Ni nani wa kujibu hoja za Tundu Lissu?

Ni nani wa kujibu hoja za Tundu Lissu?

Hakuna msomi wa nchi anayejitambua na mwenye mapenzi mema na nchi hii naweza kuingia kwenye siasa za CCM.

NJAA ,NJAA ,NJAA NA UKOSEFU WA AJIRA NDIYO CHANZO KIKUU CHA KUSALITI ELIMU.

Ungeonekana mwenye Elimu na aliyeelimika kama ungengia kwenye siasa na uana harakati wa kumkomboa mwananchi na umaskini wa miaka 60 kwa
-kupigania katiba mpya
-Kuondoa urasimu kwenye nchi hii

Otherwise wewe ni Msomi uchwara anayetumia makalio kufikiria (Njaa nyingi)
miongoni mwa tofauti nyingi sana kati ya mtu mwenye elimu na asie na elimu, huwa ni hekima na busara kwenye hoja au maneno anayosema 🐒

so,
mwanazuoni makini akisoma tu mathalani huo ujumbe wako anapata picha yako, jinsi ulivyo hadi muonekano na sura ya ulivyo bila kukosea, achilia mbali umri ambao ni dhahiri inaonyesha ni wa baada ya uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 🤣
 
Salaam, Shalom.

Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.

Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?

Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,

Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.

Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?

Karibuni🙏
Amos Makalla atamsambaratisha lissu
 
Sasa Tulia ndio hamna kitu kabisa !
Sasa Toka lini mwanafunzi akawa na Maarifa kuliko mwalimu wake?

Anyway,

Nibaki kuamini kuwa,

Nje ya mfumo wa CCM, Tulia anaweza kulisaidia Taifa vizuri kuliko akiwa ndani ya mfumo.
 
Sasa Toka lini mwanafunzi akawa na Maarifa kuliko mwalimu wake?

Anyway,

Nibaki kuamini kuwa,

Nje ya mfumo wa CCM, Tulia anaweza kulisaidia Taifa vizuri kuliko akiwa ndani ya mfumo.
Tulia hana na wala hajawahi kuwa na lolote , ukitaka kujua ni mweupe kama ndevu za Babu muulize kwanini Halima Mdee ni Mbunge

Ualimu si kitu, Lissu ashawahi kusema Mama Regina Lowassa aliwahi kuwa Mwl wake wa form 1 , kwako huyu mama naye kishamzidi Lissu kila kitu , unapimaje haya mambo ?
 
Pedeshee haezi, labda Tulia, Mwalimu wa Lissu katika Sheria.
Tulia ndo kitu gani??ni kweli muungano una changamoto kibao na mambo mengi ambayo hayana uwiano sawa.kwa mfano hilo la wapiga kura wa majimbo ya zanzibar na hapa Tanganyika ni kweli SIO SAWA.Tunataka maelezo na majibu ya serikali.pia turudi mezani kuusuka upya huu muungano otherwise kuna siku utavunjika tu na hio siku haiko mbali
 
Sasa hivi hakuna mjinga Tena,tunajua Nini tunataka
20240501_020347.jpg
 
Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?
Jibu la hili swali ni jepesi sana.
Jibu sahihi ni HAKUNA.

Unataka nifafanue kidogo hilo jibu?
Ni hivi: Serikali unayoisema ni ya CCM. Watumishi wake wote, hata hao akina AG ni mali ya CCM

Hebu niambie, wewe una kifaa chako, ni mali yako, kwa mfano nguo, au jembe. Si utavitumia kadri unavyoona wewe inafaa?
Lakini nisikuache na dukuduku kuhusu ufafanuzi wangu huu. Inanibidi nifafanue tena hiyo CCM na viongozi waliopo huko kutoweza kujibu swali lako pia.
Ni hivi: CCM ni chama cha unafiki. Ndani ya CCM hakuna anayeweza kumwambia mwenzie ukweli, hata kama ukweli huo uko wazi.
Muundo wa CCM ulivyo, tazama CC (Central Committee), wajumbe wake, na hata Halmashauri Kuu ya Chama hicho uwiano wa wajumbe wake, toka Tanganyika na Zanzibar.
Hawa wajumbe wa Tanganyika, hata siku moja utasikia wakiwagomea chochote wale wa Zanzibar; hasa katika maswala yanayohusu Zanzibar. Kwa hiyo maamuzi yanayochukuliwa kuhusu Zanzibar, ni uamzi wa wajumbe toka Zanzibar.
Asikudanganye mtu kwamba mambo ya Zanzibar yanaamuliwa na watu wa Tanganyika. Hao akina Jumbe kuachishwa uRais, ni waZanzibari ndani ya CCM ndio walikomaria swala hilo, na kuungwa mkono na akina Mwalimu Nyerere, kwa vile Jumbe alikuwa anashindana kulegeza muungano, ambao uliasisiwa na akina Mwalimu. Mwalimu asingekubali kuona juhudi zake zikisambaratika.

Kuna hizi stori za viongozi wa Zanzibar kuchaguliwa Dodoma. Huu ni uongo. CCM Zanzibar ndio huchagua viongozi hao, na kutegemea wenzao wa Bara kuhakikisha chaguo lao linapita kwa njia yoyote, hata kwa kumwaga damu.

Looo, nitatiririka hadi wapi sasa. Natumaini umenielewa mkuu 'Rabbon', pamoja na wasomaji na wachangiaji wa mada yako hii.
 
sasa ndungu yangu DR Mambo Jambo mimi tena nianze kutafuta kumbukumbu za ziara za waziri mkuu hali ya kua sina tatizo nazo na wala sina haja nazo 🐒

but anyway ngoja tuone naweza kipi kwenye hilo 🐒
Mkuu Tlaatlaah Ngoja Nikusaidie maana huwezi kupata Unachotafuta kwa sababu..

Ukisoma vizuri mkataba wa Muungano utaona kuwa Waziri Mkuu ndiye Msaidizi wa Rais wa Muungano kwa masuala yote yasiyo ya Muungano kwa upande wa Tanganyika na Rais wa Zanzibar ndiye Msaidizi wa Rais wa Muungano kwa masuala yote yasiyo ya muungano kwa upande wa Zanzibar. Kama ilivyo Rais wa Zanzibar hana
mamlaka huku bara vile vile Waziri Mkuu hana mamlaka yeyote kule Zanzibar


Mkataba wa Muungano ndio rejea pekee la masuala ya muungano. Articles of the Union zimeanzisha Mamlaka 3, Mambo ya Muungano chini ya Rais wa Muungano, mambo yasiyo ya Muungano kwa Tanganyika chini ya msaidizi mkuu
wa Rais wa JMT ambaye 1964 alikuwa makamu wa pili wa Rais...

na mwisho ni mambo yasiyo ya muungano kwa Zanzibar ambaye ni msaidizi mkuu wa Rais wa JMT ambaye 1964 alikuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wa kwanza wa Rais. Waziri Mkuu wa Tanzania ndiye huyo makamu wa pili wa 1964.

Baadaye Ndo kikafutwa Cheo cha Makamu wa Pili wa Muungano Kikaanzishwa Cheo cha Waziri Mkuu na kikaanza kutiliwa Mkazo...
 
Salaam, Shalom.

Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.

Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?

Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,

Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.

Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?

Karibuni🙏
Wewe jamaa vp,yaani aalikwe LISU ili nani abebe hiyo aibu itakayofuata?
Yaani wewe unaona kuwa upande ule kuna msomi kweli au kuna wenye vyeti vilivyopatikana baada ya kuchomelewa kwa mafundi wa kuunga vyuma?

Wanajua wazi kuwa hawawezi kuwa na hoja ndio maana wanachungulia na kujificha na kwakuwa wameandaa Watanganyika kuwa wapiga kura tu basi wanatumia huo ujinga kuwanasa na wanawansa wengi mno lkn hawawezi thubutu kuweka mdahalo na Lisu labda wanachokiweza ni risasi 36.
 
Salaam, Shalom.

Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.

Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?

Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,

Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.

Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?

Karibuni🙏
CCM wajibu hoja za Lissu.
 
Salaam, Shalom.

Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.

Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?

Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,

Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.

Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?

Karibuni🙏
CCM ya sasa imebakiwa na magarasa matupu, haina watu wanaojua siasa wala wanaoijua katiba ya nchi, wao wanauwezo wa kujibu kibabe!
 
Kumpuuza nalo ni jibu tosha, kwani hayo kaanza kuyaongea leo?

Huwezi kutoa kauli za kuropoka kama alivyofanya Nape, halafu ukasema umepuuza. Kule ni kushindwa kujibu hoja.

Kwa kuwa Serikali.na CCM wameshindwa kujibu hoja, Tundu Lisu aendelee kutoa darasa kwa umma, na kisha siku za mbeleni umma uamue cha kufanya dhidi ya Muungano tata.
 
busara ni kumpuuza tu kama ilivyo sasa :BASED:

Labda huelewi maana ya kupuuza. Setikali haijapuuza bali imeshindwa kujibu hoja za Lisu. Nape ametoa kauli tayari, na kauli zake zimeashiria utupu wa hoja. Hii ina maana Serikali haijaluuza bali haina jibu lenye mantiki. Hivyo hoja za Lisu zinaendelea kusimama.
 
Mkuu Tlaatlaah Ngoja Nikusaidie maana huwezi kupata Unachotafuta kwa sababu..
Ukisoma vizuri mkataba wa Muungano utaona kuwa Waziri Mkuu ndiye Msaidizi wa Rais wa Muungano kwa masuala yote yasiyo ya Muungano kwa upande wa Tanganyika na Rais wa Zanzibar ndiye Msaidizi wa Rais wa Muungano kwa masuala yote yasiyo ya muungano kwa upande wa Zanzibar. Kama ilivyo Rais wa Zanzibar hana
mamlaka huku bara vile vile Waziri Mkuu hana mamlaka yeyote kule Zanzibar


Mkataba wa Muungano ndio rejea pekee la masuala ya muungano. Articles of the Union zimeanzisha Mamlaka 3, Mambo ya Muungano chini ya Rais wa Muungano, mambo yasiyo ya Muungano kwa Tanganyika chini ya msaidizi mkuu
wa Rais wa JMT ambaye 1964 alikuwa makamu wa pili wa Rais...

na mwisho ni mambo yasiyo ya muungano kwa Zanzibar ambaye ni msaidizi mkuu wa Rais wa JMT ambaye 1964 alikuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wa kwanza wa Rais. Waziri Mkuu wa Tanzania ndiye huyo makamu wa pili wa 1964.

Baadaye Ndo kikafutwa Cheo cha Makamu wa Pili wa Muungano Kikaanzishwa Cheo cha Waziri Mkuu na kikaanza kutiliwa Mkazo...
Muungano hata kama ulionekana unafaa enzi hizo sasa imepitwa na wakati. Kumbuka USSR wakatii hua ila baadaye ilibidi isambaratike. Muungano huu jinsi ulivyo lazima utasambaratika
 
Salaam, Shalom.

Ni wiki sasa, Mwanasheria msomi Tundu Lissu ametoa HOJA nzito kuhusiana na Muungano wetu, bandari, na anatoa HOJA Kwa kutumia Katiba ya nchi iliyopo.

Cha kushangaza wanaibuka viongozi tena wenye hadhi ya juu kabisa na kumjibu TUNDU Lissu kiujumla jumla tu. Anauliza swali Kwa kunukuu Katiba ya nchi, lakini anajibiwa Kwa kauli nyepesi za kisiasa bila ushahidi wowote au nukuu yoyote kisheria, imekaaje hii?

Jamani, HOJA hujibiwa Kwa HOJA,

Angalau Serikali chini ya AG ingeitisha mdahalo wa wazi, Lissu akaalikwa na HOJA muhimu zikajadiliwa Kwa maslah ya Taifa Kwa uelewa wa umma wa wananchi.

Swali linabaki kuwa, huko serikalini hawapo watu wenye capacity ya kumjibu TUNDU Lissu Kwa HOJA?

Karibuni🙏
Muungano wa Nyerere, una makandokando ya kutosha kwenye muunfo wake! Yakihojiwa hayajibiki kimantiki Bali Kwa blabla tu...
! Ndio maana wakati wa Bunge la Katiba JK Alisa jadilini yote Muungano muache hivi ilivyo!
 
Back
Top Bottom