Ni nani anastahili kuwa MwanaJamiiForums bora wa mwaka?

Nani Mwana JamiiForums bora wa mwaka kati ya hawa?

  • The Boss

  • Faiza Foxy

  • Mzee Mwanakijiji

  • BAK

  • Pasco

  • Heaven Sent

  • Victorie

  • Technically

  • Mshana Jr

  • Lizaboni


Results are only viewable after voting.
Exactly..
Uimeongea ukweli mtupu. Hakika hii thread ni batili.
Jamii forum futeni huu uzi maana haujatendendea haki majukwaa
 
HAPANAAAAAAAAAAAAAAAAAAAH...Narudia tena HAPANAAAAAAAA....NO..NO..NO...!!!!


Kwanini mumuache The bold huyu kijana anajitahidi kwakweli amekidhi vigezo vyote vya hapo juu...

LIST NI HII:

1:The bold

2:Mzizi mkavu

3:The Boss

4:Chief Mkwawa

5:Mshana jr

Toshaaaa narudia TOSHAAA (in capital letters)
 
Inategemeana na category maana humu karibu kila mtu comments zake ni unilateral au partisan, ktk list hapo juu nitampa kura @Pasco sababu anang'ata na kupuliza pande zote at the same time, The Boss anakaribia kidogo. Wengine hapo ktk orodha wameshindwa kabisa kuficha mahaba yao eidha ya kichama, au kiimani, au kimuziki, au kimichezo etc.
 
I cecond you...

Huu mtiririko wako ndo mzuri...
 
Uzi kama huu ulitakiwa uanzishwe na Jamii forums wenyewe,hakuna ajuaye lengo hasa la mleta mada kuanzisha uzi huu ni lipi?

Watu wengi humu wanatumia ID fake na hawapo tayari kujulikana, so sidhani kama kuna yeyote atakaeshinda "shindano" hili itakua ni rahisi kwake kumtumia contact zake mtu asiyemjua (mleta mada) ili amtumie hiyo laki moja,

nadhani itakua busara zaidi kama uongozi wa jamii forums watauchukue huu uzi na kuuboresha au waufute kabisa,

huu ni mtazamo wangu tu.

 
Lol! Hahahaha siyo swala la kupanick Mkuu ni swala la kusikitishwa na nchi yetu iliyojaliwa utajiri mkubwa sana kuendeshwa hovyo hovyo kiasi ambacho utajiri wa nchi unawanufaisha kundi dogo sana la Watanzania huku nchi ikibaki nyuma kwenye kila sekta. Ujio wa Lowassa haujanivuruga na kamwe hautanivuruga kwa sababu kama alivyosema Baba wa Taifa CHADEMA si mama yangu. Na sitashangaa kama Lowassa siku moja akiamua kurudi CCM, BAK atakuwa wa kwanza kushangilia.

Siku hizi BAK anapaniki sana, hana uvimilivu wala mada motomoto kama zamani. Ujio wa Lowasa ndani ya Chadema umemvuruga sana japo huwezi kumuona akikiri hadharani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…