Ni sababu ipi muhimu sisi wazazi tunakuwa na mtoto zaidi ya mmoja?

Hii last paragraph imekuwa bora sana.
 
Hii last paragraph imekuwa bora sana.

Ndiyo hivyo mkuu.

Mimi nina mtoto mmoja wa kuzalisha mimi mwenyewe, lakini ninalipia ada watoto zaidi kwenye familia, watoto ambao wazazi wao hawana uwezo.

Hivyo bado nina watoto wengi ninaowalea kwa jinsi yangu katika familia, licha ya kuwa na mtoto mmoja wa kuzalisha mimi mwenyewe.

Sasa hapo napo bado niongeze watoto tu?

Yani hawa waliopo tu kwenye familia zetu kuwasomesha wote vizuri naona kuna mgogoro, bado tufyatue zaidi tu?
 
Moyo wa kujitolea ni mdogo sana. Na hiki ni kikwazo kikubwa cha mafanikio.

Kifupi, kwa Waafrika wengi ukimwambia chagua wewe na ndugu zako wote mzaliwe katika ulimwengu wenye umasikini mkubwa, au wewe usizaliwe, na ndugu zako waishi maisha mazuri sana, wengi watachagua wazaliwe halafu wote wagawane umasikini.

Ndiyo tafsiri ya mtoto wa tisa wa Afrika kusononeka kwenye maongezi haya hapo.
 
Ni kweli, sisi tumezaliwa wawili tuu, mama yangu kilasiku anasema anajuta kuzaa watoto wachache, hua naona watoto wa mama mdogo wengi wanavyosaidiana na kupendana
Shida hapo ni umaskini, sio uchache wa idadi yenu.
 
I see!
 
Dream Queen, I used to think we share similar perspectives. Here we differ.
Tatizo watu wanapenda kua serious muda wote, ile comment ya mwanzo kabisa kabla hicho kibabu hakijaja kunivamia ilikua ya kichokozi tu,

Btw, kwenye suala la watoto wengi tupo pamoja, it's not good kua na msururu wa watoto halafu huduma sifuri, elimu duni, afya mgogoro, yaan mzazi badala ya kuzaa ili amuwezeshe mtoto yeye anazaa ili mtoto aje amuwezeshe yeye bila kumuandalia mazingira wezeshi.
 
Thank you, thank you. That is The Dream Queen I know, I am proud of you.
 
Hapa tatizo ni umaskini wa wazazi wala sio idadi chache ya watoto. Matajiri hata wasio na watoto wanaweza kuhudumiwa kwa huduma bora kabisa katika

Hapa tatizo ni umaskini wa wazazi wala sio idadi chache ya watoto. Matajiri hata wasio na watoto wanaweza kuhudumiwa kwa huduma bora kabisa katika wakati wowote na hali yoyote.
Nakubaliana na ww kwa asilimia kadhaa tu, ila ukweli HELA SIO suluhisho la kila jambo. Hiyo mifano niliyotoa hapo juu shida haikua pesa bali ni issue ya utu, ubinadamu, upndo, ukaribu watu wanataka uwepo wako etc etc ambavyo havijengwi ktk misingi ya pesa.
 


Utoto raha sana
 
Ndo maana watu wa siku hizi wamekosa baraka mpaka wanafikia kuwa viongozi ilihali wanavaa suruali tobovu tena kwa makusudi.

Kwa nini mzazi asitarajie chochote kutoka kwa mtoto aliyemzaa?

Punguzeni umagharibi na usasa mtazikwa na vihereni.
 
Uchumi uchumi, mna overate sana mambo.
 
Ndo maana watu wa siku hizi wamekosa baraka mpaka wanafikia kuwa viongozi ilihali wanavaa suruali tobovu tena kwa makusudi.

Kwa nini mzazi asitarajie chochote kutoka kwa mtoto aliyemzaa?

Punguzeni umagharibi na usasa mtazikwa na vihereni.
Mzazi akizaa huku akitarajia chochote kwa mtoto anazaa kwa biashara, ya kutunza mtoto na kutarajia kulipwa.

Kulea mtoto si biashara, ni wajibu wa kifamilia tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…