Ni nani wa kujibu hoja za Tundu Lissu?

Ni nani wa kujibu hoja za Tundu Lissu?

Siamini kama AG hawezi kumjibu Lissu,

Labda Yuko bussy na majukumu.

Kujibu anaweza lakini litakuwa ni jibu lenye mantiki? Lakini pia ufahamu kuwa ndani ya Serikali wapo wenye akili na wanaojua utata wa Muungano, lakini wanalazimika kunyamaza kutokana na zile fikra za uwajibikaji wa pamoja ndani ya Serikali.

Kila mwenye akili timamu anafahamu kuwa Muungano wetu umrkaa chongo.
 
Mkuu Tlaatlaah Ngoja Nikusaidie maana huwezi kupata Unachotafuta kwa sababu..

Muungano hata kama ulionekana unafaa enzi hizo sasa imepitwa na wakati. Kumbuka USSR wakatii hua ila baadaye ilibidi isambaratike. Muungano huu jinsi ulivyo lazima utasambaratika
... Hili lipo wazi, ila mpaka Watanganyika tuamke!
 
🇹🇿 Huyo Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu

🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary

🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano

🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo

🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.

🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?

🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Takataka
 
Hakuna Anayeweza Kujibu Wote Wanaongea Kama Kuku Waliokatwa Vichwa
 
Salaam, Shalom.

Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.

Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?

Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,

Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.

Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?

Karibuni🙏
Lissu anaropoka. Kuna busara ya kumjibu mropokaji?
 
Salaam, Shalom.

Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.

Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?

Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,

Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.

Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?

Karibuni🙏
CCM wanamtegemea Lucy Mwashambwa amjibu Tundu Lissu
 
Huko Serikalini hakuna mwenye uthubutu na hoja za kumjibu Tundu Lisu.Wote wapo kwenye 'mradi wa hovyo' wa kumsifu huyo anayeitwa mama.Wengi ni wanafiki ili kulinda mkate wao.
 
Nchi hii Pana wasomi wengi,

Ungeitishwa mdahalo, waitwe viongozi wenye weledi kuhusiana na masuala hayo ya kisheria na kikatiba, Lissu aalikwe zijadiliwe HOJA hizo muhimu,

Uchaguzi umekaribia, wananchi wangependa kuwajua viongozi wanaoijua Katiba na Sheria za Nchi yetu Ili wapewe kuongoza.
Huo mdahalo utaivua nguo Serikali nzima.Sioni kichwa hata kimoja cha kumjibu Tundu Lisu.Watakuja na 'mipasho' na ngonjera za kumsifia mama yao.
 
🇹🇿 Huyo Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu

🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary

🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano

🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo

🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.

🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?

🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Sasa wewe ndo umendika nini , elewa Muungano uwepo ila Tanganyika ya watu iludi kama sivyo Zanzibar ife pia tuwe na serikali moja
 
Labda huelewi maana ya kupuuza. Setikali haijapuuza bali imeshindwa kujibu hoja za Lisu. Nape ametoa kauli tayari, na kauli zake zimeashiria utupu wa hoja. Hii ina maana Serikali haijaluuza bali haina jibu lenye mantiki. Hivyo hoja za Lisu zinaendelea kusimama.
this very able government under very able leader Comrade Dr Samia Suluhu Hassan, can never ever walk into mercenaries and puppets traps. I can confirm to you publics, without fear of contradictions 🐒

kama kuna mwanasiasa kutoka chama tawala amesema chochote, basi hiyo ni kwa kupenda kwake tu.

Lakini kwa ujumla chama na Serikali ina jukumu kubwa, zito na muhimu sana la kuwatumikia wananchi, kuliko kubabaika na vibaraka ambao wako under full control under security outhority, that they have no place to hide, not escape root and they have nothing to do and place to go as we are approaching elections this yr and next year 🐒
 
Mkuu Tlaatlaah Ngoja Nikusaidie maana huwezi kupata Unachotafuta kwa sababu..

Ukisoma vizuri mkataba wa Muungano utaona kuwa Waziri Mkuu ndiye Msaidizi wa Rais wa Muungano kwa masuala yote yasiyo ya Muungano kwa upande wa Tanganyika na Rais wa Zanzibar ndiye Msaidizi wa Rais wa Muungano kwa masuala yote yasiyo ya muungano kwa upande wa Zanzibar. Kama ilivyo Rais wa Zanzibar hana
mamlaka huku bara vile vile Waziri Mkuu hana mamlaka yeyote kule Zanzibar


Mkataba wa Muungano ndio rejea pekee la masuala ya muungano. Articles of the Union zimeanzisha Mamlaka 3, Mambo ya Muungano chini ya Rais wa Muungano, mambo yasiyo ya Muungano kwa Tanganyika chini ya msaidizi mkuu
wa Rais wa JMT ambaye 1964 alikuwa makamu wa pili wa Rais...

na mwisho ni mambo yasiyo ya muungano kwa Zanzibar ambaye ni msaidizi mkuu wa Rais wa JMT ambaye 1964 alikuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wa kwanza wa Rais. Waziri Mkuu wa Tanzania ndiye huyo makamu wa pili wa 1964.

Baadaye Ndo kikafutwa Cheo cha Makamu wa Pili wa Muungano Kikaanzishwa Cheo cha Waziri Mkuu na kikaanza kutiliwa Mkazo...
naona umerudia tu nilichokujibu kwa kifupi sana kwenye first reply yangu dhidi maswali yako ya mawili madogo ya msingi .....

hapa umefafanua majibu yangu kwa upana kidogo, meaning kwamba ulivyokua unauliza tayari ulikua na majibu yako ambayo ni sahihi na ni sawa na nilichokujibu 🐒

by the way enjoy workers day holiday 🐒
 
🇹🇿 Huyo Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu

🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary

🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano

🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo

🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.

🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?

🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Ila umeandika upuuzi sana
 
kwa kadri ccm wanavyompuuza basi watanzania wengi wanamwelewa mwamba Lissu
baki na maoni na mtazamo wako mwenyewe lakini athari za ubaguzi zitabainika kwenye debe kwa wakati muafaka 🐒

roho ya ubaguzi wa aina yoyote ile, haijawahi kumwacha mtu salama 🐒

by the way, leo ni May Mosi.
Nakutakia siku njema ya wafanyikazi 🐒
 
Back
Top Bottom