Ni nani wa kujibu hoja za Tundu Lissu?

Ni nani wa kujibu hoja za Tundu Lissu?

Salaam, Shalom.

Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.

Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa kimamlaka na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?

Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,

Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.

Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?

Karibuni🙏
nimemsikia msemaji wa ccm akiongea na Wasafi Fm leo asubuhi ama kwa hakika ni kichekesho na vibwagizo tupu
hakujibu hata kimoja badala yake anamtaja salum mwalimu sijui nini upuuzi mtupu
 
Kumpuuza nalo ni jibu tosha, kwani hayo kaanza kuyaongea leo?
je si kweli kwamba bandari zetu zimeuzwa?
sikweli kwamba wamasai wamefukuzwa kwenye ardhi yao?
sikweli kwamba raisi ni mzanzibari?
wewe unayepuuza na aliyezungumza nani ana shida kichwani?
 
nimemsikia msemaji wa ccm akiongea na Wasafi Fm leo asubuhi ama kwa hakika ni kichekesho na vibwagizo tupu
hakujibu hata kimoja badala yake anamtaja salum mwalimu sijui nini upuuzi mtupu
Si Rahisi kuijibu " KWELI".

Ndio maana wasomi na wabobevu wa Sheria na KATIBA wamenyamaza.
 
Si Rahisi kuijibu " KWELI".

Ndio maana wasomi na wabobevu wa Sheria na KATIBA wamenyamaza.
hakika LISU ni balaa, ameongea nchi yote inatetemka. wanakimbilia ubaguzi wakijua kabisa kwamba hilo ni jibu la kitoto kabisa
 
hakika LISU ni balaa, ameongea nchi yote inatetemka. wanakimbilia ubaguzi wakijua kabisa kwamba hilo ni jibu la kitoto kabisa
Sasa Mzanzibari Kugawa Bandari za bara akiacha za Zanzibar,Kuna ubaguzi zaidi ya huo?
 
Salaam, Shalom.

Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.

Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa kimamlaka na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?

Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,

Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.

Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?

Karibuni🙏
Walioandaa michakato hawakua na elimu fikiria
 
🇹🇿 Huyo Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu

🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary

🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano

🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo

🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.

🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?

🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Zuzu ni alieandaa katiba au anaeona kupingana na katiba ni ujanja
 
Ametoa HOJA kuwa bandari zetu zote za bara wamepewa waarabu,

Lakini Bandari za Zanzibar hazijaguswa,

HOJA kama hiyo Badala ya kulijibu unaamua kuipuuza kweli?
Hata hii ya kwanini Wabunge wa Znz wanachaguliwa na watu wachache ilhali Tanganyika malaki..kwa msingi upi?..upo wapi?
 
Back
Top Bottom