Ni nani ameruhusu maigizo kama haya Ikulu?

Ni nani ameruhusu maigizo kama haya Ikulu?

HUYU MWEUPE YUPO ANAUZA SIYO MBALI NA NJE YA JENGO LA HAZINA,ALINIUZIA DAFU NIKAMUOMBA SELFIE AKAGOMA,MPAKA LEO HIYO PICHA NINAYO NA DAFU LANGU.

Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba hao kazi yao ni kuuza madafu tu ,hapo hazina ni hazizidi 10m mpaka ikulu ,hivi kwa hali ya kisiasa unafikiri kuna waziri/dc/rc/ded/rais/pm/nmw atakunywa dafu la mtu mtaani amabye hamjui wala hajui limetoka wapi? Hayo madafu yameletwa na watoto wa MZENA ,hapo kifuatacho ITV ..SANAA NA WASANII.



View: https://www.youtube.com/watch?v=jHoJfidL2F0
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba hao kazi yao ni kuuza madafu tu ,hapo hazina ni hazizidi 10m mpaka ikulu ,hivi kwa hali ya kisiasa unafikiri kuna waziri/dc/rc/ded/rais/pm/nmw atakunywa dafu la mtu mtaani amabye hamjui wala hajui limetoka wapi? Hayo madafu yameletwa na watoto wa MZENA ,hapo kifuatacho ITV ..SANAA NA WASANII.
Wee jamaa mambo hayapo hivo bana 😂😂😂😂
 
Germany U-boat.
Russians S-400
Iron domes.
American Abraham tanks.
Kamikazes drones.

Mizaha mizaha haiwezi kutufikisha huko, tutaendelea kuzugazuga tu.
 
Maji ya madafu ni biashara kubwa sana nje ya Tanzania. Kuna sehemu niliona lita mbili zinauzwa $15.

Samia anawatangazia biashara mjiongeze kupiga deal nje mnashangaa shangaa.
biashara kubwa mno. tatizo sijui tunaanzia wapi tufanye export nje? maana nje ni aghali sana maji ya madafu, nafuu Uarabuni.
 
kwa jicho la siasa ni jambo la kawaida sana kwa siasa za bongo.
Hamna lolote, ni kuendekeza siasa za kitoto. Si bure watu wanaishia kuiba uchaguzi, maana wanafanya maigizo yasiyo na tija yoyote, kwenye box la kura wanapoona matokeo hayaendani na maigizo Yao, wanaishia kupora mchakato.
 
Lenin.
The Steel man, STALIN.
Truman.
Roosevart.
Wilson Churchill.
Putin.
George Bush.
Bill Clinton
Xi JinPin
Mao Ze dong.
Hideki Toji.
Adolph Hittler.
and the likes.

Mizahamizaha haiwezi kujenga nchi na kuendana na speed ya Dunia.
Unahitaji watu strong, serious na wabishi kujenga taifa strong na imara.
 
Maji ya madafu ni biashara kubwa sana nje ya Tanzania, ughaibuni. Kuna sehemu niliona lita mbili zinauzwa $15.

Samia anawatangazia biashara mjiongeze kupiga deal nje mnashangaa shangaa.
Nitumie link ya hilo soko kubwa nipeleke.
 
Back
Top Bottom