- Thread starter
- #41
Tulia Akson labda anaweza kujibu,Setina na Chama cha Mapinduzi, Tanganyika na Zanzibar, in wasomi wengi na wenye weledi wa kujibu hoja za msomi TAML lkn hawana hoja za kisheria au kikatiba ndiyo maana ni lazima tu wabwajaje ili mama aendelee kuwatunza ktk nafasi zao.
Yaezakuwa anajipanga,
Maana tuliambiwa Yeye ni mwalimu wa Lissu katika Sheria.