Ni nani ameruhusu maigizo kama haya Ikulu?

Ni nani ameruhusu maigizo kama haya Ikulu?

fb_img_1680258242993-jpg.2572153

Mbowe alikuwa akitafuta nini Ikulu? Mpaka Mzee Kikwete aseme 'eh, Jamani mpaka huyu g:"'*#$@id' unaeza cheka.
 
Digital Blackface


...and Disinformation and not just any Disinformation.

Jamiiforums imevamiwa na genge baya sana linalotafuta kuchonganisha Wananchi kwa misingi yote, iwe ni ya Kijamii, KiSiasa, na Kiuchumi.

Mada hii ni mojaapo ya mada chochezi inayotumia fursa(taking advantage of)mida hi ya Ramadhani kuchagiza Uhasama kati ya imani za watu. Ni hatari.

Fuatilia sana hizi ID hapa, udadavue mwenyewe. Usisahau kugonga link hizo juu kupata muktadha wa tahadhari hii.

Kitaeleweka.
 
Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?

Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967
Ccm siku zote wanatafuta vituko, ili kuwafanya watu wasijadili na kufatilia Mambo ya maana, kama sio maigizo ya kuongeza bei ya sukari, ni kuleta mgao wa umeme, au script ya zuchu kuachana na Mond!, au samia kumpigia simu pastor yoyote wa mchongo! Ili kupumbaza wananchi
 
Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?

Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967

😂😂

Yaani kuwa na akili ni jambo la maana sana, kila nikisoma na kutaka kielewa huyo mwandishi alikuwa anataka kufikisha ujumbe upi wenye akili nashindwa elewa...
 
Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?

Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967
Na mimi nimefikiri hivyo.

Labda yalikuwa maonesho ya Madafu

NB: Mimi na Mwendazake ni kitu kimoja.
 
Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?

Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967
We jhichanganye tu ,oghopa ,ni khatari ,we unadhani ni wauza madafu kweli hao? VIJANA WA MAKUMBUSHO HAO.
 
Back
Top Bottom