Ni nani ameruhusu maigizo kama haya Ikulu?

Ni nani ameruhusu maigizo kama haya Ikulu?

Sasa huyo mwegelo sihataki wanaume kwanini asingetafuta wauza madafu wakike ile wamuwakilishe mama vizuri?
 
Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?

Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967
Mama yenu tangu aapishwe akili na mawazo yake yote ni uchaguzi wa 2025
 
Kwa bahati mbaya wengi akiwemo mtoa mada hawajui coconut value chain. Madafu ni biashara ya kimataifa na nchi kama India wanaingiza pesa nyingi za kigeni kwa kuuza madafu na bidhaa nyingine za minazi.
 
Hivi ni kweli hawa watu walikwenda kufanya baiashara ya kuuza madafu au walikwenda kuonesha maonesho ya madafu
Nani ana ruhusu vitu kama hivi Ikulu?

Yani wanajaribu kusema na kufanya nini? Ni wangapi wamenunua hayo madafu kuwaunga mkono hawa wajasiriamali?
View attachment 2932967
Upo sawa Ivi kweli ndani ya Ikulu hakuna minazi , na je ukifuturu lazi upate na dafu
 
Ila wanajamiiforums bwana kwa sura hizo zilizokongoroka hivyo mtoa mada na wengine wenye mtazamo wa kitiss tiss kuna sura yaweza shika Smg/Ak47 au niseme glock/ ah pistol hapo kweli.


Kuhusu mbowe and the likes .. naona picha imehusishwa hapo hao si ni elites /ruling class..

Divide and rule / wote ni watimiza Lengo .. mnasahau kuwa udongo hauna machaguo mbele ya mfinyanzi .

Anaamua afinyange Anachotaka huyo mfinyanzi.
 
🤣🤣🤣nipo katika kipindi cha kutafakari sana mkuu
Jamaa yangu huwa anasema anatumia halmashauri ya kichwa chake kushauriana ili afanye maamuzi sahihi. Inabdi ujichekeche ili yakiwa kinyume na matamanio usimlaumu mtu bali ujilaumu mwenyewe. Ila katika kila ndoa msimamizi mkuu na mwanamke. Mwanamke akiamua ndoa idumu, itadumu na akiamua ife itakufa. Sisi wanaume huwa ni mikondoo katika maseala ya mahusiano ujue.
 
Jamaa yangu huwa anasema anatumia halmashauri ya kichwa chake kushauriana ili afanye maamuzi sahihi. Inabdi ujichekeche ili yakiwa kinyume na matamanio usimlaumu mtu bali ujilaumu mwenyewe. Ila katika kila ndoa msimamizi mkuu na mwanamke. Mwanamke akiamua ndoa idumu, itadumu na akiamua ife itakufa. Sisi wanaume huwa ni mikondoo katika maseala ya mahusiano ujue.
Asante sana mkuu,nakuelewa sana Kamanda
 
Ila kwa bahati mbaya mimi siyo chadema ni ccm. Ukumbuke kwa mtu ambaye ndoa ipo damuni, kuishi peke yake haiwezekani.
🤣🤣🤣kamanda ni mwanaume yeyote jasiri....mkuu mi sijazoea kuishi kwenye ndoa maana ilikuwa ni long distance marriages
 
Leta Sera za watu Kupata Ajira zenye Ujira.., Sio kujifanya unawapa watu wachache mvinyo wakati majority hawana hata maji ya kunywa......

“Give a man a fish, and he will be hungry again to-morrow; teach him to catch a fish, and he will be richer all his life.”
 
Back
Top Bottom