Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyamagana!! Akienda huko, kura atapata nyingi sana pamoja na ya Mabula mwenyeweMakonda ni very ambitious, ni ngumu sana kutosheka na cheo cha RC, ili kuwa na vyeo venye power kubwa zaidi kama uwaziri njia ya uhakika ni kuwa mbunge.
2020 Magu aliingilia kati ila round hii itakuwa kajipanga vilivyo
swali, je atatumia jimbo gani ?
ndio wilaya ya Mwanza jiji au ?Nyamagana!! Akienda huko, kura atapata nyingi sana pamoja na ya mabula mwenyewe
uthubutu wake katika kubuni, kupanga, kuamua na kutekeleza kwa vitendo, chochote anachokusudia na kuamini kina manufaa na maslahi mapana ya wanaichi...
ni muadilifu, mcha Mungu, mpenda haki na usawa, anaechukizwa sana na uonevu, dhuluma na unyanyasaji kwa wanyonge..
ni muumini wa ukweli na uwazi, kusema ukweli kwa maneno, na kutekeleza ahadi kwa vitendo na uhakika...
ni hodari, nguli na mzoefu sasa, wa siasa za kijimbo na kitaifa, majukwaani kwenye medani na kiutendaji ofisini..
kuna watendaji wengine mno waandamizi kwenye mihimili na taasisi za umma nchini, wamemzidi umri, wamemzidi elimu na wengine wamemzidi mpaka vyeo na madaraka,
Lakini Paul Christian Makonda,
kwasababu ya karama ya uthubutu, huruma na ujasiri, amewazidi waandamizi hao Maprofesa na Madaktari vitu vingi sana...
nadhani record yake ya utendaji ni ya kutukuka, inaeleweka vuzuri kwa waTanzania nchi nzima, haiwezi kulinga na muandamizi yeyote katika utendaji kazi..
well done ndugu Rais,
comrade Dr.Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha mtumishi huyu kijana, anakua sehemu ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya chama cha Mapinduzi..
God bless Tanzania and East Africa. God bless Paul Christian Makonda..
Kabla ya kugombea uchaguzi mkuu, huwa kuna mchujo ndani ya chama. Umezingatia hilo?PAUL CHRISTIAN MAKONDA AKIJISKIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LOLOTE, MKOA WA ARUSHA, MWANZA AU DAR ES SALAAM ANASHINDA KWA KISHINDO ASUBUHI NA MAPEMA SANA.
Kada huyo atachukua jimbo gani na wapi🤔Hayo yanaitwa mahaba niue kada 😂😂
Akagombee Misungwi Koromije ni asubuhi tu walimpa sumba ntaleKwani si alijaribu kugombea Kigamboni akakwama kwenye kura ya maoni?
Yuko ambitious kupata vyeo ili awafanyie Nini wananchiMakonda ni very ambitious, ni ngumu sana kutosheka na cheo cha RC, ili kuwa na vyeo venye power kubwa zaidi kama Uwaziri njia ya uhakika ni kuwa mbunge.
2020 alikurupuka ila round hii itakuwa kajipanga vilivyo
swali, je atatumia jimbo gani?
Maelezo ni mengi hebu tupe hayo aliyoyafanya namafanikio yake kila alipopita kubwa analokumbukwa nikuvamia kituo akiwa na askari huyo kifupi amepoteza sifa zakuwa kiongozi lakini pia utuambie kwa utumishi wa umma na ukwasi alionao vyanzo vyake ni nini mana hatujawahi kufahamu kama ana kumbukumbu zakua mfanya biashara kwa namna yoyote.Sio kwa ubaya kama tutaendelea kuwapa sifa viongozi wa namna hii hakika tutakua na safari ndefu sanaMakonda ni very ambitious, ni ngumu sana kutosheka na cheo cha RC, ili kuwa na vyeo venye power kubwa zaidi kama Uwaziri njia ya uhakika ni kuwa mbunge.
2020 alikurupuka ila round hii itakuwa kajipanga vilivyo
swali, je atatumia jimbo gani?
Makonda ni very ambitious, ni ngumu sana kutosheka na cheo cha RC, ili kuwa na vyeo venye power kubwa zaidi kama Uwaziri njia ya uhakika ni kuwa mbunge.
2020 alikurupuka ila round hii itakuwa kajipanga vilivyo
swali, je atatumia jimbo gani?
Wito wangu kwa wajumbe wale kichwa mapeeeemaaa asubuhi,kabla mambo hayajawa mengi🤣Atateuliwa
Poor CCM.uthubutu wake katika kubuni, kupanga, kuamua na kutekeleza kwa vitendo, chochote anachokusudia na kuamini kina manufaa na maslahi mapana ya wanaichi...
ni muadilifu, mcha Mungu, mpenda haki na usawa, anaechukizwa sana na uonevu, dhuluma na unyanyasaji kwa wanyonge..
ni muumini wa ukweli na uwazi, kusema ukweli kwa maneno, na kutekeleza ahadi kwa vitendo na uhakika...
ni hodari, nguli na mzoefu sasa, wa siasa za kijimbo na kitaifa, majukwaani kwenye medani na kiutendaji ofisini..
kuna watendaji wengine mno waandamizi kwenye mihimili na taasisi za umma nchini, wamemzidi umri, wamemzidi elimu na wengine wamemzidi mpaka vyeo na madaraka,
Lakini Paul Christian Makonda,
kwasababu ya karama ya uthubutu, huruma na ujasiri, amewazidi waandamizi hao Maprofesa na Madaktari vitu vingi sana...
nadhani record yake ya utendaji ni ya kutukuka, inaeleweka vuzuri kwa waTanzania nchi nzima, haiwezi kulinga na muandamizi yeyote katika utendaji kazi..
well done ndugu Rais,
comrade Dr.Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha mtumishi huyu kijana, anakua sehemu ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya chama cha Mapinduzi..
God bless Tanzania and East Africa. God bless Paul Christian Makonda..