Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
- Thread starter
- #21
Umeelewa nilicho uliza kweli?Mkuu mufti umepata mwanaume anakuzingua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeelewa nilicho uliza kweli?Mkuu mufti umepata mwanaume anakuzingua?
Hili mbona kama suluhisho la muda mfupi?Nenda night club kale gambe..
Najua kuna wajuzi humu jamvini, tafadhali msaada juu ya mada tajwa hapo juu 🙏🏻
😔Muda ndio tabibu wa uhakika utasahau
HapanaKama ulikuwa unampenda sana, kwa nini ulimuacha?
Je kafariki?
Hapana
Aisee 😄Hahaha! Huyo anaeomba ushauri ni Mwanaume.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Tafuta pesa mkuu hata wiki ni nyingi sana kumsahau mtu uliyempendaNajua kuna wajuzi humu jamvini, tafadhali msaada juu ya mada tajwa hapo juu 🙏🏻
Really?Kujiua
Sawa mkuuTafuta pesa mkuu hata wiki ni nyingi sana kumsahau mtu uliyempenda
Iko hivi mufti ana mwanaume ambaye alikua na mwanamke anayempenda na bado hajamsahau kiasi inafikia wako faragha mwanaume anataja jina la huyo mwanamke wake hvyo anaomba wadau tumsaidie mufti atumie njia gani kumfanya huyo mwanaume amsahau huyo mwanamke.Umeelewa nilicho uliza kweli?
NakaziaHakuna njia ya kumsahau unaempenda.
UKIPENDA NDIO NTOLEE HIYO.
PambanaZaidi/CottonandMore
Duh!,jfMpe kila kitu na style zote alafu usiombe hella mara kwa marae.
Akitaka utelezi mpe, akitaka kisamvu mpe, akitaka ubinuke style yoyote wewe fanya tu tena afanye kwa hisia kwelikweli na sio kuigiza.
Au nimekosea?Aisee 😄
Una kichwa kigumu sanaIko hivi mufti ana mwanaume ambaye alikua na mwanamke anayempenda na bado hajamsahau kiasi inafikia wako faragha mwanaume anataja jina la huyo mwanamke wake hvyo anaomba wadau tumsaidie mufti atumie njia gani kumfanya huyo mwanaume amsahau huyo mwanamke.
NB:Nimeandika hivyo kwasababu umeandika kichwa cha habari bila kutoa maelezo yanayoeleweka ukiamini kila moja anaijua story yako
KwaniniKamwombe msamaha.
None of the aboveHuyo mwanamke amefariki au ameolewa na mtu mwingine?