Ni Nature Mwanaume anapenda na anafurahi kufanana na Mtoto wake

Ni Nature Mwanaume anapenda na anafurahi kufanana na Mtoto wake

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
NI NATURE MWANAUME ANAPENDA NA ANAFURAHI KUFANANA NA MTOTO WAKE

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Hili Wala siô Siri ingawaje wàpo wachache watapinga lakini ukweli utabaki ukweli Siku zote Wanaume hufurahi Sana na Kupenda pale àmbapo Mtoto aliyemzaa anapofanana na kuelekeana naye Kwa kiasi kikubwa.

Wanaume wengi hujihisi fahari na kujivunia wanapomwona Mtoto anayefanana naye.
Wanaume wengi huongeza Imani na Mapenzi Kwa wake zào pale wanapoletewa Watoto waliofanana nao.

Wanaume wengi hujihisi dhaifu, hujisikia Duni na kuwa na Mashaka pale àmbapo Mtoto atazaliwa na asifanane naye hata kidôgo.

Kûna sababu za msingi katika silika na hulka hiyo Kwa Wanaume. Sababu hizô NI kama Ifuatavyo;

1. Mwanaume ni Mfano wa Mungu kiasili(Nature).
Vitabu vya Dini vinaeleza kuwa Mungu alipoumba Mtu alisema "Natuumbe MTU Kwa mfano wetu"
Hivyo Mungu au nature yenyewe ilimuumba Mtu Kwa mfanano.
Yaani Mungu alifurahi kumuumba Mtu anayefanana naye(anayeelekeana naye).

Ndîo maana kiasili Wanaume wamerithi hulka na silika hiyo ya kutaka kuwa na Watoto wanaofanana nao.

2. Wanawake kutokuwa Waaminifu, rahisi kudanganywa;
Ingawaje Wanaume ndîo huonekana kuwa na tamaa ya ngono lakini ngono hizô wanafanya na Wanawake.

Wanaume wengi kiasili hawawaamini Wanawake. Hiyo NI tangu enzi na enzi siô ajabu Zamani walitaka Mwanamke aolewe akiwa Bikra lakini pàmoja na hivyo bado Imani ya Wanaume Kwa Wanawake ni ndogo.

Sababu ya Imani kuwa ndogo NI tàbia ya Wanawake kuwa rahisi kushawishiwa na kushawishika, ukigeugeu wa Wanawake, tamaa ya vitu.
Kwamba Mwanamke anaweza kupewa Pesa au Pipi au chipsi tuu akaingia mkenge.

Kwa Wanaume waliokamilika haiwezeniki kumwamini Mwanamke hasa wale Wanaume àmbao ni polygamist yàani weñye Wanawake wengi.

Mtoto anapokuwa hafanani na Baba hii humpa shida Sana Mwanaume na kuona huenda amepigwa hata kama hajapigwa. Hii NI tofauti na Mtoto anapofanana naye

3. Kuiendeleza Ufalme na utambulisho.
Kîla Mwanaume ni Mfalme katika ûtawala wake.
Kîla mwanaume anautambulisho wake àmbao ameuchukua katika koo aliyotoka.

Mtoto anapofanana na Baba moja Kwa Moja anakuza Brand utambulisho wa Mwanaume. Huna haja ya kuuliza Mtoto huyu ni wa Nani Wakati anaonekana.

Ndîo maana mchina hawezi kuzaa Muafrika kikawaida au mzungu kuzaa mchina kikawaida.

Fikiria umezaa Mtoto lakini kafanana na Jirani yako utajisikiaje? Hata Watu wasiposema utajisikiaje?

Mtoto wako kivipi? How?

AINA ZA UFANANO
1. UFanano wa kimaumbile
Hapa Mtu mnafanana Sura ndîo Jambo kûbwa zaidi, kichwa, Mikono, miguu, Meno, Maskio n.k.

Huu NI utambuzi wa nje àmbao wengi ndio huupenda zaidi

2. UFanano wa Vinasaba
Mkipimwa vinasaba mnakuwa mnafanana.
Huu UFanano hauna maana Sana kama Mtoto kimaumbile hajafanana hata kidôgo na Mhusika kwani kutokana na ukosefu WA uadilifu matokeo yanaweza Kupikwa.
Mfano wewe Mpare wa Makanya uzae Mtoto mchina alafu DNA iseme ni wakwako. Hapo automatically utaona NI uongo.

3. UFanano wa tàbia na Àkili
Huu pia ni UFanano àmbao unakubaliwa na Wanaume wengi n wengi hujivunia na kuwa uthibitisho kuwa Mtoto huyu NI damu yake halisi.

Kiroho, mîungu hasa Mungu wa vitabu vya Dini hujivunia na kufurahia anapoona Watu wake(Watoto wake aliowaumba) wanapofanana naye kitabia na Kiakili kwamba wanakuwa Wema na weñye kupenda kutenda Wema. Mungu pia hufurahia.

Mungu Huona Watoto siô wake Ikiwa hafanani nao tàbia na mienendo.

Acha nipumzike sasa.
Nawatakia maandalizi mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
 
DNA
Ufafanano wa DNA huu huwa kama Baba alikuwa masikini (ROFA) kuna uwezakano watoto wake wakarithi hiyo hali .

Japokuwa sio lazima itokee .

Umaskini na utajiri ni culture na zaidi tàbia ya Mtu Husika

Kama Baba na tàbia Fulani inatarajiwa Mtoto au Watoto wake watakuwa na tàbia hizô.
Ndîo Ile wanasema Maji hufuata mkondo.

Hence ulichosema kina ukweli mkubwa
 
Una ujuaji mwingi na wanasema kuchamba kwingi...na ujuaji wako ni sawa na kuchamba kwingi. Vitu vingine kaa kimya maana kwa kukaa kimya itasaidia watu kujua ujinga ulionao. Mada yako ya leo unaonesha kuwalalamikia wanawake kushindwa kuzaa watoto wanaofanana na baba zao, kama kwenye familia yenu kuna ambao hawafanani na baba yenu jitahidi ukamuombe msamaha mama yako maana umemtukana tusi kubwa sana.
 
Una ujuaji mwingi na wanasema kuchamba kwingi...na ujuaji wako ni sawa na kuchamba kwingi. Vitu vingine kaa kimya maana kwa kukaa kimya itasaidia watu kujua ujinga ulionao. Mada yako ya leo unaonesha kuwalalamikia wanawake kushindwa kuzaa watoto wanaofanana na baba zao, kama kwenye familia yenu kuna ambao hawafanani na baba yenu jitahidi ukamuombe msamaha mama yako maana umemtukana tusi kubwa sana.

Ukiwa na upeo mdogo usipende kutoa maonî mbele ya kadamnasi ili kuepusha aibu na fedheha.

Ona sasa
 
Wanaume wengi kiasili hawawaamini Wanawake. Hiyo NI tangu enzi na enzi siô ajabu Zamani walitaka Mwanamke aolewe akiwa Bikra lakini pàmoja na hivyo bado Imani ya Wanaume Kwa Wanawake ni ndogo.
Hapo ndiyo shida inapoanza na mabibi wa ndugu wa mke watafosi sana kusema amefanana na babu yake au amefanana vidole na baba yake.
 
Hapo ndiyo shida inapoanza na mabibi wa ndugu wa mke watafosi sana kusema amefanana na babu yake au amefanana vidole na baba yake.

😃😃

Kûna wanafiki Hapa watasema siô lazima lakini kisayansi na kiroho NI Lazima.

MTU anakuambia siô lazima alafu hapahapo Mkewe akizaa mtoto wa muarabu ananuna. Ñdipo unapogundua kûna Watu Wana Akili mgando
 
NI NATURE MWANAUME ANAPENDA NA ANAFURAHI KUFANANA NA MTOTO WAKE

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Hili Wala siô Siri ingawaje wàpo wachache watapinga lakini ukweli utabaki ukweli Siku zote Wanaume hufurahi Sana na Kupenda pale àmbapo Mtoto aliyemzaa anapofanana na kuelekeana naye Kwa kiasi kikubwa.

Wanaume wengi hujihisi fahari na kujivunia wanapomwona Mtoto anayefanana naye.
Wanaume wengi huongeza Imani na Mapenzi Kwa wake zào pale wanapoletewa Watoto waliofanana nao.

Wanaume wengi hujihisi dhaifu, hujisikia Duni na kuwa na Mashaka pale àmbapo Mtoto atazaliwa na asifanane naye hata kidôgo.

Kûna sababu za msingi katika silika na hulka hiyo Kwa Wanaume. Sababu hizô NI kama Ifuatavyo;

1. Mwanaume ni Mfano wa Mungu kiasili(Nature).
Vitabu vya Dini vinaeleza kuwa Mungu alipoumba Mtu alisema "Natuumbe MTU Kwa mfano wetu"
Hivyo Mungu au nature yenyewe ilimuumba Mtu Kwa mfanano.
Yaani Mungu alifurahi kumuumba Mtu anayefanana naye(anayeelekeana naye).

Ndîo maana kiasili Wanaume wamerithi hulka na silika hiyo ya kutaka kuwa na Watoto wanaofanana nao.

2. Wanawake kutokuwa Waaminifu, rahisi kudanganywa;
Ingawaje Wanaume ndîo huonekana kuwa na tamaa ya ngono lakini ngono hizô wanafanya na Wanawake.

Wanaume wengi kiasili hawawaamini Wanawake. Hiyo NI tangu enzi na enzi siô ajabu Zamani walitaka Mwanamke aolewe akiwa Bikra lakini pàmoja na hivyo bado Imani ya Wanaume Kwa Wanawake ni ndogo.

Sababu ya Imani kuwa ndogo NI tàbia ya Wanawake kuwa rahisi kushawishiwa na kushawishika, ukigeugeu wa Wanawake, tamaa ya vitu.
Kwamba Mwanamke anaweza kupewa Pesa au Pipi au chipsi tuu akaingia mkenge.

Kwa Wanaume waliokamilika haiwezeniki kumwamini Mwanamke hasa wale Wanaume àmbao ni polygamist yàani weñye Wanawake wengi.

Mtoto anapokuwa hafanani na Baba hii humpa shida Sana Mwanaume na kuona huenda amepigwa hata kama hajapigwa. Hii NI tofauti na Mtoto anapofanana naye

3. Kuiendeleza Ufalme na utambulisho.
Kîla Mwanaume ni Mfalme katika ûtawala wake.
Kîla mwanaume anautambulisho wake àmbao ameuchukua katika koo aliyotoka.

Mtoto anapofanana na Baba moja Kwa Moja anakuza Brand utambulisho wa Mwanaume. Huna haja ya kuuliza Mtoto huyu ni wa Nani Wakati anaonekana.

Ndîo maana mchina hawezi kuzaa Muafrika kikawaida au mzungu kuzaa mchina kikawaida.

Fikiria umezaa Mtoto lakini kafanana na Jirani yako utajisikiaje? Hata Watu wasiposema utajisikiaje?

Mtoto wako kivipi? How?

AINA ZA UFANANO
1. UFanano wa kimaumbile
Hapa Mtu mnafanana Sura ndîo Jambo kûbwa zaidi, kichwa, Mikono, miguu, Meno, Maskio n.k.

Huu NI utambuzi wa nje àmbao wengi ndio huupenda zaidi

2. UFanano wa Vinasaba
Mkipimwa vinasaba mnakuwa mnafanana.
Huu UFanano hauna maana Sana kama Mtoto kimaumbile hajafanana hata kidôgo na Mhusika kwani kutokana na ukosefu WA uadilifu matokeo yanaweza Kupikwa.
Mfano wewe Mpare wa Makanya uzae Mtoto mchina alafu DNA iseme ni wakwako. Hapo automatically utaona NI uongo.

3. UFanano wa tàbia na Àkili
Huu pia ni UFanano àmbao unakubaliwa na Wanaume wengi n wengi hujivunia na kuwa uthibitisho kuwa Mtoto huyu NI damu yake halisi.

Kiroho, mîungu hasa Mungu wa vitabu vya Dini hujivunia na kufurahia anapoona Watu wake(Watoto wake aliowaumba) wanapofanana naye kitabia na Kiakili kwamba wanakuwa Wema na weñye kupenda kutenda Wema. Mungu pia hufurahia.

Mungu Huona Watoto siô wake Ikiwa hafanani nao tàbia na mienendo.

Acha nipumzike sasa.
Nawatakia maandalizi mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Siku hizi mtoto asipofanana na baba ni shida. Hii yote imetokana na wanawake kutokua waaminifu tofauti na mababu zetu haikua shida. Lakin hata wanawake wakizaa mtoto aliefanana na mume wake hufurahi sana na kujiamini hata kwa ndugu wa mume.
 
Siku hizi mtoto asipofanana na baba ni shida. Hii yote imetokana na wanawake kutokua waaminifu tofauti na mababu zetu haikua shida. Lakin hata wanawake wakizaa mtoto aliefanana na mume wake hufurahi sana na kujiamini hata kwa ndugu wa mume.

Mtoto hata asipofanana Kwa Asilimia Mia lakini at least Baadhi ya vitu viwepo. Hata biology inaeleza hayo
 
Hii ni kweli kabisa , binafsi napenda nifanane na wanangu hasa mabinti zangu😊
 
Muwe mnaangalia na wa kuzaa nao kuna wanawake tuna damu kali sana ukipiga tu mtoto anafanana nami asilimia zaidi ya 80, kiasi kwamba ukisimama na wanao wewe ndo unakuwa kama mvamizi, labda uambulie miguu na kucha😅😅

Mbantu halisi ukizaa na mwarabu, msomali, habesh tutsi, masai nk hizo damu kukuzidi nguvu ni jambo la kawaida sana
 
Muwe mnaangalia na wa kuzaa nao kuna wanawake tuna damu kali sana ukipiga tu mtoto anafanana nami asilimia zaidi ya 80, kiasi kwamba ukisimama na wanao wewe ndo unakuwa kama mvamizi, labda uambulie miguu na kucha😅😅

Mbantu halisi ukizaa na mwarabu, msomali, habesh tutsi, masai nk hizo damu kukuzidi nguvu ni jambo la kawaida sana
Aaaaahhhhhhhh sio kwel 😁😁😁😁😁😁😁 labda hao wapiga nyeto😁😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom