Ni nani wa kujibu hoja za Tundu Lissu?

Ni nani wa kujibu hoja za Tundu Lissu?

Mzee kinana, ungeomba mdahalo ukaja na team Yako,

Lissu akaalikwa aje na team yake,

Maana Badala ya kujibu HOJA ndio umeharibu kabisa.
 
Vyama 11 vimejitokeza,

Badala ya kujibu HOJA nao wameamua kuwa " vuvuzela"!!
 
Labda chadema wenyewe waliomwomba aseme kwaniaba ya chama Chao

Vinginevyo ,ccm iombe msaada kimataifa ,mana ACT wazalendo na yule makamo wakwanza anachosema lisu ndo furaha yake,mana

Enzi ,akiwa mwanasheria mkuu wa serikali ya zanzibar hizo ndo hoja zamuungano alizozikataa na kusema muungano serikali moja ndo sawasawa ,akabebwa mzobemzobe bungeni mpaka nje ya bunge

Lisu ,akamatie hapohapa ,wabaharia(wazanzibar) miaka mingi wanaishi mdomoni pa nyangumi. Lisu wanasue
 
Labda chadema wenyewe waliomwomba aseme kwaniaba ya chama Chao

Vinginevyo ,ccm iombe msaada kimataifa ,mana ACT wazalendo na yule makamo wakwanza anachosema lisu ndo furaha yake,mana

Enzi ,akiwa mwanasheria mkuu wa serikali ya zanzibar hizo ndo hoja zamuungano alizozikataa na kusema muungano serikali moja ndo sawasawa ,akabebwa mzobemzobe bungeni mpaka nje ya bunge

Lisu ,akamatie hapohapa ,wabaharia(wazanzibar) miaka mingi wanaishi mdomoni pa nyangumi. Lisu wanasue
Kwamba CCM iombe msaada Toka mataifa ya nje kujibu HOJA za Lissu?

Tulia anaweza, Sema labda Yuko bussy na hapendi midahalo.
 
🇹🇿 Huyo Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu

🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary

🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano

🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo

🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.

🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?

🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Yaani haya uliyoorodhesha hapa ndo majibu ya maswali aliyouliza Tundu?

CCM, nyinyi ndo wanufaika wakubwa wa muungano huu uliojaa maswali

Hamuoni kwamba sasa kuna haja ya mazungumzo ya namna gani muungano wetu uwe?

Badala yake mnatoa matusi tu yasiyo na mbele wala nyuma na hayaendani kabisa na maswali magumu mnayoulizwa

PENA alipayuka tu na hakuna la maana
 
Kwamba CCM iombe msaada Toka mataifa ya nje kujibu HOJA za Lissu?

Tulia anaweza, Sema labda Yuko bussy na hapendi midahalo.
Tulia huyu huyu ambaye hata wabunge wake wanakimbia bunge na hana cha kuwafanya?
 
Salaam, Shalom.

Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.

Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa kimamlaka na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?

Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,

Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.

Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?

Karibuni🙏
Hawapo...
 
busara ni kumpuuza tu kama ilivyo sasa :BASED:
Utapuuzaje hoza za kikatiba? Kwamba Mzanzibari anaruhusiwa kumili ardhi bara, ila Mtanganyika haruhusiwi kumili ardhi visiwani, hilo nalo la kupuuuzwa?
 
Utapuuzaje hoza za kikatiba? Kwamba Mzanzibari anaruhusiwa kumili ardhi bara, ila Mtanganyika haruhusiwi kumili ardhi visiwani, hilo nalo la kupuuuzwa?
kwani ameanza kuongoza leo huyo mzanzibari?,

yaani huyo kibaraka bila kutumwa na kuvhochewa mabwenyenye hawezi fikiria kwa uhuru 🐒

Lakini hata wew mamluki, kweli ndio umeliona hilo leo? au ndio ile kubebwa unyumbu hata huelewi 🐒
 
kwani ameanza kuongoza leo huyo mzanzibari?,

yaani huyo kibaraka bila kutumwa na kuvhochewa mabwenyenye hawezi fikiria kwa uhuru 🐒

Lakini hata wew mamluki, kweli ndio umeliona hilo leo? au ndio ile kubebwa unyumbu hata huelewi 🐒
Jibu hoja za Lissu bro.
 
Back
Top Bottom