Ni nani wa kujibu hoja za Tundu Lissu?

Ni nani wa kujibu hoja za Tundu Lissu?

🇹🇿 Huyo Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu

🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary

🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano

🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo

🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.

🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?

🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Wewe hoja zako ziko wapi?
Changamoto za muungano zimesemwa na watu wa kuaminika ukianzia majaji kina Kisanga, Nyalali na Mzee Warioba.
Tume iliyoundwa na Rais Kikwete ambaye naye alidhani watakuwa wanafiki lakini wakamshangaza kwa kile walicholeta.

Wanafiki ni nyie mnaojidai eti Tanganyika ilizikwa na kwa nini Zanzibar ikabaki!!
Mwaka 1993 ulikuwa mtoto wakati wale G55 wanaidai Tanganyika iliyopelekea kung'olewa kwa Mzee Malecela?
Mbona msiikosoe Zanzibar iliyoweka kwenye katiba yake, kuwa Zanzibar ni nchi kamili na iliungana na nchi ya Tanganyika kuunda jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Na hata hujui katiba ya Zanzibar ilifanyiwa mabadiliko 2010, kumjibu aliyekuwa waziri mkuu Mzee Pinda aliyesema bungeni Zanzibar siyo nchi. Hamkuona hilo la kumkosea adabu waziri mkuu wa jamhuri ya muungano!!
 
Huo ndo ukweli Chadema Huwa hawataki kuukubali..
Na huo ndo nautumiaga kuwachanganya Ukitaka Kumfunika Mbowe Mruhusu Lissu afanye Mikutano Mbowe atakuwa Haonekani kabisa
tangu lisu anyimwe fursa ya kuongea kwenye ile jogging ya mbeya badala yake akakapewa fursa Dr. Slaa, Lisu sensed something....

sasa hoja hiyo ya nani mwenye ushawishi, lakini pia Mbowe ataachia lini uenyekiti ni sawa na mjadala huo wa ati sijui huyu ni mTanganyika au yule mzanzibari kafanya nini wapi...

haya ni masuala ambayo huweza kua na hitimisho na maoni na mitazamo ya kisiasa...

it will be a normal living political statements🐒
 
Kuomba kujua ikiwa u ME au KE kabla ya kukujibu ni ubaguzi?
ni ubaguzi sense, pure completely, coz haina maana kabisa kwenye mjada huu ispokua ni ishara ubaguzi Kamili wa kijinsia 🐒
 
Katiba Zote nimezisoma na naweza kuzitamka kwa Moyo pia..
Katiba ya JMT na Katiba ya SMZ
Ikiwa hivi ulivyoandika ndivyo unavyojua, nikuambie tu kwamba 'hujui'. Kwa Zanzibar ni 'Katiba ya Zanzibar ya 1984'. Ile ya Jamhuri, mwisho kuna maneno '1977'.

Kusema tu 'naweza kuzitamka kwa moyo' haina maana kwamba unaweza. Tunataka tuone kwamba unaweza, na kwa bahati tumeona kwamba huwezi kwani hata majina huyajui. Utaijuaje? Nenda kasome kwanza, baadae uje ujadili.
.
 
Professor Lumumba alisema Afrika wanachagua wasio na uwezo, sasa wa kumjibu ni nani?
 
Ikiwa hivi ulivyoandika ndivyo unavyojua, nikuambie tu kwamba 'hujui'. Kwa Zanzibar ni 'Katiba ya Zanzibar ya 1984'. Ile ya Jamhuri, mwisho kuna maneno '1977'.

Kusema tu 'naweza kuzitamka kwa moyo' haina maana kwamba unaweza. Tunataka tuone kwamba unaweza, na kwa bahati tumeona kwamba huwezi kwani hata majina huyajui. Utaijuaje? Nenda kasome kwanza, baadae uje ujadili.
.
Unajua maana Ya SMZ??
Unahisi mmaneno kama Katiba ya zanzibar na maneno ya 1977 ni Accademical Means??

Halafu nyie ndo vijana mnaosema mtailetea Tanzania maendeleo Very sad Kwakweli..

Watu wanaArgue kwa Hoja na sio Makosa ya KiSarufi au Kiuandishi
 
busara ni kumpuuza tu kama ilivyo sasa :BASED:
Nani kampuuza? Hebu tumia akili wewe na hii hoja ielewe. Wanaomjibu ni kina Nape tena ni bungeni kwa niaba ya serikali majibu ya kijinga kisha unatema kunyamaza ni kumpuuza kama sasa! Mnawatumia mpaka kina Steve Nyerere eti wamjibu Lissu na hapo ndio wote mnaonekana wapuuzi kama huyo mliyemtuma.
 
🇹🇿 Huyo Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu

🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary

🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano

🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo

🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.

🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?

🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Hii ni ujinga kabisa umeandika, kuna changamoto za muungano,watu wanapambana kuzifukia ila zinagoma,maana madhaifu yapo wazi na yanaumiza upande fulani dhahiri shayir, sasa hiyo ngonjera yako ni sawa na uwaambie watu wenye njaa kuwa wanyamaze,wasizungumze mambo ya njaa kwa kuwa eti mlishakubaliana kuwa hakuna njaa!! Na njaa zinawauma kabisa,hiyo ni ujinga man.
 
Nani kampuuza? Hebu tumia akili wewe na hii hoja ielewe. Wanaomjibu ni kina Nape tena ni bungeni kwa niaba ya serikali majibu ya kijinga kisha unatema kunyamaza ni kumpuuza kama sasa! Mnawatumia mpaka kina Steve Nyerere eti wamjibu Lissu na hapo ndio wote mnaonekana wapuuzi kama huyo mliyemtuma.
relax bas :pedroP:
 
Muungano una matobo mengi - kwanza katiba yetu ingefafanua kuhusu uRais wa Jamhuri kuwa kama ikitokea Rais akawa Mzanzibarbasi Rais wa Zanzibar awe Mtanganyika kueousha marais wote wakawa Wazanzibar kama ilivyo sasa same na kwa Tanganyika.

Yaani kuwa na Rais wa Muungano Mzanzibari afu ukawa na Rais wa Zanzibar na yeye mzanzibari basi wakikaa wanaweza kuipiga mnada Tanganyika yaani Tanganyika inawekwa mtu kati. (Yatima).

Hapo Tanganyika inakosa mtetezi kama ilivyo sasa.

Lissu yupo sahihi 100% - Katiba yetu ina mapungufu makubwa.
 
Kupuuza hoja za maana kama hizi ...! Ndivo mnavotaka wananchi waelewe kwamba mambo kama haya ya kikatiba yakiletwa wananchi wayajue, yapuuzwe!? ...dah!
hakuna hoja hapo, ni maoni na mtazamo wa mtu. Option ya wengi nadhan ni kupuuza tu maana mission za vibaraka huwa ziko bayana 🐒
 
Wakumjibu Lissu hayupo Nape yake ni mipasho na ukimsimamisha nape na Lissu ni sawa na kumuingiza ulingoni Asemahle Wellem na Stumai Muki "it is murder" Mwl J K nyerere's voice.
 
Unajua maana Ya SMZ??
Unahisi mmaneno kama Katiba ya zanzibar na maneno ya 1977 ni Accademical Means??
Mkuu mimi najua na ndo maana nikakuambia. Kumbuka kwamba tunazungumzia jina la katiba na si swala la SMZ. Na hapa unaonesha namna usivyojua maana ya Academical Means.
Halafu nyie ndo vijana mnaosema mtailetea Tanzania maendeleo Very sad Kwakweli..
Mkuu nataka nikujulshe tu kwamba mimi nakuzidi umri na hivyo sio kijana.
Watu wanaArgue kwa Hoja na sio Makosa ya KiSarufi au Kiuandishi
Inaelekea hujui hata nini maana ya hoja. Hivi kwenye maandishi yako kuna makosa gani ya kisarufi? Tulikuwa tunazungumzia katiba ambazo wewe umesema unazijua na kumbe huzijui.

Zawadini
 
Kumpuuza nalo ni jibu tosha, kwani hayo kaanza kuyaongea leo?
Watanganyika tutaendelea kuidai nchi yetu iliyofutwa na maccm hadi tutakapoiacha,ipo sku watu watajua umuhim wa aliyoyaongea lissu,ni mjinga tu ndo anaweza kuona hayana hoja na ni ya kupuuzwa
 
Back
Top Bottom