Ni nani wa kujibu hoja za Tundu Lissu?

Ni nani wa kujibu hoja za Tundu Lissu?

🇹🇿 Huyo mbeatukaji Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu

🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary

🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano

🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo

🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.

🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?

🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Nimekubali kuwa wewe ovacardo.
 
Sasa wewe nini kinakuuma Kwa mtu kurejea nyumbani kwao?
Au nawewe ni mmojawapo walioshiriki kumshambulia?
Na wewe pesa anazolipwa na mabeberu kuichafua Tanzania hua anakupunguzia kidogo?
 
Lissu hana hoja, ana porojo tu, eti anasema wamasai wameondolewa ngorongoro, kwani wanyaturu hawakuondolewa kupisha mgodi wa shanta mine, mbona hajawambia wagome dhahabu gao kuchotwa! Shenzi kabisa.

Eti katiba mpya ndo suluhu nani kamwambia hiyo ni jeans kuwa inakaribia kutatuka?
 
🇹🇿 Huyo mbeatukaji Hana hoja yoyote na ni mazuzu tuu wanamwona anaongea point kumbe kupayuka kote ni vapor tuu

🔹 Kwa makusudi anajua accord ya muungano wetu kuwa unique dunia nzima ei Neither federal nor unitary

🔹 Inajulikana kabisa na sababu zilitolewa kuwa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika kwa Sasa kwa sababu ili surrender all it's power kwenye muungano na ila dissolve lakini Zanzibar ili surrender some na ku retain some.
🔹 Ndio maana Zanzibar Wana sub katiba Yao, ndio maana Zanzibar Wana sub citizenship Yao. Lengo ilikuwa ni kutokana na udogo wake is dissolve Moja kwa Moja kwenye muungano

🔹 Hivyo vi hoja kuwa Kwa nini Wana vitbulisho vya ukaazi ni hoja dhaifu Sana kwani ni sawa sawa na ninyi mlivyo kwenye daftari la ukoo

🔹 Kitendo Cha baadhi ya mazuzu kuulazimisha au kuleta hoja kana kwamba hii ni purely unitary ni utaahira.

🔵 Haya ma federation na ma unitary mnayoyadoma duniani yalianzishwa na watu. Kwa nini msiwapongeze wazee wetu Nyerere na karume kwa kutunga muungano ambao ni unique na unauoumiza vichwa vya wasomali.duniani kote kuufanyia utafiti ? Kwa nini tusiwape u proffesa waasisi Hawa na kuwapa credit zao?

🔹 Wazazabari na wazanzibari na wazanzibari ni Watanzania. Watanzania bara ni Watanzania . Utake ni hivyo hivyo usitake ni hivyo hivyo
Huu ujinga danganya wajinga wenzako.
 
Hoja za Tundu Lisu hazijibiki na hakuna wa kuzijibu hasta nyerere na karume wasingejibu!

Hoja za Tundu Lisu ni kufanyia KAZI na kurekebisha uozo was Muungano!!

Na jibu pekee ni Muungano was serikali Moja kama kweli tumeamua kuungana au serikali Tatu kama tumeamua kuuvunja uwe legelege!!

Na kufanya marekebisho hayo siyo serikali ya chama changu CCM Bali serikali nyingine coz huu Muungano ni lango la kushibisha matumbo ya wanasiasa na maslhi makubwa ya watoto wao!!
 
vibaraka na watu wenye mihemko ni hatari sana kuwajumuisha kwenye midahalo yoyote ile, busara ni kuwapuuza kuepusha uharibifu na usumbufu na kutoa fursa kwa wenye dhamana ya kuongoza na kuwatumikia waTanzania wachape kazi vizuri zaidi :whatBlink:
Ukizoea kubebwa na vyombo vya dola ukiitwa sehemu isiyo na mbeleko lazima ukae kwa kutulia. Dhalimu magu yeye alijua huyo hamuwezi, Akamtuma Joyce wowowo amtoe roho, nayo ikashindikana. Mara paap mzimu huu hapa.

Lisu kasema wazi kabisa, Zanzibar ina wapiga kua chini ya laki 6, lakina ina wawakilishi zaidi ya 70 kwenye bunge. Jibu ni kwanini, ww unaishia kuleta story za kitoto. Unakwama wapi 🌈?
 
Nchi hii Pana wasomi wengi,

Ungeitishwa mdahalo, waitwe viongozi wenye weledi kuhusiana na masuala hayo ya kisheria na kikatiba, Lissu aalikwe zijadiliwe HOJA hizo muhimu,

Uchaguzi umekaribia, wananchi wangependa kuwajua viongozi wanaoijua Katiba na Sheria za Nchi yetu Ili wapewe kuongoza.
Sidhani kama wananchi wanaangalia hilo, imagine mtu kama Msukuma walimchagua awe mbunge wao.
 
Sema machawa hatuna jibu hivyo tumeamua kukaa kimya
si busara kwa wenye mamlaka na kazi ya kutekeleza ilani ya uchaguzi kubabaika na mercenaries na puppets 🐒

the trap yourselves, but not the ruling government with duties and responsibilities of transforming the country to the next level of development 🐒
 
Chadema muombeni Mbowe apumzike, jahazi aachiwe lisu na akina heche abadili hali ya siasa. Mbowe yupo vizuri lkn apumzike kidogo.
 
Ukizoea kubebwa na vyombo vya dola ukiitwa sehemu isiyo na mbeleko lazima ukae kwa kutulia. Dhalimu magu yeye alijua huyo hamuwezi, Akamtuma Joyce wowowo amtoe roho, nayo ikashindikana. Mara paap mzimu huu hapa.

Lisu kasema wazi kabisa, Zanzibar ina wapiga kua chini ya laki 6, lakina ina wawakilishi zaidi ya 70 kwenye bunge. Jibu ni kwanini, ww unaishia kuleta story za kitoto. Unakwama wapi 🌈?
hakuna swali wala hoja ya kujibiwa kutoka kwa kibaraka mropokaji 🐒

wenye kazi na majukumu mazito ya kuongoza na kutumikia wanainchi hakuna muda wa kubabaika na visivyo na maana 🐒
 
si busara kwa wenye mamlaka na kazi ya kutekeleza ilani ya uchaguzi kubabaika na mercenaries na puppets 🐒

the trap yourselves, but not the ruling government with duties and responsibilities of transforming the country to the next level of development 🐒
Kwako mtu anayekuzidi akili aitwe Puppet?
 
Back
Top Bottom