Nkerebhuke
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 796
- 2,026
Ndugu kutumiana sio vizuri sana maana inatengeneza chuki ni vema tukajadili ni jinsi gani serikali yetu imeshindwa ku deal na chain ya upigaji kama huo, inaonekana wazi haya mambo yamejichimbia chini sana yanaitaji sayansi na mbinu za medani kukabiliana nayoMkuu sio kwamba Raisi magufuli alikua mbaya, ila ndo aliongoza kwa kufanya ubadilifu hata bila kuficha unakumbuka 1.5tn shilling alio potea akatanjwa na CAG hata alishindwa kujitetea, pesa alio tumia Chato ilikua nje ya bajeti ya serikali Magufuli alikua mwizi asio penda kuiba na wenzie.
Hi ungeifungulia uzi wake, tuweze kujadili jinsi mkopo wa ntu binafsi unapo athiri serikali na huyu mtu atahamisha je hiyo pesa bila serikali kujua?Kuna hili jingine huku..Uuuwiii kweli kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan leo wakati akipokea Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Ikulu Jijini Dar es salaam amehoji kuhusu mikopo chechefu na kusema kuna baadhi ya Maafisa wa Benki wanashirikiana na Wateja kupitisha mikopo kinyume na inavyotakiwa kisheria.
View attachment 2570068
Sema mama analalamika sana na hakuna watu wakumsaidia, huwezi ukasikia kuna chombo chochote cha serikali hasa polisi au takukuru kuwa wanafanyiakazi report ya jana.Hii nchi hatutafika kamwe..yaani kuanzia JUU mpaka CHINI wote wanalalamika
Nimelitoa kwenye post nyingine tena nimesahau kumpa credit mwandishi ngoja niitafuteHi ungeifungulia uzi wake, tuweze kujadili jinsi mkopo wa ntu binafsi unapo athiri serikali na huyu mtu atahamisha je hiyo pesa bila serikali kujua?
Majaliwa ni "toothless dog" hana nguvu yoyote labda kukemea waalimu na watendaji wa almashauri tu. Ni misfit kwenye serikali hi.Waziri mkuu naona kama Hamsaidii Mama, Yeye ndio mtendaji mkuu wa Serikali na vijana wake ndio wanaolitaifisha Taifa kwa kuiba, sijui hili nalo limekaaje
Inatia uchungu na hasira kwa hawa walafi. Lakini pia inatia simanzi na huruma kwa walipa kodi na tozo mbalimbali.Tanzania tatizo siyo viongozi,tatizo ni sisi wananchi tumelala sana katika maswala mazima ya kuhoji ,wanatuchezea sana hawa jamaa,magufuli alikuwa hapendwi na viongozi wenzake kwa kuwa aliwabana,EE MUNGU NAPIGA GOTI TULETEEE MAGUFULI MWINGINE,PAMOJA NA MAPUNGUFU YAKE AMBAYO NDO YALIKUWA YANAKAMILISHA UBINAADAMU WAKE,LAKINI YULE MTU ALIKUWA ANAJUA, tanzania rais akiwa mpole sana wanamuonea sana hawa watu wa serikalini ,na hela wanazoiba ni za wananchi so mean hawana upendo na sisi,,asante sana rais samia kwa kutamka haya hadharani, natamani ningekuwa na elimu ya kutosha then niwe sehemu fulani,hakika mngenyooka,mi sijali kuuliwa kwani hakuna atakayebaki hapa,na yoote haya ni matakataka ya dunia
Kwenye kila tafrija mama akialikwa ujue kuna wajuba jambo lao limefanikiwa iwe kuzindua ndege au kilele cha kilimo etc etc[emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji2827][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanamfix bimkubwa na mabango marefu kama km 2 ya kumsifu..alaf nyuma ya kamati watu wanagawana mpunga wa kutosha tafrija ikiisha hata mabango wanayaacha hapo hapo ..kwenye kila tafrija mama akialikwa ujue kuna wajuba jambo lao limefanikiwa iwe kuzindua ndege au kilele cha kilimo etc etc
Mama kalalamika kwamba invoice ya mwisho ilikuwa tulipe $37,000,000 lakini ikaja invoice ya $86,000,000 ongezeko la zaidi ya asilimia 100 nje ya mkataba wa awali na mama alipohoji akaambiwa spare zimepanda bei.. Je ni nani wanaruhusu malipo ya serikali yatoke? Hawa wafuatao sahihi zao ndio zinahusika
1. Mwanasheria mkuu wa serikali
2. Waziri wa fedha
3. Mlipaji mkuu wa serikali
4.Gavana wao BOT
5. Waziri wa ulinzi(?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
6. CDF(?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
7. Mkaguzi mkuu wa serikali?
8....
9....
Hiyo ndio timu na sidhani kama kuna wengine nje ya hao.. Je mama aliposema kwamba kama huko nyuma walikula hazikuwatosha.. Alimaanisha hawa ama?
Kwa nchi zinazojali utawala wa kisheria katika uhalisia wake nusu ya hao hapo juu kufikia muda huu hawakupaswa kuwepo ofisini
JPM anahusikaj hapa ?JPM utasikia chadema mnatudanganya
CAG hapo tumtoe. Yeye anapitisha Ile appropriation act peke yake. Labda kukitokea Kuna supplementary budget ndo atahitajika aisaini tena. Naamini Hela zote zinaingia consolidated fund account. Zikishaidhinkshwa na CAG mruhusu zitoke ni Permanent Secretary to the Treasure and Paymaster General of the government! Tuanzie kwake maana no release from the fund without his or her signature!
Ye mwenyewe kunguru.Akiwauliza hivyo anawapa kichwa inabidi afanye kitu ili apate heshima hata kama ni heshima ya woga, awanyooshe hao washenzi hii imezidi sasa