Ni Nature Mwanaume anapenda na anafurahi kufanana na Mtoto wake

Ni Nature Mwanaume anapenda na anafurahi kufanana na Mtoto wake

[emoji2][emoji2]

Kûna wanafiki Hapa watasema siô lazima lakini kisayansi na kiroho NI Lazima.

MTU anakuambia siô lazima alafu hapahapo Mkewe akizaa mtoto wa muarabu ananuna. Ñdipo unapogundua kûna Watu Wana Akili mgando
Tena wengine wanakwambia mtoto ni mtoto tu hata kama kafanana na mchina, kumbe huku nyuma wanakungonga kua umepigwa!!
 
Kapeace wewe ni mdogo wangu au tunalingana ebu acha hzo😁😁😁😁😁😁😁
Niache zipi tena min? Ni faraja kupendwa na vijana wetu ujue, tatizo wakamwwna wanabana sana
 
Kweli nakubali nini huwa kinapelekea mabadiliko hayo?
Si anakua bado yuko kwenye uumbaji wa msingi, yaani kama ni ujenzi wa nyumba tunasema tuko kwanza kwenye foundation, hapo vinasaba vya baba na mama ndiyo vinakua vinavutana ku take place kwenye mwili wa mtoto!!
 
Si anakua bado yuko kwenye uumbaji wa msingi, yaani kama ni ujenzi wa nyumba tunasema tuko kwanza kwenye foundation, hapo vinasaba vya baba na mama ndiyo vinakua vinavutana ku take place kwenye mwili wa mtoto!!
Na mshindi ataonekana😅😅😅
 
Hichi kitu huwa na kiogopa sana kafanana na wajomba zake
 
Una ujuaji mwingi na wanasema kuchamba kwingi...na ujuaji wako ni sawa na kuchamba kwingi. Vitu vingine kaa kimya maana kwa kukaa kimya itasaidia watu kujua ujinga ulionao. Mada yako ya leo unaonesha kuwalalamikia wanawake kushindwa kuzaa watoto wanaofanana na baba zao, kama kwenye familia yenu kuna ambao hawafanani na baba yenu jitahidi ukamuombe msamaha mama yako maana umemtukana tusi kubwa sana.
Sasa hapo alichokosea ni nini,mtoto ni lazima afanane na Baba au Mama yake tu na mtoa mada huyo sahihi kabisa.
 
Muwe mnaangalia na wa kuzaa nao kuna wanawake tuna damu kali sana ukipiga tu mtoto anafanana nami asilimia zaidi ya 80, kiasi kwamba ukisimama na wanao wewe ndo unakuwa kama mvamizi, labda uambulie miguu na kucha😅😅

Mbantu halisi ukizaa na mwarabu, msomali, habesh tutsi, masai nk hizo damu kukuzidi nguvu ni jambo la kawaida sana
Hizi ni sayansi ulizoanzisha wewe,kibailojia hicho kitu hakuna,mtoto atachukua kwa Mama na Baba.
 
Sasa hapo alichokosea ni nini,mtoto ni lazima afanane na Baba au Mama yake tu na mtoa mada huyo sahihi kabisa.
Huyo jiwe
gizani limempata,lazima kamchomekea mume wake mtoto ambae hawafanani kabisa na ndiyo maana anaona kama mtoa mada kamlenga yeye hasira kama zote na mitusi juu,mbona kazi ipo!!
 
Back
Top Bottom