Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
ingekua ni akili zake huru, malalamiko yake yangekua na maana, lakini hii akili ya kua kibaraka mtumwa wa mabwenyenye ni wa kumpuuza tu 🐒Jibu hoja za Lissu bro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ingekua ni akili zake huru, malalamiko yake yangekua na maana, lakini hii akili ya kua kibaraka mtumwa wa mabwenyenye ni wa kumpuuza tu 🐒Jibu hoja za Lissu bro.
nimemsikia msemaji wa ccm akiongea na Wasafi Fm leo asubuhi ama kwa hakika ni kichekesho na vibwagizo tupuSalaam, Shalom.
Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.
Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa kimamlaka na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?
Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,
Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.
Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?
Karibuni🙏
Kumpuuza ki vp wakati hapa kuna Tanganyika na Muungano, Zanzibar iko pembeni na Rais wao.kwa hiyo hapo kuna muungano gani.Kumpuuza nalo ni jibu tosha, kwani hayo kaanza kuyaongea leo?
je si kweli kwamba bandari zetu zimeuzwa?Kumpuuza nalo ni jibu tosha, kwani hayo kaanza kuyaongea leo?
Si Rahisi kuijibu " KWELI".nimemsikia msemaji wa ccm akiongea na Wasafi Fm leo asubuhi ama kwa hakika ni kichekesho na vibwagizo tupu
hakujibu hata kimoja badala yake anamtaja salum mwalimu sijui nini upuuzi mtupu
Yule ni mzalendo,Anayeweza kujibu hizi hoja ni Polepole, mkimwekea na ubao na chaki anazipangua zote.
Anajua huyo - in Ahmed Ally voiceYule ni mzalendo,
Tume ya Katiba chini ya Warioba alikuwepo.
hakika LISU ni balaa, ameongea nchi yote inatetemka. wanakimbilia ubaguzi wakijua kabisa kwamba hilo ni jibu la kitoto kabisaSi Rahisi kuijibu " KWELI".
Ndio maana wasomi na wabobevu wa Sheria na KATIBA wamenyamaza.
Sasa Mzanzibari Kugawa Bandari za bara akiacha za Zanzibar,Kuna ubaguzi zaidi ya huo?hakika LISU ni balaa, ameongea nchi yote inatetemka. wanakimbilia ubaguzi wakijua kabisa kwamba hilo ni jibu la kitoto kabisa
Walioandaa michakato hawakua na elimu fikiriaSalaam, Shalom.
Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.
Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa kimamlaka na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?
Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,
Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.
Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?
Karibuni🙏
Sio kama, ni layman fulltimeUmeongea kama layman,
Samahani lakini.
Zuzu ni alieandaa katiba au anaeona kupingana na katiba ni ujanja🇹🇿 Huyo Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu
🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary
🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano
🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo
🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.
🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?
🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Hata hii ya kwanini Wabunge wa Znz wanachaguliwa na watu wachache ilhali Tanganyika malaki..kwa msingi upi?..upo wapi?Ametoa HOJA kuwa bandari zetu zote za bara wamepewa waarabu,
Lakini Bandari za Zanzibar hazijaguswa,
HOJA kama hiyo Badala ya kulijibu unaamua kuipuuza kweli?