Ni nani anayetaka kuweka maisha yake hatarini kwa sababu ya kuhoji tu?

Tunawajua wachawi mliotumia mwanya huo kumdhuru msaidizi wa mkt msaidizi,

Pambaneni na Hali zenu CDM ni Moja.
 
Upinzani hasa cdm Lissu anafaa kwani nyakati hizi zinamruhusu kuwa kiongozi wa upinzani...
Hana kashfa
Mzalendo
Mkorofi😂😂😂
Lakini hatapewa kwasababu ataziba ulaji wa boss kubwa
Soma comment ya juu namba # 27.

Imeeleza kila kitu 😀😂

 
Pilipili usizokula zakuwashia nini kama siyo unafiki.
 
Kupandia ngazi inayoshuka hautafika. Eg. Wewe ni wa muungano, kisha unalilia kisicho cha muungano, lazima utaumia kichwa. Wote hao msemaji+msemwaji. Walifikaje walipo?
 
Mwenyekiti ni rais wa Tanzania au ni mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani pumbavu?????
 
Tunawajua wachawi mliotumia mwanya huo kumdhuru msaidizi wa mkt msaidizi,

Pambaneni na Hali zenu CDM ni Moja.
Hahaha mwaka wa 2023, bado unaamini katika uchawi tu.

Ndio maana imekuwa rahisi mwenyekiti kuwatawala kiakili na kimwili.

Yani watu wenye akili zao waache kumdhuru mwenyekiti au karibu mkuu, et wakamdhuru msaidizi wa makamu msaidizi ambae anaishi Ulaya na familia yake 🤣🤣🤣

Ndiomaana tunapambana jamaa atoke madarakani ili asiendelee kuharibu na kumiliki akili za vijana wengine. Bora abaki na akili zenu nyie ambao mmeamua kuwa chawa wake nyinyi wenyewe.
 
Chama kinapokea hela kutoka serikalini ambapo ndani yake kuna kodi yangu, ndiomaana nachukizwa na ujinga ujinga wa mtu mmoja kujimilikisha chama na chawa wote peke yake.
Ukishindwa kujitafutia hela kwa nguvu zako halafu ukategemea Serikali au chama kukulipa kila mwisho wa mwezi bila kufanya kazi yoyote ya maana ina maana wewe ni marehemu au msukule unaotembea.
 
Kupandia ngazi inayoshuka hautafika. Eg. Wewe ni wa muungano, kisha unalilia kisicho cha muungano, lazima utaumia kichwa. Wote hao msemaji+msemwaji. Walifikaje walipo?
Jibu la swali lako analo mwenyekiti wa chama. Kwa sasa anazunguka kwanza na chopa kupitia hela za chama.

Ngoja akitua atakujibu.
 
Mkt wenu amwambie PM kuwa sikutaki,

Sio anatuma watu kinafiki.
 
Mwenyekiti ni rais wa Tanzania au ni mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani pumbavu?????
Nilijua tu lazima mkewe uje utukane watu.

Btw mumeo kaamua kuwa mwanasiasa, hivyo kusemwa au kukosolewa ni moja ya majukumu yake ya kazi.
 
Ukishindwa kujitafutia hela kwa nguvu zako halafu ukategemea Serikali au chama kukulipa kila mwisho wa mwezi bila kufanya kazi yoyote ya maana ina maana wewe ni marehemu au msukule unaotembea.
Mbona makamu wa chama hana Kazi. Anategemea hela ya UNHCR, pamoja na michango ya wanachama mbali mbali ili apate hela ya kula, kuvaa, kunywa na kusomesha watoto wake huko.

Je na yeye ni msukule kama ulivyoandika?
 

Attachments

  • IMG_20211028_071405.jpg
    35.8 KB · Views: 2
Mbona makamu wa chama hana Kazi. Anategemea hela ya UNHCR, pamoja na michango ya wanachama mbali mbali ili apate hela ya kula, kuvaa, kunywa na kusomesha watoto wake huko.

Je na yeye ni msukule kama ulivyoandika?
Atakuwa amependa maana yeye ni mwanasheria na wakili mahiri kwa nini atgemee hela za michango?
 
Mkt wenu amwambie PM kuwa sikutaki,

Sio anatuma watu kinafiki.
Ama kweli siasa ni uongo na unafiki.

Si nyinyi ambao mnasema eti mnataka katiba ibadilishwe. Kwamba hii iliyopo inampa raisi madaraka makubwa ya kufanya chochote, kwa mtu yoyote bila kufanywa lolote na mtu yoyote.

Sasa mtu mwenye mamlaka ya namna hiyo kupitia katiba hii anawezaje kumuogopa mtu asiekuwa na jeshi wala mgambo?

Unafiki, uongo na upuuzi ndio vinasababisha watu waachane na vyama vyenye viongozi wanafiki na waongo.
 
Kuna jamaa alikua anawaka kumsema m/kiti vibaya kuhusu bandari, nikamuuliza kwani hiyo bandari nafananaje, akasema inafanana kama na madini ya dhahabu, watu wote tulicheka kwaujinga wake. Hata bandari haijui ila anatoa povukuongea.
 
Ndo aache uswahili,

Amwambie Live sikutaki, avunje kikao kile chote tuanze UPYA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…