Kavaa vizuri kama Mama mwenye nyumba anawajulia hali wapangaji wake kwenye nyumba yake ya vyumba sita aliyowapangisha wapangaji sitaAkili zingine bana dah!
Lakini mashAllah mama amependeza sana leo. Ndo safari ya kurudi ujanani nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kavaa vizuri kama Mama mwenye nyumba anawajulia hali wapangaji wake kwenye nyumba yake ya vyumba sita aliyowapangisha wapangaji sitaAkili zingine bana dah!
Lakini mashAllah mama amependeza sana leo. Ndo safari ya kurudi ujanani nini?
HUYU MWEUPE YUPO ANAUZA SIYO MBALI NA NJE YA JENGO LA HAZINA,ALINIUZIA DAFU NIKAMUOMBA SELFIE AKAGOMA,MPAKA LEO HIYO PICHA NINAYO NA DAFU LANGU.
😂😂😂😂 DaahHUYU MWEUPE YUPO ANAUZA SIYO MBALI NA NJE YA JENGO LA HAZINA,ALINIUZIA DAFU NIKAMUOMBA SELFIE AKAGOMA,MPAKA LEO HIYO PICHA NINAYO NA DAFU LANGU.
Hapana nakataaHao ni TISS wakiwa kazini
Lengo ni kuhadaa umma kama ‘Mama ni mtu wa watu hasa wanyonge’
Wee jamaa mambo hayapo hivo bana 😂😂😂😂Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba hao kazi yao ni kuuza madafu tu ,hapo hazina ni hazizidi 10m mpaka ikulu ,hivi kwa hali ya kisiasa unafikiri kuna waziri/dc/rc/ded/rais/pm/nmw atakunywa dafu la mtu mtaani amabye hamjui wala hajui limetoka wapi? Hayo madafu yameletwa na watoto wa MZENA ,hapo kifuatacho ITV ..SANAA NA WASANII.
Bora alikuwa anaigiza nje ya Ikulu tofauti na huyuYale Yale yakambale kunywa kahawa na Yule afisa usalama rasta
Maza hawazi cha maana zaidi ya maigizo kama hayaNchi ishalaanika hii. Hicho ndicho tunakiweza; drama.
coded siyo?Kavaa vizuri kama Mama mwenye nyumba anawajulia hali wapangaji wake kwenye nyumba yake ya vyumba sita aliyowapangisha wapangaji sita
biashara kubwa mno. tatizo sijui tunaanzia wapi tufanye export nje? maana nje ni aghali sana maji ya madafu, nafuu Uarabuni.Maji ya madafu ni biashara kubwa sana nje ya Tanzania. Kuna sehemu niliona lita mbili zinauzwa $15.
Samia anawatangazia biashara mjiongeze kupiga deal nje mnashangaa shangaa.
Hamna lolote, ni kuendekeza siasa za kitoto. Si bure watu wanaishia kuiba uchaguzi, maana wanafanya maigizo yasiyo na tija yoyote, kwenye box la kura wanapoona matokeo hayaendani na maigizo Yao, wanaishia kupora mchakato.kwa jicho la siasa ni jambo la kawaida sana kwa siasa za bongo.
Nitumie link ya hilo soko kubwa nipeleke.Maji ya madafu ni biashara kubwa sana nje ya Tanzania, ughaibuni. Kuna sehemu niliona lita mbili zinauzwa $15.
Samia anawatangazia biashara mjiongeze kupiga deal nje mnashangaa shangaa.