- Thread starter
- #101
Kuendesha Nchi kimkakati ndo kupi huko?Waziri wa Habari nadhani ana majawabu kwani amenena hapo mjengoni! Nchi inaendeshwa kimkakati na sio kiKATIBA!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuendesha Nchi kimkakati ndo kupi huko?Waziri wa Habari nadhani ana majawabu kwani amenena hapo mjengoni! Nchi inaendeshwa kimkakati na sio kiKATIBA!!
sasa ndungu yangu DR Mambo Jambo mimi tena nianze kutafuta kumbukumbu za ziara za waziri mkuu hali ya kua sina tatizo nazo na wala sina haja nazo 🐒Mkuu Tuweke Siasa pembeni Tuzungumze uhalisia Hebu nikumbushe Ziara ya Waziri Mkuu wa Tanzania aliyofanya Unguja au Pemba..
Hebu nikumbushe Nione ukaguzi wa MIRADI YOYOTE Ulioko Zanzibar Uliofanywa na Waziri Mkuu wa JMT
Sasa nani hasapoti ushoga ktk nchi hii? Wakati serikali yako ndo iko kifua mbele kutetea hilo.Tundulisu huyu huyu aliekuwa anasapati usho ga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mke wa marehemu upo !Enzi za mume wako ulikuwa active sana !!Chato wazima lakini
Dr Tulia hawezi na wala hana uwezo, hata wanavo msifia mie sioni km anastahili.Tulia Akson labda anaweza kujibu,
Yaezakuwa anajipanga,
Maana tuliambiwa Yeye ni mwalimu wa Lissu katika Sheria.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo ndiyo atalia kabisa hadharani.
Tulia alimfundisha Llissu darasani,Dr Tulia hawezi na wala hana uwezo, hata wanavo msifia mie sioni km anastahili.
Niliona ile siku Bungeni, kuhusu DPW, alikua anamzuia na kumkatisha Halima mdee kila anapotoa hoja yake. Anajifanya kuelezea kumbe anaficha mambo, had halima alipanick khaah.
Hana uwezo huo.Tulia alimfundisha Llissu darasani,
Naamini akiamua kumjibu Lissu Kwa HOJA anaweza.
Serikali Zima imejaa vilaza watupu watawezaje kujibu hoja za mtu mwelevu kama Lisuu. Ni liniusikia waziri yoyote kwenye serikali ya Samia au ya Mwendazake zake wanapo ongea au kufanya maamuzi hadhara wakinukuu vipengere vya sheria vinavyo wapa mamraka ya kufanya wayafanyayo? Sababu hata katiba hawajawahi kusoma.Kumpuuza nalo ni jibu tosha, kwani hayo kaanza kuyaongea leo?
Haweziiiii!!Tulia alimfundisha Llissu darasani,
Naamini akiamua kumjibu Lissu Kwa HOJA anaweza.
Mkuu mwakani utagombea tena au umeshapata U-DC/DEDanaheshimu maoni na mtazamo wa walioshindwa na watakaoshindwa vibaya tena mwaka huu 2024 na baadae 2025🐒
Ha ha ha mkuu mbona umepaniki sana .wewe rudia ghadhabu zako kadiri uwezavyo, lakini ile muhimu zaid ni kwamba mercenaries na puppets wataendelea kukabiliwa na kudhibitiwa vilivyo, i ili wenye jukumu na wajibu wa kuwatumikia wanainchi wafanye kazi na majukumu yao kwa utulivu zaidi🐒
Maendeleo yapi Kwa miaka 60?Wewe mwenyewe chini ya CCM na Elimu yako umeshindwa kupata kazi .Ndiyo maana ukaamua kukimbilia CCM.sio makomando tu hadi manyumbu na mihemko yao tuyaongoza, tunayakabili na kuyadhibiti vuzuri sana ili kusudi wanainchi wapate maendeleo endelevu 🐒
nimeskiza sauti ya wananchi, hiyo ndio inaniongoza, na ndio imenifikisha hapa nilipo, na hiyo ndio ninaifuata tuendako....Mkuu mwakani utagombea tena au umeshapata U-DC/DED
Maana Kwa katiba hii ya nchi chochote kinawezekana.
Vyama vya upinzani kushindwa ni kawaida nchi hii ndiyo maana hata wewe ulienda kubombea CCM
ile kitu Mungu amanikirimia zaidi ni imotional stability control kubwa zaidi na kwahivyo siwez kamwe kuhemshwa na lolote kutoka kwa yeyeto 🐒Ha ha ha mkuu mbona umepaniki sana .
Hakuna msomi wa nchi anayejitambua na mwenye mapenzi mema na nchi hii naweza kuingia kwenye siasa za CCM.nimeskiza sauti ya wananchi, hiyo ndio inaniongoza, na ndio imenifikisha hapa nilipo, na hiyo ndio ninaifuata tuendako....
na, kwa neema na baraka za Mungu akiendelea kutufadhili zawaidi hii muhimu sana ya pumzi, uhai na afya njema, ni dhahiri ndoto, matumaini, matamanio na matarajio ya wanainchi yanafikiwa pasina shaka kabisaa 🐒
vyote vyote itakavyo kua, daima nitakua bega kwa bega na wananchi wapendwa sana Jimboni 🐒
Meza hizo sindanoile kitu Mungu amanikirimia zaidi ni imotional stability control kubwa zaidi na kwahivyo siwez kamwe kuhemshwa na lolote kutoka kwa yeyeto 🐒
JiheshimuKumpuuza nalo ni jibu tosha, kwani hayo kaanza kuyaongea leo?
ile kitu Mungu amanikirimia zaidi ni imotional stability control kubwa zaidi na kwahivyo siwez kamwe kuhemshwa na lolote kutoka kwa yeyeto 🐒Ha ha ha mkuu mbona umepaniki sana .
wenye mindset za kimamluki hawawezi ona maendeleo mahali popote, ile wanaweza ona ni ile waliyotumwa na mabwenyenye kutoka huko ng'ambo 🐒Maendeleo yapi Kwa miaka 60?Wewe mwenyewe chini ya CCM na Elimu yako umeshindwa kupata kazi .Ndiyo maana ukaamua kukimbilia CCM.
Kiukweli Katiba ya nchi hii Kwa sasa ni tatizo ,maana nakumbuka pale COET -UDSM upepo wa ajira ulivyoanza kuwa vibaya vipanga wengi walianza siasa za maji taka ili wapate ajira
Hata wewe umeingia CCM iliupate kula ,hukuingia CCM Kwa kupenda na usomi wako uliingia ili uonekane upate ujira ...MZEE WA BAJA
ile daima siwezi daima ni kua mercenary under puppet 🐒Meza hizo sindano
Ni ukweli kuwa njia uliyoichagua kama kijana msomi niya kinafiki tu