Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Hanaga akili .akivuta mibangi yake anamuona kila mtu ni jinsia ya kike. Nahisi hata baba yake anamuona ni mwanamke 😀😀😀😀Nimemshauri sana aachane na mibangi anayovuta kama kichaa.Anasema umejifungua upo martenity Leave.
Basi tuamini kuwa Mzee Mbowe atakuwa Rais 🙆♂️🙆♂️🙆♂️Tangu aondoke Mkapa nchi haijapata kiongozi wa maana
Ulijuaje kama hamjakutana kwenye hayo mambo ?Jamaa mshirikina balaa.
Ni kweli tukikutana akanizidi keteU
Ulijuaje kama hamjakutana kwenye hayo mambo ?
Mshaba amejitahidi sana kuomba kazi kupitia uchawa lakini mamlaka zinampotezea.Naona huyo Lucas Mwamshamba hajamjua akimjuuua tu tumekwisha ,atakua anamuandikia uzi kila akinywa maji
Omba ibakie tumboni isihamie kichwani.Mwashamba kwa sasa kaajirawa na makonda ili kumsifia muda wote ktk mitandao!
Mchana na usiku ni kumsifia makonda hadi kubadilisha ID ili tu ionekane watu wengi wanamsifia makonda kumbe ni yeye anafanya yote! Njaa kitu mbaya sana! [emoji1787] [emoji1787]
YapBasi tuamini kuwa Mzee Mbowe atakuwa Rais 🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Hahaaaa...Naona huyo Lucas Mwamshamba hajamjua akimjuuua tu tumekwisha ,atakua anamuandikia uzi kila akinywa maji
Exactly mimi namfahamu fika nashangaa GT humu navyowababaisha🤣Huyo Lucas anaonekana mshamba tu na mlugaluga
Walimfanyaje mzee jk daah! Imenipita hiyo mkuuNa ukiona kiongozi mkuu anatapeliwa kwa style hii (kama ilivyokuwa kwa Mobutu) ujue hakuna kitu hapo!
Yaani hao wanakufanyia hivyo kwa vile tayari wanakudharau nawe unachekelea kudhani uko level moja na Mungu.
Haya ndio yale ya JK alivyoishia kufedheheshwa msibani Monduli akajikuta kajikunyata kama kuku mwenye kideri
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
JK kama swahiba wa Edo,mbio za urais walicheza timu moja hadi kuachiana, na aliyemteua kuwa Waziri mkuu kumtenga bila kumpa nafasi yeyote msibani wala kumtaja ni kumdharau. Aliishia kujikunyataWalimfanyaje mzee jk daah! Imenipita hiyo mkuu
Kama ilivyokuwa kwa Nguza Samike katibu binafsi wa Rais Magufuli na sasa tuna Waziri Rajab Salum katibu binafsi wa Rais Samia.
Huyu ndiye mtendaji wa shughuli zote binafsi za Rais Samia katika masuala ya utawala na serikali.
Huyu ndiye mwandishi wa hotuba za Rais, hivyo Rais siku akipatia credit ziende kwa huyu mwamba na akiskosea pia ni hivyohivyo.
Kwasasa viongozi wengi hasa wabunge wamekuwa wakimpost huyu jamaa kupitia mitandao yao ya kijamii ili tu kuweka mazingira yao ya kisiasa vizuri.
Mwenye CV anaweza kuleta ili tunjue kwa undani.View attachment 2909032View attachment 2909033View attachment 2909034
Kama ilivyokuwa kwa Nguza Samike katibu binafsi wa Rais Magufuli na sasa tuna Waziri Rajab Salum katibu binafsi wa Rais Samia.
Huyu ndiye mtendaji wa shughuli zote binafsi za Rais Samia katika masuala ya utawala na serikali.
Huyu ndiye mwandishi wa hotuba za Rais, hivyo Rais siku akipatia credit ziende kwa huyu mwamba na akiskosea pia ni hivyohivyo.
Kwasasa viongozi wengi hasa wabunge wamekuwa wakimpost huyu jamaa kupitia mitandao yao ya kijamii ili tu kuweka mazingira yao ya kisiasa vizuri.
Mwenye CV anaweza kuleta ili tunjue kwa undani.View attachment 2909032View attachment 2909033View attachment 2909034
Anaonekana.Jamaa mshirikina balaa.
Ila wabongo kwa majungu..huwa mnakutana nae kwa mganga yupi?Jamaa mshirikina balaa.