Ni nani ameruhusu maigizo kama haya Ikulu?

Ni nani ameruhusu maigizo kama haya Ikulu?

Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?

Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967
Mkuu nchi imejaaa wajinga sana hii sishangai. Vitu kama hivi utavikuta kwenye Taifa la wapumbavu kama Tanzania
 
Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?

Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967
Mimi nataka tu kujua, kuna aliyewahi kuwaona hao wauza madafu mitaani?
 
FB_IMG_1710268957451.jpg
 
Back
Top Bottom