Ni njia ipi nzuri ya kufua Nguo ili zidumu na ubora wake kwa muda mrefu bila kufifia rangi/kuchuja?

Ni njia ipi nzuri ya kufua Nguo ili zidumu na ubora wake kwa muda mrefu bila kufifia rangi/kuchuja?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
maxresdefault.jpg


Habari wakuu, nguo ni mojawapo ya mahitaji matatu muhimu. Ni hitaji muhimu lakini bajeti yake nayo inabidi ichungwe hasa kwa kina sisi ambao bado uchumi haujawa stable.

Huwa nasikitika sana nimenunua nguo lakini nikifua tu mara mbili ama mara tatu ni hohe hahe, nguo inakuwa imeanza kufifia na kuchuja, hapa kukwepa aibu ni kununua tu nyingine ila bajeti nayo inapigwa na upepo wa kisuli suli.

Nguo zenyewe hususani ni hizi jeans na cardets hata za mitumba zilizovaliwa sana huko lakini huku zikifika ukifua mara 4 mara 5 shida yani.

Tunakwepa sabuni za unga tunatumia sabuni za vipande lakini wapi, Kuna jeans yangu niliipenda sana niliifua kama mara tano hivi haitamaniki

Ni vipi tunaweza kufua nguo kwa kuhakikisha zinakaa muda mrefu?
 
Kufua nguo ni taaluma kama taaluma nyingine,
nakushauri kama uwezo unaruhusu wapelekee wataalamu wa kufua na kuzitunza nguo watakusafishia kwa kufuata na kuzingatia taratibu madhubuti na hiyo ni sababu ya kufanya nguo zako zisipoteze ubora wake kwa kipindi kirefu
 
maxresdefault.jpg


Habari wakuu, Nguo ni mojawapo ya mahitaji matatu muhimu. ni hitaji muhimu lakini bajeti yake nayo inabidi ichungwe hasa kwa kina sisi ambao bado uchumi haujawa stable.

huwa nasikitika sana nimenunua nguo lakini nikifua tu mara mbili ama mara tatu ni hohe hahe, nguo inakuwa imeanza kufifia na kuchuja, hapa kukwepa aibu ni kununua tu nyingine ila bajeti nayo inapigwa na upepo wa kisuli suli.

Nguo zenyewe hususan ni hizi jeans na cardets hata za mitumba zilizovaliwa sana huko lakini huku zikifika ukifua mara 4 mara 5 shida yani.

Tunakwepa sabuni za unga tunatumia sabuni za vipande lakini wapi, Kuna jeans yangu iliipenda sana niliifua kama mara tano hivi haitamaniki

Ni vipi tunaweza kufua nguo kwa kuhakikisha zinakaa mda mrefu ?

Anika nguo usiku zikauke bila kutegemea jua.
 
maxresdefault.jpg


Habari wakuu, Nguo ni mojawapo ya mahitaji matatu muhimu. ni hitaji muhimu lakini bajeti yake nayo inabidi ichungwe hasa kwa kina sisi ambao bado uchumi haujawa stable.

huwa nasikitika sana nimenunua nguo lakini nikifua tu mara mbili ama mara tatu ni hohe hahe, nguo inakuwa imeanza kufifia na kuchuja, hapa kukwepa aibu ni kununua tu nyingine ila bajeti nayo inapigwa na upepo wa kisuli suli.

Nguo zenyewe hususan ni hizi jeans na cardets hata za mitumba zilizovaliwa sana huko lakini huku zikifika ukifua mara 4 mara 5 shida yani.

Tunakwepa sabuni za unga tunatumia sabuni za vipande lakini wapi, Kuna jeans yangu niliipenda sana niliifua kama mara tano hivi haitamaniki

Ni vipi tunaweza kufua nguo kwa kuhakikisha zinakaa mda mrefu ?
Jean ya 15k lazima ukumbane na hilo
 
Inategemea na jinsi unavyotumia nguo zako, Kuna watu anaweza kaa na nguo mwilini kea muda wa siku 3 kuendelea bila kabadilisha,afu kazi anazofanya Zina nature ya uchafu mwingi sana.

Nguo inakuwa imechafuka Sana na kufua ing'are Ni shughuli pevu Yaani lazima utumie brush ndo itakate.Sasa nguo Kama hiyo itakosaje kuchakaa?
 
Nguo zetu nyingi ni lonyaaa, nguo za akina mr kdet sjui fred Vinjabei pale hamna kitu , unafua maji yote yanageuka rangi yaani ni sheeeeda , watu mnasingizia mpak jua , nunua nguo OG haina mashart kama ya mganga , niliamua kuagiza cadeti moja china aisee ile nguo haichuji bhana , kumbe nikagundua hawa jamaa kuna nguo wanauza tuu huku Africa

Kwenye kufua epuka maji ya chumvi ndo kigezo kikuu
 
Nguo zetu nyingi ni lonyaaa, nguo za akina mr kdet sjui fred Vinjabei pale hamna kitu , unafua maji yote yanageuka rangi yaani ni sheeeeda , watu mnasingizia mpak jua , nunua nguo OG haina mashart kama ya mganga , niliamua kuagiza cadeti moja china aisee ile nguo haichuji bhana , kumbe nikagundua hawa jamaa kuna nguo wanauza tuu huku Africa

Kwenye kufua epuka maji ya chumvi ndo kigezo kikuu
Sh ngapi hiyo nguo ulo agiza plus shipping fee... Si kwa ubaya, kama itafiti kwenye bajeti yangu nami niagize
 
Nazidi kujifunza hapa jf kufua bila ya sabuni ✍️
Mkuu jeans zetu hizi za bongo zinatoa rangi zinachuja kipindi inachuja na kutoa rangi pia na uchafu unatoka directly

Na the more you soak in soapy water the more it bleach and kupauka so solution

Usiziloeke, ukitaka kufua chukua maji yako bila soap au eka kiduchu sana then fua suuza anika

But hii ni theory yangu tu 😃😃😃😃 mi ndo hufua hivo jeans zangu na bado zinamuonekano mzuri hata zilizonirruka
 
Back
Top Bottom