Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Kwa siku hizi utaambiwa kutaka kuishi miaka mingi sana ni ubinafsi na uharibifu wa mazingira.Inaweza kujirudia watu wakaanza kuishi mamia ya miaka kama wa kwenye Biblia[emoji1787], labda miaka 900 hivi kama kina Methuselah wa Biblia.
Kutapitishwa azimio la Umoja wa Mataifa ku regulate miaka ya watu kuishi na kuweka limit.
Ukitaka kuishi zaidi ya miaka fulani mingi sana unapelekwa huko dark side of the moon uende kuwa sample katika some government experiment 🤣🤣🤣.