Chizi Jambazi
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,769
- 1,379
AjinyongeReally?
Kama mtu hataki hii option?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AjinyongeReally?
Kama mtu hataki hii option?
Kwamba hauna kabisa?Ee Mungu nijalie namimi moyo wa kupenda.
Only time can heal n make it forgetNajua kuna wajuzi humu jamvini, tafadhali msaada juu ya mada tajwa hapo juu [emoji1317]
Ni ujinga na kiwango Cha juu cha ubinafsiKujiua
MhhAjinyonge
😄Kwamba hauna kabisa?
🙏🏻🙏🏻🤝Only time can heal n make it forget
Sawa mkuumdharau
Wewe mtoa mada ni mwanaume bhna.Mpe kila kitu na style zote alafu usiombe hella mara kwa marae.
Akitaka utelezi mpe, akitaka kisamvu mpe, akitaka ubinuke style yoyote wewe fanya tu tena afanye kwa hisia kwelikweli na sio kuigiza.
Mda ni tabibu kwa mtu ulie mzoea na sio kwa mtu ulie mpenda sema kibongobongo hatujui kupenda ni nini?Muda ndio tabibu wa uhakika utasahau
Nadhani unahoja nzuriMda ni tatibu kwa mtu ulie mzoea na sio kwa mtu ulie mpenda sema kibongobongo hatujui kupenda ni nini?
Anawakilisha wanawake wenzake.Hahaha! Huyo anaeomba ushauri ni Mwanaume.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Mzee maji yamefika shingoni nn😀Waheshimiwa mkiona Aibu kutaja hizo njia hapa, karibuni ndani ya box 🔥
Ndio mzeeMzee maji yamefika shingoni nn😀