Ni Nature Mwanaume anapenda na anafurahi kufanana na Mtoto wake

Ni Nature Mwanaume anapenda na anafurahi kufanana na Mtoto wake

Mimi labda unizidi rangi Kwa sababu Maji ya kunde, hivyo Mwanamke kama ni Mweusi nikizaa naye Watoto wanakuwa weusi.
Akiwa Maji ya kunde wanakuwa weupe au Maji ya kunde
Akiwa mweupe wanakuwa weupe.

Mpaka Sasa ninaowatano.😊
Aah mtibeli upo kwenye mashindano nini utakuwa una mbegu nzuri kuna watu mna mbegu kiasi kuwatizama watoto wenu ni furaha ya macho!
 
Kuna kuzaa na mtu akakupoteza vibaya mno, na ni kwanini mtoto aweza fanana baba yake utotoni akifika 5+ akahama kabisaaa
Mfano kijana wangu ukimwona hauwezi zania ni mwanangu kabisa ,ila mabinti wangu wanafanana na mimi kama madaftari na mama zao ni weusi tiii
 
Aah mtibeli upo kwenye mashindano nini utakuwa una mbegu nzuri kuna watu mna mbegu kiasi kuwatizama watoto wenu ni furaha ya macho!

Sijui imekuwaje sikuwahi kufikiri kwèñye Maisha yàngu Kabla ya Miaka 30 ningekuwa na Watoto watano😊😃

Mbegu za Watibeli zimenyooka Hatuna Hofu juu ya Hilo.
Hofu Ipo kwèñye je tàbia na Àkili za Watoto wakikua zitakuwaje?

Napenda Watoto wàngu wawe na Àkili na tàbia kama zangu Kwa asilimia 80% Yale madhaifu hasa Upole na kutokupenda fujo wasirithi.

Ninatamani ningekuwa napenda Kúpiga Watu Mitama😃😃.
 
Mfano kijana wangu ukimwona hauwezi zania ni mwanangu kabisa ,ila mabinti wangu wanafanana na mimi kama madaftari na mama zao ni weusi tiii
Mama zao!!!! Kwahiyo nyie mnasambaza upendo tu?

Basi watoto wa kike tuna kiherehere cha kufanana na baba zetu maana hata mie kwa mshua nipo sana halafu wa kiume wanafanana na mama zao
 
Sijui imekuwaje sikuwahi kufikiri kwèñye Maisha yàngu Kabla ya Miaka 30 ningekuwa na Watoto watano😊😃

Mbegu za Watibeli zimenyooka Hatuna Hofu juu ya Hilo.
Hofu Ipo kwèñye je tàbia na Àkili za Watoto wakikua zitakuwaje?

Napenda Watoto wàngu wawe na Àkili na tàbia kama zangu Kwa asilimia 80% Yale madhaifu hasa Upole na kutokupenda fujo wasirithi.

Ninatamani ningekuwa napenda Kúpiga Watu Mitama😃😃.
Huwezi kufanana nao kila kitu hiyo kukata mitama huenda wakafata kwa mama zao,

Hongera kwa kuongeza idadi ya watu, maana wanaume wa siku hizi waoga wa majukumu hawataki kabisa watoto akijitahidi sana ni 3
 
Mama zao!!!! Kwahiyo nyie mnasambaza upendo tu?

Basi watoto wa kike tuna kiherehere cha kufanana na baba zetu maana hata mie kwa mshua nipo sana halafu wa kiume wanafanana na mama zao.
Yani na hautuambii kitu kuhusu mama zetu achana na haya makasiriko ya humo jf kwa wanawake, ukija live ukiwagusa mama na dada zetu unakula za uso😆
 
Yani na hautuambii kitu kuhusu mama zetu achana na haya makasiriko ya humo jf kwa wanawake, ukija live ukiwagusa mama na dada zetu unakula za uso😆
Mnatupenda sana mama zenu, hasa mkianza pigwa matukio na mabebez
 
Huwezi kufanana nao kila kitu hiyo kukata mitama huenda wakafata kwa mama zao,

Hongera kwa kuongeza idadi ya watu, maana wanaume wa siku hizi waoga wa majukumu hawataki kabisa watoto akijitahidi sana ni 3

Wanawaogopa ninyi Wanawake.

Kwamba mpaka watafute pesa wazipate ñdipo waoe na kuzaa.
Lakini pia Wanawake nao hasa WA Mjini mpaka akuzalie NI kipengele.
 
Wanawaogopa ninyi Wanawake.

Kwamba mpaka watafute pesa wazipate ñdipo waoe na kuzaa.
Lakini pia Wanawake nao hasa WA Mjini mpaka akuzalie NI kipengele.
Tunaishi kwa kusikiliziana na kuviziana, kiukweli mjini mimba ni chache imefikia hatua ukiwa mjamzito ni salamu za pongezi huko barabarani nyingi kutoka kwa wanaume, wengine wanashangaa kabisa tofauti na huko vijijini
 
Tunaishi kwa kusikiliziana na kuviziana, kiukweli mjini mimba ni chache imefikia hatua ukiwa mjamzito ni salamu za pongezi huko barabarani nyingi kutoka kwa wanaume, wengine wanashangaa kabisa tofauti na huko vijijini

Mimba NI chache Kwa Aina ya Wanawake wafuatao
1. Modern women
2. Waliosoma kuanzia ngazi ya diploma
3. Weñye vipato vikubwa.

Ila uswahilini Huko kîla Nyumba kama haina Binti mjamzito Basi inamzazi
 
Shukrani sana daima uko vizuri sana, mimi ni muumini namba Moja wa kufanana mtoto asiyefanana na mimi huyo sio wangu no discussion
 
Back
Top Bottom