- Thread starter
- #161
Nyikani😀Sasa hivi hakuna mjinga Tena,tunajua Nini tunataka
View attachment 2977884
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyikani😀Sasa hivi hakuna mjinga Tena,tunajua Nini tunataka
View attachment 2977884
Mbona alipokuwa bungeni mlijaribu kumjibu Kwa HOJA?Lissu anaropoka. Kuna busara ya kumjibu mropokaji?
Ametoa HOJA kuwa bandari zetu zote za bara wamepewa waarabu,
Lakini Bandari za Zanzibar hazijaguswa,
HOJA kama hiyo Badala ya kulijibu unaamua kuipuuza kweli?
Sasa unatushauri Vipi Sukuma Gang..naona umerudia tu nilichokujibu kwa kifupi sana kwenye first reply yangu dhidi maswali yako ya mawili madogo ya msingi .....
hapa umefafanua majibu yangu kwa upana kidogo, meaning kwamba ulivyokua unauliza tayari ulikua na majibu yako ambayo ni sahihi na ni sawa na nilichokujibu 🐒
by the way enjoy workers day holiday 🐒
Ahsante ndugu Kalamu , Mimi nimeelewa,Jibu la hili swali ni jepesi sana.
Jibu sahihi ni HAKUNA.
Unataka nifafanue kidogo hilo jibu?
Ni hivi: Serikali unayoisema ni ya CCM. Watumishi wake wote, hata hao akina AG ni mali ya CCM
Hebu niambie, wewe una kifaa chako, ni mali yako, kwa mfano nguo, au jembe. Si utavitumia kadri unavyoona wewe inafaa?
Lakini nisikuache na dukuduku kuhusu ufafanuzi wangu huu. Inanibidi nifafanue tena hiyo CCM na viongozi waliopo huko kutoweza kujibu swali lako pia.
Ni hivi: CCM ni chama cha unafiki. Ndani ya CCM hakuna anayeweza kumwambia mwenzie ukweli, hata kama ukweli huo uko wazi.
Muundo wa CCM ulivyo, tazama CC (Central Committee), wajumbe wake, na hata Halmashauri Kuu ya Chama hicho uwiano wa wajumbe wake, toka Tanganyika na Zanzibar.
Hawa wajumbe wa Tanganyika, hata siku moja utasikia wakiwagomea chochote wale wa Zanzibar; hasa katika maswala yanayohusu Zanzibar. Kwa hiyo maamuzi yanayochukuliwa kuhusu Zanzibar, ni uamzi wa wajumbe toka Zanzibar.
Asikudanganye mtu kwamba mambo ya Zanzibar yanaamuliwa na watu wa Tanganyika. Hao akina Jumbe kuachishwa uRais, ni waZanzibari ndani ya CCM ndio walikomaria swala hilo, na kuungwa mkono na akina Mwalimu Nyerere, kwa vile Jumbe alikuwa anashindana kulegeza muungano, ambao uliasisiwa na akina Mwalimu. Mwalimu asingekubali kuona juhudi zake zikisambaratika.
Kuna hizi stori za viongozi wa Zanzibar kuchaguliwa Dodoma. Huu ni uongo. CCM Zanzibar ndio huchagua viongozi hao, na kutegemea wenzao wa Bara kuhakikisha chaguo lao linapita kwa njia yoyote, hata kwa kumwaga damu.
Looo, nitatiririka hadi wapi sasa. Natumaini umenielewa mkuu 'Rabbon', pamoja na wasomaji na wachangiaji wa mada yako hii.
Lissu mtu ambae anaweza kufanya nae mdahalo ni mzee Warioba tu ila wengine siwaoniSalaam, Shalom.
Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.
Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?
Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,
Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.
Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?
Karibuni🙏
it is very simple, observe some technical 48laws of power...Sasa unatushauri Vipi Sukuma Gang
HAKUNA MTU WA KUJIBU, maana wakijibu Lissu atawamiminia lisasi 32 zaidi hoja nzito nzito.Salaam, Shalom.
Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.
Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?
Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,
Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.
Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?
Karibuni🙏
Na mbaya zaidi Judge Warioba Yu pamoja na Lissu katika mstari wa Kweli na HAKI, haezi mjibu Kwa maana ya kumzima Kwa HOJA.Lissu mtu ambae anaweza kufanya nae mdahalo ni mzee Warioba tu ila wengine siwaoni
Kabisaaa yaani hawana tofauti kwenye hoja hiyoNa mbaya zaidi Judge Warioba Yu pamoja na Lissu katika mstari wa Kweli na HAKI, haezi mjibu Kwa maana ya kumzima Kwa HOJA.
Ni Ngumu maana Tunataka Tume Huru ya Uchunguzi wa Kifo cha Kiongozi wetu..it is very simple, observe some technical 48laws of power...
you can't fight them join them and ofoz you will be safe 🐒
Hajawai kuwa raia Belgium,hapo yupo lazima anasubiri vibali Kuongeza muda.Huyu tundu lisu ni raia wa wapi?
TANZANIA au BELGIUM
Akirudi Bungeni atalazimishwa kuongea pointi na atajibiwa kwa pointi na sio kuropoka anakofanya Sasa hivi. Kumbuka ni watu wasio na uelewa tu na "issues" ndio wanamuelewa.Mbona alipokuwa bungeni mlijaribu kumjibu Kwa HOJA?
Kumpuuza inatokana na kukosa hoja zenye mashiko za kumjibubusara ni kumpuuza tu kama ilivyo sasa![]()
Kwani Ubongo unakaa miguuni alikopatia Ajali?Lissu aana tatizo la kisaikolojia baada ya ile ajali yake ya kupigwa risasi na majambazi kwahiyo asichukuliwe siriazi tafadhali.
inaweza kua katika mbinu na hisabati ya siasa,Kumpuuza inatokana na kukosa hoja zenye mashiko za kumjibu
Ripoti za madaktari zinaonesha Lissu hawezi kuwa sawa tangu alipopata ile ajali kutokana na kumuharibu sana kisaikolojia kwahiyo inashauriwa asichukuliwe seriously kwa mambo anayoongea.Kwani Ubongo unakaa miguuni alikopatia Ajali?
Kwahiyo wamasai hawakufukuzwa ngorongoro na mbuga kupewa waarabu?Ripoti za madaktari zinaonesha Lissu hawezi kuwa sawa tangu alipopata ile ajali kutokana na kumuharibu sana kisaikolojia kwahiyo inashauriwa asichukuliwe seriously kwa mambo anayoongea.
hoja zenye mantiki za kisayansi hizi 👊💪Ripoti za madaktari zinaonesha Lissu hawezi kuwa sawa tangu alipopata ile ajali kutokana na kumuharibu sana kisaikolojia kwahiyo inashauriwa asichukuliwe seriously kwa mambo anayoongea.