jamaa ana sauti ambayo kwa kizazi cha sasa ni ngumu kuipata.

2. Anamiliki jukwaa hasa, kama kuna mtu umewahi kumuona anamiliki jukwaa vizuri ktk show, basi elewa hajafika nusu ya michael jackson.

3. Alianza kutoa video dongo zenye kuvutia toka miaka 80 na 90 na mwanzoni mwa 2000. Katafute video zake uone.

Mwisho kabisa, alikuwa na spiritual power nyuma yake, alitengenezwa kuzimuni awe vile alivyokuwa, so sio rahisi mtu kushindana nae. Alianza kutumikia masonic toka akiwa kijana mdogo, alisambaza ishu za kubadili rangi ulimwengu mzima, akaja watoto wa kupandikiza, akaja ishu ya kubadili jinsia.

Mambo yote mazito ya kipepo walianza kumtumia yeye kuwa kama mjumbe wake. Achana na zile ngonjera sijui alibadili dini, zote zile bado alikuwa ktk mission ya masonic.

Apumzike huko anakostahili kupumzishwa.

Kuna kitu hapa cha aiseee siyo bure.
 
Sasa hao uliyowataja ni waimba pop? Maana Michael ni mwanamuziki wa pop na inaonekana hujawahi kumsikiliza nyimbo zake zote unaishia kuhitimisha tu hukijui kipaji chake kipo vipi.

Jamaa alikuwa anaimba na ana sauti nzuri sana, na hadi nyimbo zisizochezeka kaimba sana. Usimshindanishe na waimba nyimbo za mapenzi
 
20230202_020128_HDR.jpg


Moonwalk
 
Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

Dogo.
1. Hukuwepo
2. Hujui kitu
 
Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

Hujui unachoongea ww
 
Back
Top Bottom