Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Sasa wewe nini kinakuuma Kwa mtu kurejea nyumbani kwao?Sasa amekuja kufanya nini huku Tanzania kama anahofia usalama wake
Au nawewe ni mmojawapo walioshiriki kumshambulia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wewe nini kinakuuma Kwa mtu kurejea nyumbani kwao?Sasa amekuja kufanya nini huku Tanzania kama anahofia usalama wake
kwa sio tanzania. kwao ubelgijiSasa wewe nini kinakuuma Kwa mtu kurejea nyumbani kwao?
Au nawewe ni mmojawapo walioshiriki kumshambulia?
Nimekubali kuwa wewe ovacardo.🇹🇿 Huyo mbeatukaji Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu
🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary
🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano
🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo
🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.
🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?
🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Na wewe pesa anazolipwa na mabeberu kuichafua Tanzania hua anakupunguzia kidogo?Sasa wewe nini kinakuuma Kwa mtu kurejea nyumbani kwao?
Au nawewe ni mmojawapo walioshiriki kumshambulia?
Huu ujinga danganya wajinga wenzako.🇹🇿 Huyo mbeatukaji Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu
🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary
🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano
🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo
🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.
🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?
🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Ukizoea kubebwa na vyombo vya dola ukiitwa sehemu isiyo na mbeleko lazima ukae kwa kutulia. Dhalimu magu yeye alijua huyo hamuwezi, Akamtuma Joyce wowowo amtoe roho, nayo ikashindikana. Mara paap mzimu huu hapa.vibaraka na watu wenye mihemko ni hatari sana kuwajumuisha kwenye midahalo yoyote ile, busara ni kuwapuuza kuepusha uharibifu na usumbufu na kutoa fursa kwa wenye dhamana ya kuongoza na kuwatumikia waTanzania wachape kazi vizuri zaidi![]()
HahahahahKumpuuza nalo ni jibu tosha, kwani hayo kaanza kuyaongea leo?
Sema machawa hatuna jibu hivyo tumeamua kukaa kimyabusara ni kumpuuza tu kama ilivyo sasa![]()
Hahahahah, someone from jalalaniSiamini hili,
Labda Kabudi arudi kujaribu tena.
Acha hizo,Hahahahah, someone from jalalani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sidhani kama wananchi wanaangalia hilo, imagine mtu kama Msukuma walimchagua awe mbunge wao.Nchi hii Pana wasomi wengi,
Ungeitishwa mdahalo, waitwe viongozi wenye weledi kuhusiana na masuala hayo ya kisheria na kikatiba, Lissu aalikwe zijadiliwe HOJA hizo muhimu,
Uchaguzi umekaribia, wananchi wangependa kuwajua viongozi wanaoijua Katiba na Sheria za Nchi yetu Ili wapewe kuongoza.
si busara kwa wenye mamlaka na kazi ya kutekeleza ilani ya uchaguzi kubabaika na mercenaries na puppets 🐒Sema machawa hatuna jibu hivyo tumeamua kukaa kimya
Unaweza kumpuuza aliyekuzidi akili.Kubali uwezo wako bado mdogo sana.Kumpuuza nalo ni jibu tosha, kwani hayo kaanza kuyaongea leo?
hakuna swali wala hoja ya kujibiwa kutoka kwa kibaraka mropokaji 🐒Ukizoea kubebwa na vyombo vya dola ukiitwa sehemu isiyo na mbeleko lazima ukae kwa kutulia. Dhalimu magu yeye alijua huyo hamuwezi, Akamtuma Joyce wowowo amtoe roho, nayo ikashindikana. Mara paap mzimu huu hapa.
Lisu kasema wazi kabisa, Zanzibar ina wapiga kua chini ya laki 6, lakina ina wawakilishi zaidi ya 70 kwenye bunge. Jibu ni kwanini, ww unaishia kuleta story za kitoto. Unakwama wapi 🌈?
Kwako mtu anayekuzidi akili aitwe Puppet?si busara kwa wenye mamlaka na kazi ya kutekeleza ilani ya uchaguzi kubabaika na mercenaries na puppets 🐒
the trap yourselves, but not the ruling government with duties and responsibilities of transforming the country to the next level of development 🐒
Eti na wewe umemjibu Mh Lissu. Hahahaha viumbe nyieTundulisu huyu huyu aliekuwa anasapati usho ga
Huyo ni chawa aliyekosa wa kumnyonya baada ya Jiwe kufaMke wa marehemu upo !Enzi za mume wako ulikuwa active sana !!Chato wazima lakini