Ni Nature Mwanaume anapenda na anafurahi kufanana na Mtoto wake

Mnatupenda sana mama zenu, hasa mkianza pigwa matukio na mabebez
Kapeace wewe ni mdogo wangu au tunalingana ebu acha hzo😁😁😁😁😁😁😁
 
Hii ni kweli kabisa , binafsi napenda nifanane na wanangu hasa mabinti zangu😊
Daah.

Hapo mkuu sikubaliani na wewe ,

Maana utawapa tabu mabinti kuolewa.
 
[emoji2][emoji2]

KΓ»na wanafiki Hapa watasema siΓ΄ lazima lakini kisayansi na kiroho NI Lazima.

MTU anakuambia siΓ΄ lazima alafu hapahapo Mkewe akizaa mtoto wa muarabu ananuna. Γ‘dipo unapogundua kΓ»na Watu Wana Akili mgando
Tena wengine wanakwambia mtoto ni mtoto tu hata kama kafanana na mchina, kumbe huku nyuma wanakungonga kua umepigwa!!
 
Kapeace wewe ni mdogo wangu au tunalingana ebu acha hzo😁😁😁😁😁😁😁
Niache zipi tena min? Ni faraja kupendwa na vijana wetu ujue, tatizo wakamwwna wanabana sana
 
Tena wengine wanakwambia mtoto ni mtoto tu hata kama kafanana na mchina, kumbe huku nyuma wanakungonga kua umepigwa!!

KΓ»na Watu ni kuwaonea huruma tuu.
Hata Mtu Γ mbaye Shule hajaenda hawezi kuwa Mjinga kiasi hicho
 
Kweli nakubali nini huwa kinapelekea mabadiliko hayo?
Si anakua bado yuko kwenye uumbaji wa msingi, yaani kama ni ujenzi wa nyumba tunasema tuko kwanza kwenye foundation, hapo vinasaba vya baba na mama ndiyo vinakua vinavutana ku take place kwenye mwili wa mtoto!!
 
Si anakua bado yuko kwenye uumbaji wa msingi, yaani kama ni ujenzi wa nyumba tunasema tuko kwanza kwenye foundation, hapo vinasaba vya baba na mama ndiyo vinakua vinavutana ku take place kwenye mwili wa mtoto!!
Na mshindi ataonekanaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Hichi kitu huwa na kiogopa sana kafanana na wajomba zake
 
Sasa hapo alichokosea ni nini,mtoto ni lazima afanane na Baba au Mama yake tu na mtoa mada huyo sahihi kabisa.
 
Hizi ni sayansi ulizoanzisha wewe,kibailojia hicho kitu hakuna,mtoto atachukua kwa Mama na Baba.
 
Sasa hapo alichokosea ni nini,mtoto ni lazima afanane na Baba au Mama yake tu na mtoa mada huyo sahihi kabisa.
Huyo jiwe
gizani limempata,lazima kamchomekea mume wake mtoto ambae hawafanani kabisa na ndiyo maana anaona kama mtoa mada kamlenga yeye hasira kama zote na mitusi juu,mbona kazi ipo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…