Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Hapana.. Upendo sio masharti
Hakuna Upendo Usio na masharti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana.. Upendo sio masharti
Ili wakose wachumba!!!Hii ni kweli kabisa , binafsi napenda nifanane na wanangu hasa mabinti zangu😊
Muwe mnaangalia na wa kuzaa nao kuna wanawake tuna damu kali sana ukipiga tu mtoto anafanana nami asilimia zaidi ya 80, kiasi kwamba ukisimama na wanao wewe ndo unakuwa kama mvamizi, labda uambulie miguu na kucha😅😅
Mbantu halisi ukizaa na mwarabu, msomali, habesh tutsi, masai nk hizo damu kukuzidi nguvu ni jambo la kawaida sana
Njoo ujaribu km hujanitelekeza na mwanao!!Aaaaahhhhhhhh sio kwel 😁😁😁😁😁😁😁 labda hao wapiga nyeto😁😁😁😁😁😁
Hizo jamii nilizokutajia hapo usijaribu kutupia kamba utatoka patupu! Labda km na wewe una vinasaba vya jamii hiyoNdîo nisifanane naye hata kitu Kimoja.
Hapana Kabisa
Hii ni kweli kabisa , binafsi napenda nifanane na wanangu hasa mabinti zangu😊
Yani binti yangu najiona mimi kabisa 😁😃😃
Mabinti wengi hufanana na Baba zao huku wavulana hufanana n mama zào.
DR Mambo Jambo anaweza kutueleza hili
Hizo jamii nilizokutajia hapo usijaribu kutupia kamba utatoka patupu! Labda km na wewe una vinasaba vya jamii hiyo
Hizo jamii nilizokutajia hapo usijaribu kutupia kamba utatoka patupu! Labda km na wewe una vinasaba vya jamii hiyo
Upendo ni mmoja tu.. Kama unafikiri kuna aina.. Basi huo ndio wenye masharti..Hakuna Upendo Usio na masharti
Yani binti yangu najiona mimi kabisa 😁
Upendo ni mmoja tu.. Kama unafikiri kuna aina.. Basi huo ndio wenye masharti..
Hongera utakuwa na nguvu kuliko wanawake zakoMimi damu yàngu Kali,
Bichwa,
Macho
Vidoti,
Watoto wàngu wôte tupo Hapo. Kwèñye rangi ndîo mama zào
Mkûu mimi huwa nina nusa tu mtoto ni wa kwangu100%😅😅😅😅😅😅😅😅Najua inavyokufurahisha.
Sasa subiri Mkwe akija na kugundua Baba Mkwe ana sura ya mchumbaake
Hongera utakuwa na nguvu kuliko wanawake zako
Mkûu mimi huwa nina nusa tu mtoto ni wa kwangu100%😅😅😅😅😅😅😅😅
Nikajua umeambatanisha ni picha ya Prince alivyofanana na mama yake Binti Kimoso 😀😀😀
OkayUpendo ndîo masharti yenyewe.
MTU Kama humpendi Huwezi muwekea masharti
Nikajua umeambatanisha ni picha ya Prince alivyofanana na mama yake Binti Kimoso 😀😀😀