SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Mbowe alikuwa akitafuta nini Ikulu? Mpaka Mzee Kikwete aseme 'eh, Jamani mpaka huyu g:"'*#$@id' unaeza cheka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣IKULU NI PAHALA PA WATU WOTE, MADAFU NI KINYWAJI MUJARABU SANA, MLITAKA NYIE TU MUWE MNAKWENDA KUNYWA JUICE PALE?
(chadomo bana)
Ccm siku zote wanatafuta vituko, ili kuwafanya watu wasijadili na kufatilia Mambo ya maana, kama sio maigizo ya kuongeza bei ya sukari, ni kuleta mgao wa umeme, au script ya zuchu kuachana na Mond!, au samia kumpigia simu pastor yoyote wa mchongo! Ili kupumbaza wananchiHivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?
Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967
Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?
Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967
Niliogopa maana usije ukawa ulilala kona na jamaa akikudaka iwe mwisho wa ndoa tunayoisubiri kwa hamu!Kazini
Utoto uliopindukiaHivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?
Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967
🤣🤣🤣nipo katika kipindi cha kutafakari sana mkuuNiliogopa maana usije ukawa ulilala kona na jamaa akikudaka iwe mwisho wa ndoa tunayoisubiri kwa hamu!
Upo sahihi 1000%Nchi ishalaanika hii. Hicho ndicho tunakiweza; drama.
Na mimi nimefikiri hivyo.Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?
Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967
...snap mkuuYale Yale yakambale kunywa kahawa na Yule afisa usalama rasta
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi nataka tu kujua, kuna aliyewahi kuwaona hao wauza madafu mitaani?
Kuna mmoja ameonekana na tight, helmet na Tshirt kapakiwa kwenye bodaboda majuzi huko Lindi wakasema ni mbunge anatembelea mafurikoHivi iko siku atatoka na vazi la kuogelea kweli? Mama kapendeza na huo Mtandio wa Zantel.
Huu uchaguzi ujao utawatoa watu roho
😄😄
Air HostessMuigizaji wetu wa 'royo tua'
We jhichanganye tu ,oghopa ,ni khatari ,we unadhani ni wauza madafu kweli hao? VIJANA WA MAKUMBUSHO HAO.Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?
Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967