Hata singeli inakufaa dogo Sugu ni revolutionist sio mbongo flava wanaitwaga matrend setter unaweza amua Leo agombee uraisi kesho hadi babako atataka gombea urahisi amashape Maisha kwa ujumla ya vijana kwa zaidi ya miaka 30 toka kipindi cha mikononi mwa Polisi hadi sasa freedom...ila ndo hivyo dawa ya jeuri ni kua jeuri zaidi yaoSugu ndio alianzisha bongo flava?!
Una uhakika au unaongea tu kisa umeshiba?!
Umewahi kumiliki album yoyote ya Sugu? Ipi!Mimi sijui hii sifa huwa Sugu anapewa yanini.
Hata ukisimamisha nyimbo za Sugu na za Ngwair au Fid Q, bado sugu haingii.
ukitoa wimbo wa Haki,Chini ya 18 na Hold on labda kidogo Hayakuwa Mapenzi nyimbo zote zilizobaki za sugu ni kelele tu...na ukizungumzia nyimbo za harakati Sugu agusi hata robo ya Roma Mkatoliki tofauti yao itakuwa sugu alianza kuchana zamani basi
Dogo, mwaka 2000 Sugu aliitwa Mr ii na alitoka na album ya MILLENNIUM, 2 Proud ulisikia kwenye simulizi tu! It was before that!Habarini Wadau,
Kuanzia mwaka 2000 nilianza kumsikiliza Sugu au Mr II aliyekuwa akiitwa 2 proud zamani, ila kiukweli namtofautisha sana na Professor J katika kazi zao.
Mfano mzuri ni "Bongo Dar es salaam"
Nadiriki kusema nyimbo za Proffesor J zote ni nzuri, pia zipo zenye ujumbe na mashairi mazuri yenye Vina kuliko za Mr II.
Labda huu mpya wa "Freedom" japo pia chana yake na ujumbe sio bomba kiviile.
Mr II ni Mwanasiasa, Mwanaharakati na Mzalendo ila Kimziki naona kama anazidiwa sana na wasanii kama Proff J na Afande Sele.
Ni Mtazamo tu.
Sugu haimbagi chochote kile cha maana zaidi tu ya kupata sifa kuwa eti ni rapper wa kwanza na mkongwe hapa Bongo na alichangia kuukuza mziki wa HipHop na rap.
Hamna kitu pale...Prof ndio Msanii Fundi.
Sema unachoweza....!!
Fanya unachowezaaaaa...!
Mbona unashangaaaaa....!
Mambo ya fedhaaa...!!
Umeanza kumsikiliza Sugu mwaka 2000. Basi jua kwamba 2proud alitoa album ya kwanza mwaka 1995 inaitwa ni mimi, 1997 akatoa album ya pili "ndani ya bongo", 1998 akatoa album ya tatu " niite mr II" na 1999 alitoa album ya nne "nje ya bongo". Wakati anatoa album zote hizo ulikua wapi?
6.Hold on
7.Hayakuwa mapenzi
8.Deiwaka
9.Mr sugu
10.Dar es salaam (DSM]
11.Mambo ya fedha
LIST INAENDELEA NA HAKIKISHA UNADOWNLOAD HIZO NYIMBO
umemjua sugu lini?!..tafuta nimesimama,mikononi mwa polisi,ndani ya bongo,kwa penzi,deiwaka,wananiita sugu,n.k
Yamenikuta mzee mwenzangu
Sina changu
Wanga wengi anga zangu
Kiama chao ama changu
Ukiishi kwa upanga
Utakufa kwa upanga
Mola ndie anaepanga
Hawakawii kukuzushia
Flan ana H.I.V
Wanapakaza hivi hivi
bado sijaona msukumo wa kuanzisha TRA toka kwa wakoloni,kama ni inefficiency hao walokua wanakusanya mwanzo wangeongeza tu ufanisi,kwa kweli mwinyi ni kiongozi mwenye maono na busara sana
Yamenikuta mzee mwenzagu sina changuTukirudi kwenye mitaa ndio baraa, police wanatugasi, wanatamani watumalize kwa risasi,kucheka nataka kulia nataka, nabaki tu mdomo wazi, wasomi wamejazana hakuna kazi, kilichobaki tukazane tu mabibi na mabwana kwani hakuna namna tena
HahahahMtoa mada unadanganya umma kwa uandishi wako tu inaonekana sugu ujaanza msikia mwaka 2000 bali umehadithiwa
Hatuna mpenzi wa huu mziki wa kizazi kipya wa kufoka foka anayeweza kudharau kazi za Mh mbilinyi
Historia ya mziki huu kati ya prof Jay na mbilinyi ni kubwa mno huwezi itaja safari ya sugu kwenda ulaya na kutangaza anaacha mziki pasipo mtaja prof Jay
Huwezi kutaja mashairi mazuri na yenye mvuto ya prof Jay pasipo kumtaja sugu
Kiuhalisia sugu ndio alitangulia kutoka kwenye game ila tungo zake zenye mafunzo na ujumbe mfano mikononi mwa polisi, mambo ya fedha, nimesemama, nk, ni nyimbo zilikuwa na ujumbe kupitia tungo hizo ndio zikawashaeishi wasanii mbali mbali kuja na nyimbo zenye ujumbe
Hali hiyo ikapelekea HBC kuja mwaka 2000 mwanzoni wimbo kama chemsha bongo nk, zikipatikana katika ablam ya funga kazi yao HBC, kundi lilomtambulisha prof Jay na badae kuja kama solo artist na wimbo wake jina langu, badae bongo dsm
Watalamu wa mambo wa nakwambia wimbo wa bongo dar es Salam ndio ulisababisha sugu atangaze kuacha mziki na kuamua kwenda marekani kwani ilionekana wazi kabisa kuwa sugu kapata mpinzani na ana uwezo zaidi yake, mpaka kina dolla so walipagawa ukitaka amini prof aliwaumiza kichwa sikiliza wimbo wa wengi walikuwepo sasa hivi wako wapi ulioibwa na dollar so Kuna mstari anaimba kuwa watu wanasema eti dolla so ni mkali kama Jay hapo ndio ujue prof aliwaumiza vichwa
Stori za mtaani zilisema hivi kipindi prof katoa wimbo wa jina langu aliendaga Tanga akawa anafanya kazi na kampuni ya simu basi ikitokea Siku prof akakutana na sugu prof akawa anaomba ushauri kwa sugu kuwa brother naitaji achia wimbo unaitwa bongo dar es Salam, sasa kwakua sugu alikuwa kaanza pambanisha na prof basi sugu akaja dar fasta akarekodi wimbo kama mnaujua unaitwa dar dsm sema dar es Salam ili prof akitoa wimbo aonekane kaiba wazo la sugu
Bwana wangu prof ni prof tu siku si Siku sugu akasikia prof kachia wimbo bongo dar es Salam akadata sugu jinsi Kijana akivyochambua jiji hap hapo sugu akaomba kuacha mziki na alitamka anaacha mziki
Nimechoka kuandika tushazeeka enzi zetu zimepitishwa inatosha kwa hiki kidogo nilichochangia
Ila ujue pamoja na ukali wote wa prof Jay alikuwa anafichwa na fanani, fanani alikuwa anajua ukitaka amini tafuta ablam ya funga kazi yao HBC sikiliza uandishi wa fanani ndio utajua prof alikuwa hagusi sema ndio hivyo fanani hatuitaji hueshimu mziki hatimae kaishia kwenye uteja
Kumbe haujui hata ngoma zake, umefanya sort ya ngoma kadhaa na kutoa conclusion. Katafute na "mikononi mwa polisi" na "dei waka"Ngoja niitafute.